Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30612
In Process
Adv
Anonymous
Asked: March 25, 20192019-03-25T10:53:49+03:00 2019-03-25T10:53:49+03:00Mapenzi, SMS

SMS gani nzuri kwa ajili ya umpendae?

SMS gani nzuri kwa ajili ya umpendae?
  • 2
  • 4,321
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 75 Answers
    • 0 Best Answers
    • 248 Points
    View Profile
    Faustine John Advanced
    2020-05-14T08:44:20+03:00Jibu - May 14, 2020 saa 8:44 am

    mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenz ni
    zawadi,tabasamu,nibusu niambie kiasi gani
    unanipenda,naweza kusema asilimia kubwa jina lako
    limezunguka ukuta wa moyo wangu,na kamwe jina lako
    haliwezi futika.
    NAKUPENDA
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    yapitayo mdomoni yametokea moyoni ,uyaonayo hadharani
    nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa
    yakini.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    upendo wa moyoni ndiyo dhati niliyoamini amini kwa haya
    nisemayo nakupenda wewe ndiyo kaburi nitakalozikwa nalo.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nakupéndä mpènzi wèwè ùnåumuhimu mkubwa kwenye maisha
    yangu kwani ukiniacha mpenzi utanisababishia kovu ambalo
    halitapona .nakupenda sana
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Mapigo yangu ya moyo huongezeka pindi nisipokuona japo kwa
    dakika plz mpenzi kaa karibu yangu utulize mapigo
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Siku zote kwangu ni sherehe ni wewe unishereheshaye,ukweli
    usio na kejeli mapenzi yako yanatii kiu yangu,moyoni
    mwangu nimeridhia. . . .nakupenda daima mpenzi!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba
    sili nikamaliza,nikimaliza nitakula nini kesho?nakuahidi
    kukupenda leo hata kesho ukiwepo na hata usipokuwepo.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    pongezi kwako mpenzi kuwa wangu mtetezi kwenye jahazi la
    mapenzi,ufundi na ujuzi unao hasa tuwapo wawili
    chumbani.penzi lako halichakai daima huzaliwa upya.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nakupenda kwa kuwa umegundua thamani ya penzi langu
    nakuahidi utafaidi utamu wa mapenzi yangu.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Wanafiki tusiwaombee kifo daima na milele washuhudie penzi
    letu linavyozidi kukua,na tunavyopambana na mapito.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha
    hamu,nitakupa mwili wangu ucheze nao hadi
    asubuhi,nitakulisha unachokitaka,sitakubania kwani naogopa
    wengine wanaweza kukupa. . . .njoo leo uniambie unataka
    nini?
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Mapenzi mazuri yanasifa zifuatazo,kuridhishana,kupeana
    bila
    kubaniana,kubusiana,kuheshimiana,kujaliana,kusubiriana,kus
    ikilizana.je utaweza kujifanyia yote hayo?nijibu mpenzi. .
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Ikiwa penzi langu kwako litakufa halitazikwa,ikiwa moyo
    wangu ni mwandiko hautafutika na kama dhati yangu ni
    machozi daima hayatokauka na wewe kwangu ni damu ngozini
    haitochuruzika ila mishipani. . . .
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Anayekupenda ni mimi,watakaokutamani ni wengi,tafuta dunia
    nzima penzi langu la kweli huwezi kulipata,penzi langu
    kwako ni nuru daima halizimiki.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    mpenzi usiende mbali nami,njoo ufaidi utamu usioisha
    hamu,nitakupa mwili wangu ukeshe nao,nitakulisha
    unachokitaka,sitakubania naogopa wengine wataniibia. .
    .njo leo uniambie unataka nini?

    Niseme nini ujue nakupenda? Nifanye nini ujue nakupenda?
    Nikuite jina gani ujue ni wewe peke yako upo moyoni
    mwangu? Hakika hakuna ila moyo wangu ndio unaosema kuwa
    nakupenda, niamini mpenzi
    *°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
    upendo ni jibu kwamba kila mmoja anataka. . . .
    upendo ni lugha ,
    kwamba kila mmoja anaongea,
    upendo hauwez kununuliwa,
    na isiyo kadirika na ya bure,upendo kama uchawi safi,ni
    siri ya maisha matamu
    nakupenda mpenzi
    *°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
    “Mimi sitaki kuwa kila kitu kwa kila mtu, lakini napenda
    kuwa kitu kwa mtu.na mtu mwenyewe ni wewe”
    nakupenda laazizi
    “Kama mimi nilikuwa na maua kila wakati
    mawazo yangu
    yangekuwa juu yako,nisingefikiri wa kumpa mwingine kabla
    yako je wewe ungekuwepo nayo
    ungempa nani kwanza? ”
    *°·.¸¸.° ♥ °·.¸¸.°*
    ningependa nikuambie neno ambalo halina gharama na
    likutumiwa vibaya halina maana wala thamani. neno hilo
    haliandikiki kwenye karatasi wala hata halitamkiki ila tu
    Linatokea Bila kujua na halina sababu.neno hilo mi
    mwenyewe silijui ila ndo linatufanya tuwe pamoja Japo tupo
    Kasi Na Kusi. Nakupenda sana Dear
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    naukunjua moyo wangu huishi milele maishani ,nafungua
    nafsi nikupende wewe pekee,nafunga milango ya moyo wangu
    ili
    kutokupokea ugeni wowote wa moyo zaidi yako
    mpenzi.nakupenda sana laazizi
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    sipo tayari kuukabidhi moyo wangu kwa mwingine zaidi
    yako,wewe ni wa pekee maishani mwangu mwenye kujua hisia
    moyoni mwangu
    mpenzi nipende daima pendo lako nitalienzi, nakupenda
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    mapenzi si pombe lkn yanalewesha, wala si kidonda lakini
    yanatonesha,wala si maradhi lakini yanaumiza, wala si
    njaa lakini yanakondesha ,mapenzi ni uvumilivu kwa
    unaempenda
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    mapenzi ni safari=unifanye nauli ya moyo, mapenzi ni
    maradhi=unifanye daktari ni kutibu maradhi yako,mapenzi ni
    kiu=niwe maji jangwani,mapenzi ni chakula=nikulishe
    maishani mwako na uwe asali moyoni mwangu
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    wengi hupenda fanta kwa ladha yake,wengine hupenda
    pilipili kwa muwasho wake,wengine hupenda asali kwa utamu
    wake ila mimi nakupenda wewe kwa upendo wako.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    nimetuma ndege wangu auzunguke ”moyo” wako kwa ” upendo
    ” auguse ”uso” wako kwa ”faraja” na mwisho
    akunong’oneze sikioni taratibu kuwa nakupenda.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    mapenzi ni utoto,deka ulie nitakubembeleza,mapenzi ni
    zawadi tabasamu nibusu niambie kiasi gani unanpenda,naweza
    kusema asilimia kubwa jina lako limezunguka kuta wa moyo
    wangu.kamwe jina lako haliwezi kufutika.nakupenda sana
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    teke la kuku halimuumzi mwanaye sawa na dhati ya mapenzi
    haiumzi moyo wa ampendaye,tugombane sasa hivi tupatane
    badaye,najua hakuna wasiogombana ,kama wapo siku
    wakigombana wataachana.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    yapitayo mdomon yametokea moyon,uyaonayo hadharani
    nimeagizwa na manani yakuridhishayo nafsini ni utamu wa
    yakini.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    nakupenda sana mpenzi wangu ,we ndo wa pekee mwenye kujua
    furaha ya moyo wangu nikiwa na majonzi huwa upo karibu
    nami,nikiwa na furaha huja kushea nami,ahsante wangu
    tabibu ,we ndo wangu wa manani.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    kila niamkapo mawazo yangu huwa kwako na upepo uvumapo
    huhitaji uwepo wako na hasa nikukumbukapo kumbato
    lako,nakupenda mpenzi
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Furaha yangu ni kuwa nawe kwani u zaid ya mboni
    yangu,najisifu kuwa nawe maishani mwangu naamini itatokea
    kutokuwa mbali nawe mpz wangu,unisahaulishe machungu na
    karaha za huu ulimwengu .nakupenda dia
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    >>———>>> Mshale huu unamtafuta mtu muhimu sana ktk
    maisha yangu na kama umekutana nao
    usiukwepe uache
    uchome Moyo wako gharama
    za matibabu juu yangu.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    sioni zawadi ya kukupatia kwa mapenzi
    unayonipatia,
    moyoni nimekuridhia wewe pekee penzi langu daima
    kukupatia nakupenda
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    hakika kama ni mume MUNGU kanipatia,kuwa nawe najiona
    kama malkia ,nakupenda mpz na daima nitaenzi penzi
    lako.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nina habari nzuri nataka kukuambia kuna mgeni leo kaja
    kunitembelea,nguo nyekundu amevalia yaani!utamu wako kwa
    sasa siwezi kukupatia
    kwa maana mgeni kashakuharibia
    nakupenda dear
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Ni yangu mazoea kila cku cm yako
    kuipokea kama si meseji
    kunitumia
    leo naumia kila napo fikiria nini
    kimetokea hadi
    mawasiliano yetu
    yameanza kupotea,sawa tu.naamini hali
    ya kawida itarejea
    na
    majonzi moyoni yatanipotea
    nakupenda mpz
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nimezunguka pande zote za Tanzania macho
    nikiyaangaza
    kumsaka mrembo
    wakumkabidhi wangu moyo wenye upendo
    ndani yake na kulila
    TUNDA lake
    kwa nafasi huku nikimpa mahaba ya dhati na sikuwahi kuhisi
    kama wewe ndiye
    ulie uteka moyo wangu.
    nakupenda laaziz
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Raha ya ucngz ni ucngz . . . .”tamu”ya penzi ni ndoto .
    Na furaha ya ndoto ni yule umpendaye kwa dhati,nitafurahi
    nikiwa mimi,
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Kipepeo kipeperushe kunipenda maamuz yako kamwe usijute
    nakupenda mpz moyoni mwako unitulize.
    Nakupenda mpz
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Moyo wangu unajua kupenda katu haujui kutenda
    mpz,nakupenda tukwepe fitina mpz.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Nenda sms taratibu kwa yule ma BEST nimpendaye,ukimkuta
    amelala ucmuamshe mpige busu kisha mnong’oneze mwambie
    nampenda sanaaaa
    Nilivyokutana nawe cku ya kwanza nilikupenda kwa dhati
    ,nikakueleza ukweli ukanikaribisha moyoni mwako,cwezi
    kuchezea nafac hyo laaziz nitakushika daima.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Je unakubali au unakataa kwa mujibu wa sheria ya mahakama
    ya mapenzi kifungu cha mahaba unahukumiwa kuwa na mimi
    milele,unaweza kukata rufaa kama hujatendewa haki.sawa?
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    sura yako haifutiki usoni mwangu kirahic,ingawa upo mbal
    nami lkn penzi lako bado nalikumbuka,hakuna anayeweza
    kukata kiu yangu zaidi yako,nakupenda mpenzi wangu!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    kamwe cwez kuacha kukupenda,utaendelea kujificha moyo
    mwangu cku zote za maisha yang,maana wewe ndiye mhimili wa
    maisha yangu,tafadhal naomba unipende milele!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    mapenzi ni upepo,mimi sivumi na kupotea,mapenzi ni mahaba
    sili nikamaliza,mapenzi ni raha kamwe cwez
    kuipeza,nakupenda wewe pekee
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Kama safari tumeianza,kama chakula sinto kusanza,kama
    nyumba wewe kibaraza na kama ukingo wewe kiambaza.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    kiangazi aumasika
    kukupenda nitawajibika kwenye chupa au birika chai yako
    ya uhakika ,iwe ndoo au pipa ujazo wa penzi kimiminika.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    nikipoteza kitu cha thamani nitauzunika nitasahau ila
    nikikupoteza wewe ni pengo lisilozibika kamwe.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    mapenzi ni safari,mapenzi ni ahadi,mapenzi ni
    ujasiri,mapenzi ni zawadi,mapenzi mitihani,mapenzi
    ramani,mapenzi ajali na ndiyo maana nakupenda wewe bila
    kujali.
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•

    kutoka Facebook

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 85 Answers
    • 0 Best Answers
    • 314 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    2021-01-05T18:54:53+03:00Jibu - January 5, 2021 saa 6:54 pm

    Unataka kutuma sms za mafumbo kwa umpendae cheki hizi


    Swali) Kwa nini ni ngumu kupata msichana mzuri, anayenipenda na kunijali?
    Jibu) Kwa sababu tayari ninaye


    Maisha yangekuwa yanaboa sana kama usingekuwepo


    A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T V W X Y Z oops! i miss “U”


    Kitu gani ni cha kwako lakini hauwezi kukishika?

    Jibu: Moyo wangu

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • Nimfanyie nini mwanamke ili anipende?

    • Wanaume wanahitaji nini katika mahusiano?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nawezaje kutokuwa na wivu kwa mpenzi wangu?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.