Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34431
In Process
Anonymous
Asked: January 9, 20202020-01-09T06:43:58+03:00 2020-01-09T06:43:58+03:00Mapenzi

Sifa za mwanamke anayefaa kuolewa ni zipi?

Sifa za mwanamke anayefaa kuolewa ni zipi?
  • 1
  • 760
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Jose Mandingo

    Jose Mandingo

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 36 Answers
    • 0 Best Answers
    • 226 Points
    View Profile
    Jose Mandingo Advanced
    2020-01-09T06:59:28+03:00Jibu - January 9, 2020 saa 6:59 am

    Katika siku hizi za kisasa za sayansi na teknolijia wanaume wengi wamejikuta katika mkanganyiko mkubwa hasa linapokuja suala la kutafuta mchumba au mwenza wa kumuoa na kuanzisha maisha na familia.

    Hizi ni baadhi tu ya sifa za masingi ambazo mwanamke anatakiwa awe nazo kama unataka kuoa. Pia kama mwanakmke unataka kuolewa na kuishi na mume zisome hizi sifa naamini zitakusaidia sana:.

    1: Tabia njema. Uzuri wa mwanamke ni tabia mimi naamini hivo ndio maana hata mwanaume atadate na wanawake wazuri ila akitaka kuoa lazima aangalie yupi ana adabu na tabia njema moyoni mwake.

    2: Anyeshika dini, kuna wanawake wengi wazuri sana ila hawashiki dini. Tunaamini kuwa anayaeshika dini huwa na heshima kwa mumewe kwa kuwa hata dini inafundisha hivo. Japo si wote wanaoshika dini huwa na heshima ila aghalabu wale waliosalia katika dini huwa na hashima sana kwa waume zao.

    3: Heshima na adabu. Hapa hekima inahitajika kujua yupi anaheshima, unakuta mwanamke ni mzuri ila hana hata chembe ya heshima, ni hata mavazi yake si ya heshima, sijui nguo zimechanika chaninka au nguo za kulalia anavaa mchana na za machana usiku.

    4: Anaye vaa kwa staha na heshima. Mwanamke avae kwa staha sio anavaa kama mhuni au kahaba fulani hivi. Mwanamke usivae tu kisa fasheni au kwa kuwa fulani kavaa, au ili uoneshe kuwa una kiuno na vitu kama hivyo.

    5: Anayependa na kuwaheshimu wazazi. Ni wajibu wa mwanamke kuwapenda wazazi wake na wa upande wa kiume.

    6: Awe na mapenzi ya dhati na anayejua kupenda. Wengi wameumia sana kwa kupenda au kupenda kisa mtu ana kitu fulani aidha fedha au mali. Kumbuka furaha na upendo wa kweli hautokani na mali au pesa, mwamke asikupendea kwa kuwa una pesa au wewe ni meneja, ukifilisika lazima uone dunia kama kuzimu vile.

    7: Kauli njema na za adabu. Chunguza kauli zake je za kutia moyo au kukatisha tamaa? Yaani awe mtu wa kukutia moyo wewe mwanaume.

    8: Mwenye malengo na mtazamo wa kimaendeleo. Siku hizi wanawake wameamka sana na wanapenda kuendeleo, awe mtu mwenye mipango ya mbele ya namna ya kuendesha familia na kufanikiwa, awe anashirikiana nawe katika kutekeleza mipango ya maendeleo.

    9: Asiwe mtu wa makundi sana na starehe. Katika vitu vinavyofanya mwanamke akakosa adabu ni makundi. hatukatai kila mtu anazungukwa na watu ila makundi mengine yanabomoa.

    10: Asiyependa kuiga. Utasikia “beby nataka simu kama ya Mwajuma ile Iphone 7” au si jui gauni la Angel.

    11. Asojivunia uzuri wake. Mwanaume unakutana binti kauli zake tu ni kukutishia eti mimi mzuri sana! Mimi nasemaga hata Cleopatra alikuwa mzuri ila alimtii mumewe, wewe nani hata ujidai na uzuri wako?

    12: Anasikiliza na kukutii. Mwanamke bora huwa anakuwa msikilizaji, anahoji vizuri na kwa utulivu.

    13: Usafi. Kiufupi wanawake wameumbwa na hulka ya usafi, awe mtu wa kupangilia vitu vizuri anavaa kwa unadhifu kiasi hata ukitembea nae njiani huogopi kumtambulisha.

    14: Asiwe mtu wa ugomvi. Tuanaamini kuwa mwanamke aliumbwa mpole na mnyeynyekevu, awe angalau mtu wa kushuka hata ukimkosea, ili kwa kinywa chake asiharibu ndoa na uhusiano.

    15: Mchapa kazi. Simaanishi awe ameajiriwa au awe na kazi ila namanisha anayewza kutimiza majukumu yake vizuri na kwa wakati.

    16. Mdomo wa heshima. Mwanamke mpenda maneno mengi si vema ukawa nae makini.

    Bonyeza hapa kusoma kwa urefu zaidi

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

      • Majibu 4
    • Nimfanyie nini mwanamke ili anipende?

      • Jibu 1
    • Wanaume wanahitaji nini katika mahusiano?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kutokuwa na wivu kwa mpenzi wangu?

      • Jibu 1
    • Aina gani za wanaume wa kuepuka katika mahusiano?

      • Jibu 1
    • Dalili zipi zinaonesha kuwa mwanamke anaweza kuwa msaliti?

      • Majibu 0
    • Kama cheti cha ndoa kimepotea nawezaje kupata copy yake?

      • Majibu 2
    • Nifanye nini ili ajue nampenda?

      • Jibu 1
    • Kuna aina ngapi za busu?

      • Majibu 0
    • Ujumbe mzuri wa msamaha kwa msichana ambaye umemkosea ni upi?

      • Majibu 0

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.