Sifa za kujiunga na chuo cha maji ni zipi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Edutan
Vigezo vya kujiunga na Chuo cha Maji ngazi ya Diploma
Mwanafunzi aliemaliza kidato cha nne, awe na ufahulu wa alama D angalau tatu katika masomo ya Physics, Mathematics, Biology, Chemistry au Geography.
Muhitimu wa VETA mwenye Grade I (NVA III) na angalau alama D katika masomo ya Physics Chemistry Biology Geography au Mathematics.