Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30656
In Process
Adv
Anonymous
Asked: March 29, 20192019-03-29T05:45:01+03:00 2019-03-29T05:45:01+03:00Siasa

Siasa ni nini?

Siasa ni nini?
  • 1
  • 623
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Amani Jose
    2020-05-19T08:36:29+03:00Jibu - May 19, 2020 saa 8:36 am

    Hakuna maana moja ya siasa iliyokubaliwa na wasomi wote, kutokana na kutokubaliana huko, nadharia mbalimbali kuhusu maana ya siasa zimeibuka. nitazitaja chache tu.

    (1) state centric view(mtizamo unaohusisha siasa na dola)

    katika mtazamo huu siasa inaelezwa kua ni: kila kitu kinachofanywa na dola au serikali. wasomi kama Mao Tsetung na Otto Von Bismark wanashikilia msimamo huu.
    udhaifu; mtizamo huu umeshindwa kuelezea taasisi nyingine kama vile vyama vya siasa vinaingia kwenye kundi gani kwakua hawavitaji wala kuvihusisha na siasa kwenye maana waliyoitoa.

    (2)mtizamo unaohusisha siasa na nguvu za dola

    miongoni mwa wasomi wanaofafanua mtizamo huu ni Okwudiba Nnoli na Harold Lasswell
    OKWUDIBA NNOLI anaeleza kua siasa ni: mchakato unaohusisha uchukuaji wa madaraka(nguvu) ya dola, utumiaji(utekelezaji) wa madaraka(nguvu) ya dola na ulinzi wa hayo madaraka(nguvu) ya dola.
    HAROLD LASSWELL anaeleza siasa kua ni: who gets what, when and how. maana yake inajikita katika mgawanyo wa rasilimali. Ili mgawanyo wa rasilimali utokee ni lazima mgawaji awe na madaraka(nguvu za dola)

    (3)mtizamo wa siasa kama maisha ya jumla ya umma

    mwanafalsafa Aristotle anaeleza siasa kama: shughuli ya kimaadili inayohusiana na ujengaji wa jamii yenye usawa.
    anaendelea kudai kwamba binaadam ni mnyama wa kisiasa anayeishi kwenye jamii ya kisiasa hivyo kila kitu ni siasa.

    mimi binafsi naunga mkono mtizamo huu wa Aristotle

    hayo ni maoni ya mtumiaji mmoja wa Jamiiforums

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Taratibu za kuanzisha chama za siasa ziko vipi?

    • Nini maana ya CCM?

    • Ni nchi gani yenye utajiri wa nuclear duniani?

    • Nitapata wapi CV ya Charles Kitwanga?

    • Siasa Tanzania inaelekea wapi?

    • Unazionaje siasa za Tanzania?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.