Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 383
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 4, 20192019-02-04T10:52:59+03:00 2019-02-04T10:52:59+03:00Simu

Nawezaje kudownload series kwenye simu?

Nawezaje kudownload series kwenye simu?
  • 2
  • 2,125
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Adam Aman
    2020-04-13T08:43:40+03:00Jibu - April 13, 2020 saa 8:43 am

    App hizi nilizokuandalia siku ya leo hazipatikani kupitia soko la Play Store hivyo, nimekuandalia link maalum ambazo utatumia kuweza kupakua app hizi moja kwa moja kupita simu yako ya Android. Nachokuahidi ni kuwa, App hizi zitakupa urahisi sana wa kupata filamu yoyote, tamthilia (series) mbalimbali pamoja na kuwa na uwezo wa kuangalia trailer au hata filamu hizo moja kwa moja kupitia simu yako ya mkononi.

    1.TeaTV

    TeaTV ni app ya kwanza kwenye list hii app hii intakupa uwezo wa kupakua filamu,
    series na hata tamthilia kwa haraka sana. App hii ni rahisi sana kutumia na
    inapatikana bure kabisa.

    2.The MovieDB

    The Movie DB ni app nyingine nzuri sana ya kudownload movie na series, application hii itakupa uwezo wa kuchagua kulingana na mwaka, genre na pia tofauti na app iliyopita, App The Movie DB inayo sehemu ya lamu za katuni hivyo utaweza kudownload lamu za katuni (Animation) kwaajili ya yako au hata watoto wako.

    3.Show Box

    Show Box ni Application nyingine bora kabisa kwaajili ya kudownload filamu, Application hii itakupa uwezo wa kupakua filamu, na tamthilia moja kwa moja kupitia sim yako ya Android. Kingine kiziri kuhusu App hii ni kuwa itakupa uwezo wa kusoma habari mbalimbali zinazohusiana na filamu mpya na hata zile zinazokuja huku ikikonyesha na Trailer za filamu hizo.

    4.PopcornTime

    Popcorn time ni app nyingine nzuri sana kwaajili ya kupakua filamu, kupitia App hii utaweza kupata movie mpya kulingana na umaarufu wake. Mbali na movie pia utaweza kudownload series pamoja na animation moja kwa moja kupitia simu yako ya Android.

    5.Terrarium TV

    Terrarium tv ni app nyingine nzuri sana kwaajili ya kupakua filamu, app hii nimekuwa nikitumia kwa muda mrefu sasa na kweli imekuwa ikinisaidia sana kupata lamu kwa wakati. App hii inakupa lamu na tamthilia mpya na uzuri ni kuwa kila lamu mpya itakapo kuwa inapatikana kupitia App hiyo basi utatumiwa ujumbe moja kwa moja ili uweze kupakua.

    kupata link za app hizo angalia hapa TanzaniaTech

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Sabas Ephraim
    2019-12-13T10:49:49+03:00Jibu - December 13, 2019 saa 10:49 am

    Ndio unaweza, ila inategemea na aina ya simu yako. Kama simu yako ni ndogo (yaani simu za tochi) haiwezi ila Kama simu yako ni smartphone and kudownload leo hi kwa kupakua faili linaloitwa VIDMATE. Hili faili haliko play store , nenda Google andika vidmate app download, litakuja faili la vidmate na utapakua na install. Vidmate hupakua video kutoka YouTube, Facebook, Instagram na tweeter. Nazani Kila utapata Kila utakacho.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • IMEI ya simu ni nini?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.