Je, kuna ulazima wa kuwa na dini?
RickyllobbeProffesional
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Kuna umuhimu mkubwa sana wa kuwa na dini na sio ulazima. Dini sio kitu kinachoweza kukufikisha mbinguni. Dini ni kitu kinachotumiaka kuwaweka watu pamoja ili watu waweze kuwa na nia inayofanana na kushirikiana kuweza kufikia malengo ya kiroho au malengo ya kuishi maisha mema.
Je kuna ulazima wa kuwa na dini?. Hakuna ulazima ila kuna umuhimu.