Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Kirefu cha CDF ni nini?
Salim Jumbe
Kwa upande wa jeshi CDF kirefu chake ni Chief of Defence Forces kwa kiswahili ni Mkuu wa Majeshi
Kwa upande wa jeshi CDF kirefu chake ni Chief of Defence Forces kwa kiswahili ni Mkuu wa Majeshi
See lessPromo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppAda ya Feza boys ni kiasi gani?
Salim Jumbe
Kwenye website fezaschools.org wanasema TUITION FEES Feza International Schools : from 4,500 USD Feza Schools Zanzibar: from 2,600,000.00 TZS FEZA Primary School: from 3,700,000.00 TZS Feza Nursery School: from 2,900,000 TZS Feza School Dodoma: from 3,700,000.00 TZS Feza Boys Secondary and High SRead more
Kwenye website fezaschools.org wanasema
TUITION FEES
Promo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppNi namna gani ya kuongeza iq ya mtu?
Salim Jumbe
IQ ni kifupi cha intelligence quotient, ni maarufu zaidi katika nchi za magharibi. Ili kuongeza IQ unaeza fanya hivi -Fanya mambo kama michezo ya kuchangamsha akili kama kufumbua mafumbo kucheza magemu kama sudoku na mengine -Ongeza ujuzi mwingine mfano jifunze lugha mpya na kusoma vitabu -KujifunzaRead more
IQ ni kifupi cha intelligence quotient, ni maarufu zaidi katika nchi za magharibi.
Ili kuongeza IQ unaeza fanya hivi
-Fanya mambo kama michezo ya kuchangamsha akili kama kufumbua mafumbo kucheza magemu kama sudoku na mengine
-Ongeza ujuzi mwingine mfano jifunze lugha mpya na kusoma vitabu
-Kujifunza pia vyombo vya kupiga muziki kama kinanda na gitaa inaweza kusaidia pia
-Jifunze lugha mpya
-Soma vitabu mara kwa mara
Muhimu zaidi ni kuongeza ujuzi wowote ule hasa ule ambao unatamani uwe nao
See lessPromo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppKirefu cha neno MKUKUTA ni nini?
Salim Jumbe
Kirefu cha neno MKUKUTA ni Mkakati wa Kukuza na Kupunguza Umasikini Tanzania
Kirefu cha neno MKUKUTA ni Mkakati wa Kukuza na Kupunguza Umasikini Tanzania
See lessPromo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppMakato ya NMB Chap Chap account ni kiasi gani?
Salim Jumbe
Chap Chap akaunti haina makato ya mwezi ila kuna makato ya kutoa pesa. Makato pekee ambayo hayapo ni kuhamisha fedha kutoka akaunti moja ya NMB kwenda akaunti nyingine ya NMB kwa kutumia NMB mobile, NMB ATM na NMB KliK. Kuangalia salio, kuhamisha kwenda kwenye mitandao ya simu na kwenda benki nyingiRead more
Chap Chap akaunti haina makato ya mwezi ila kuna makato ya kutoa pesa.
Makato pekee ambayo hayapo ni kuhamisha fedha kutoka akaunti moja ya NMB kwenda akaunti nyingine ya NMB kwa kutumia NMB mobile, NMB ATM na NMB KliK.
Kuangalia salio, kuhamisha kwenda kwenye mitandao ya simu na kwenda benki nyingine kuna makato.
See lessPromo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppNawezaje kuwasiliana na TRA?
Salim Jumbe
Wasiliana na TRA kwa njia hizi Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania Simu:+255 22 2119591-4 Kituo cha huduma kwa Wateja Tafadhali piga simu kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hiziRead more
Wasiliana na TRA kwa njia hizi
Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania
Simu:+255 22 2119591-4
Kituo cha huduma kwa Wateja
Tafadhali piga simu kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hizi popote pale walipo.
Simu za Tanzania zitakuwa bure:
0800 750 075
0800 780 078
Muda wa kazi Kituoni utakuwa kuanzia Saa 02:00 Asubuhi mpaka 01:00 Usiku kwa saa za Afrika Mashariki Jumatatu hadi Ijumaa isipokuwa siku za sikukuu.
Ofisi za TRA za Mkoa
Tafuta taarifa zote za mawasiliano kwa ofisi za mikoani hapa.
Dar es salaam, Tanzania
Phone: 0800 750075 (Vodacom )
Arusha, Tanzania
Phone: +255 27 2502946
Kibaha
Phone: +255 23 240 2905
Dar es salaam
Phone: +255 22 2771846
Dar es salaam
Phone: +255 22 2185545
Dar es salaam
Phone: +255 22 2861122
Mwanza
Phone: +255 28 2500906
Phone: +255 27 2642200
Moshi
Phone: +255 27 2753268
Tabora
Phone: +255 26 2604609
Sumbawanga
Phone: +255 25 2801089
Songea
Phone: +255 25 2602140
Shinyanga
Phone: +255 28 2762385
Singida
Phone: +255 26 2502320
Mtwara
Phone: +255 23 2333662
Mbeya
Phone: +255 25 2502165
Musoma
Phone: +255 28 2622551
Babati
Phone: +255 27 2531006
Lindi
Phone: +255 23 2202662
Kigoma
Phone: +255 28 2802054
Bukoba
Phone: +255 28 2220390
Iringa
Phone: +255 26 270144
Morogoro
Phone: +255 23 261 4192
Dodoma
Phone: +255 26 232 2912
Promo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppNawezaje kuwasiliana na customer care wa Azam TV
Salim Jumbe
Wasiliana nao kupitia namba 0764700222, 0784108000 or 022 550 8080. Unaweza pia kutuma SMS za kawaida au WhatsApp kupitia namba 0788678797 au email info@azam-media.com
Wasiliana nao kupitia namba 0764700222, 0784108000 or 022 550 8080. Unaweza pia kutuma SMS za kawaida au WhatsApp kupitia namba 0788678797 au email info@azam-media.com
See lessPromo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppNifungue akaunti ya aina gani NMB kwa ajili ya kuweka akiba?
Salim Jumbe
Angalia aina ya akaunti na kiwango cha kufungulia akaunti alafu chagua inayokufaa Aina ya Akaunti Kiwango cha kufungulia Makato ya mwezi NMB Bonus Account 50,000 BURE NMB Mtoto Akaunti 5,000 BURE NMB Pamoja Account 30,000 BURE NMB Chipukizi Akaunti 2,000 BURE
Angalia aina ya akaunti na kiwango cha kufungulia akaunti alafu chagua inayokufaa
Promo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppKozi zinazotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) ni zipi?
Salim Jumbe
Bachelor of Commerce (Accounting) – University of Dar es Salaam Advanced Diploma in Certified Accountancy (ADCA); Bachelor of Accounting and Finance (BAF); Bachelor of Public Sector Accounting & Investigations (B.PSAI) – Mzumbe University Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Bachelor of AccounRead more
Promo – AjiraSearch
Ajira ya Ndoto Yako
Sasa kutafuta ajira ni rahisi zaidi kwa kutumia app hii.
Tazama AppNi masharti na vigezo gani vya kujiunga na mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA)
Salim Jumbe
Masharti ya kujiunga (a) ACCOUNTING TECHNICIAN (i) Mitihani ya Accounting Technicia Level 1 Mtahiniwa mtarajiwa nayebakia kujisajili kwa ajili ya mitihani ya accounting technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo: 1. Cheti cha mtihani wa elimu ya SekondariRead more
Masharti ya kujiunga
(a) ACCOUNTING TECHNICIAN
(i) Mitihani ya Accounting Technicia Level 1
Mtahiniwa mtarajiwa nayebakia kujisajili kwa ajili ya mitihani ya accounting technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:
1. Cheti cha mtihani wa elimu ya Sekondari (CSEE) chenye angalau ufaulu wa crediti tatu na kufaulu Hisabati na Lugha ya Kiingereza
AU
2. Mitihani ya Taifa ya Biashara NABE stage ii na angalau ufaulu wa masomo manne na cheti cha elimu ya Sekondari
AU
3. Advanced Certificate of Secondari Education Examination (ACSEE) yenye angalau ufaulu wa primary katika somo moja na subsidiary katika masomo yanayohusika, lakini ni lazima wafaulu angalau katika Kiingereza na Hisabati, O-Level Secondary Education,
AU
4. Cheti cha mwaka mmoja kutoka taasisi inayotambulika na ufaulu wa Kiingereza na hisabati “O” level kabla ya kupata cheti hicho.
5. Na vyeti vingine kama vitakavyotambuliwa na Bodi kila baada ya muda
ii) Mitihani ya Accounting Technician II
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Techinician ni lazima aoneshe, uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo
b) PROFESSIONAL EXAMINATIONS
Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya PROFESSIONAL ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na mojawapo ya sifa zifuatazo:
(I) Foundation Level – Knowledge and Skills Level
Misamaha inaweza kufikiriwa somo kwa somo kutegemea masomo ya mtahiniwa.
(II) Intermediate Level – skills and Analysis
(III) Final – Level – Analysis, Application na Evaluation
1.Mwenye Taarifa ya ufaulu ya NBAA Intermediate Level
See less