Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Salim Jumbe

Proffesional
0
0Questions
Home» Salim Jumbe»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: November 19, 2019TRA

    Nawezaje kuwasiliana na TRA?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 11, 2021 at 4:29 pm

    Wasiliana na TRA kwa njia hizi Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania Simu:+255 22 2119591-4 Kituo cha huduma kwa Wateja  Tafadhali piga simu  kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hiziRead more

    Wasiliana na TRA kwa njia hizi

    Msimbo wa Posta : 28 Edward Sokoine Drive, 11105 Mchafukoge, Ilala CBD, S.L.P 11491, Dar es salaam, Tanzania

    Simu:+255 22 2119591-4

    Kituo cha huduma kwa Wateja 

    Tafadhali piga simu  kwa maswali, malalamiko na maoni. Wateja wote wa TRA wanahamasishwa kutumia huduma hizi popote pale walipo.

    Simu za Tanzania zitakuwa bure:

    0800 750 075

    0800 780 078

    Muda wa kazi Kituoni utakuwa kuanzia Saa 02:00 Asubuhi mpaka 01:00 Usiku kwa saa za Afrika Mashariki Jumatatu hadi Ijumaa isipokuwa siku za sikukuu.

    Ofisi za TRA za Mkoa

    Tafuta taarifa zote za mawasiliano kwa ofisi za mikoani hapa.

    • Kituo cha mawasiliano ya simu Mawasiliano ya TRA
      Dar es salaam, Tanzania
      Phone: 0800 750075 (Vodacom )
    • Arusha Meneja wa Mkoa
      Arusha, Tanzania
      Phone: +255 27 2502946
    • Mkoa wa Pwani Meneja wa Mkoa
      Kibaha
      Phone: +255 23 240 2905
    • Kinondoni Meneja wa Mkoa
      Dar es salaam
      Phone: +255 22 2771846
    • Ilala Meneja wa Mkoa
      Dar es salaam
      Phone: +255 22 2185545
    • Temeke Meneja wa Mkoa
      Dar es salaam
      Phone: +255 22 2861122
    • Mwanza Meneja wa Mkoa
      Mwanza
      Phone: +255 28 2500906
    • Tanga Meneja wa Mkoa
      Phone: +255 27 2642200
    • Kilimanjaro Meneja wa Mkoa
      Moshi
      Phone: +255 27 2753268
    • Tabora Meneja wa Mkoa
      Tabora
      Phone: +255 26 2604609
    • Rukwa Meneja wa Mkoa
      Sumbawanga
      Phone: +255 25 2801089
    • Ruvuma Meneja wa Mkoa
      Songea
      Phone: +255 25 2602140
    • Shinyanga Meneja wa Mkoa
      Shinyanga
      Phone: +255 28 2762385
    • Singida Meneja wa Mkoa
      Singida
      Phone: +255 26 2502320
    • Mtwara Meneja wa Mkoa
      Mtwara
      Phone: +255 23 2333662
    • Mbeya Meneja wa Mkoa
      Mbeya
      Phone: +255 25 2502165
    • Mara Meneja wa Mkoa
      Musoma
      Phone: +255 28 2622551
    • Manyara Meneja wa Mkoa
      Babati
      Phone: +255 27 2531006
    • Lindi Meneja wa Mkoa
      Lindi
      Phone: +255 23 2202662
    • Kigoma Meneja wa Mkoa
      Kigoma
      Phone: +255 28 2802054
    • Kagera Meneja wa Mkoa
      Bukoba
      Phone: +255 28 2220390
    • Iringa Meneja wa Mkoa
      Iringa
      Phone: +255 26 270144
    • Morogoro Meneja wa Mkoa
      Morogoro
      Phone: +255 23 261 4192
    • Dodoma Meneja wa Mkoa
      Dodoma
      Phone: +255 26 232 2912
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: November 21, 2019

    Nawezaje kuwasiliana na customer care wa Azam TV

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:34 pm

    Wasiliana nao kupitia namba 0764700222, 0784108000 or 022 550 8080. Unaweza pia kutuma SMS za kawaida au WhatsApp kupitia namba 0788678797 au email info@azam-media.com

    Wasiliana nao kupitia namba 0764700222, 0784108000 or 022 550 8080. Unaweza pia kutuma SMS za kawaida au WhatsApp kupitia namba 0788678797 au email info@azam-media.com

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: November 20, 2019Benki, NMB

    Nifungue akaunti ya aina gani NMB kwa ajili ya kuweka akiba?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:31 pm

    Angalia aina ya akaunti na kiwango cha kufungulia akaunti alafu chagua inayokufaa Aina ya Akaunti Kiwango cha kufungulia Makato ya mwezi NMB Bonus Account 50,000 BURE NMB Mtoto Akaunti 5,000 BURE NMB Pamoja Account 30,000 BURE NMB Chipukizi Akaunti 2,000 BURE

    Angalia aina ya akaunti na kiwango cha kufungulia akaunti alafu chagua inayokufaa

    Aina ya Akaunti Kiwango cha kufungulia Makato ya mwezi
    NMB Bonus Account 50,000 BURE
    NMB Mtoto Akaunti 5,000 BURE
    NMB Pamoja Account 30,000 BURE
    NMB Chipukizi Akaunti 2,000 BURE
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: November 19, 2019NBAA

    Kozi zinazotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) ni zipi?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:05 pm

    Bachelor of Commerce (Accounting) – University of Dar es Salaam Advanced Diploma in Certified Accountancy (ADCA); Bachelor of Accounting and Finance (BAF); Bachelor of Public Sector Accounting & Investigations (B.PSAI) – Mzumbe University Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Bachelor of AccounRead more

    1. Bachelor of Commerce (Accounting) – University of Dar es Salaam
    2. Advanced Diploma in Certified Accountancy (ADCA); Bachelor of Accounting and Finance (BAF); Bachelor of Public Sector Accounting & Investigations (B.PSAI) – Mzumbe University
    3. Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Bachelor of Accounting (BAC) –Institute of Finance Management
    4. Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Bachelor of Business Administration (BBA-Accounting)- St. Augustine University of Tanzania.
    5. Advanced Diploma in Cooperative Accounting (ADCA); Bachelor of Arts, Accounting & Finance (BA-AF); Bachelor of Arts, Cooperative Management & Accounting (BA-CMA) – Moshi Cooperative University.
    6. Advanced Diploma in Accountancy (ADA) and Bachelor in Accounting (BA)-Institute of Accountancy Arusha.
    7. Advanced Diploma in Accountancy (ADA); Advanced Diploma in Government Accounting (ADGA); Bachelor Degree in Accounting (BAC) and Bachelor in Public Sector Accounting (BPSA) –Tanzania Institute of Accountancy.
    8. Advanced Diploma in Accountancy (ADA) and Bachelor in Accountancy (BACC)- College of Business Education.
    9. Advanced Diploma in Financial Administration (ADFA) – Zanzibar Institute of Finance Administration.
    10. Bachelor of Commerce (Accounting) and Bachelor of Business Administration (Accounting) – Open University of Tanzania.
    11. Bachelor of Business Administration (Accounting) – Zanzibar University.
    12. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting) – Tumaini University Dar es Salaam College.
    13. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting); Bachelor of Science in Accounting and Finance (BSc.-AF)- Tumaini University Iringa College.
    14. Advanced Diploma in Accountancy (ADA) and Bachelor of Accountancy (BACC) – Stephano Moshi Memorial University College.
    15. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting) – University of Arusha.
    16. Bachelor of Business Administration (BBA Accounting) – Mount Meru University.
    17. Bachelor of Accounting and Finance (BAF) or Bachelor of Business Administration – St. Johns University of Tanzania.
    18. Bachelor of Commerce (Accounting) – University of Dodoma
    19. Bachelor of Accounting (BACC)-Teofilo Kisanji University
    20. Bachelor of Science in Accounting and Finance – Ardhi University
    21. Bachelor of Business Administration (BBA) – Ruaha University College
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: November 19, 2019NBAA

    Ni masharti na vigezo gani vya kujiunga na mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA)

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:04 pm

    Masharti ya kujiunga (a) ACCOUNTING TECHNICIAN (i) Mitihani ya Accounting Technicia Level 1 Mtahiniwa mtarajiwa nayebakia kujisajili kwa ajili ya mitihani ya accounting technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo: 1. Cheti cha mtihani wa elimu ya SekondariRead more

    Masharti ya kujiunga

    (a) ACCOUNTING TECHNICIAN

    (i) Mitihani ya Accounting Technicia Level 1

    Mtahiniwa mtarajiwa nayebakia kujisajili kwa ajili ya mitihani ya accounting technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:

    1. Cheti cha mtihani wa elimu ya Sekondari (CSEE) chenye angalau ufaulu wa crediti tatu na kufaulu Hisabati na Lugha ya Kiingereza

    AU
    2. Mitihani ya Taifa ya Biashara NABE stage ii na angalau ufaulu wa masomo manne na cheti cha elimu ya Sekondari
    AU
    3. Advanced Certificate of Secondari Education Examination (ACSEE) yenye angalau ufaulu wa primary katika somo moja na subsidiary katika masomo yanayohusika, lakini ni lazima wafaulu angalau katika Kiingereza na Hisabati, O-Level Secondary Education,
    AU
    4. Cheti cha mwaka mmoja kutoka taasisi inayotambulika na ufaulu wa Kiingereza na hisabati “O” level kabla ya kupata cheti hicho.
    5. Na vyeti vingine kama vitakavyotambuliwa na Bodi kila baada ya muda

    ii) Mitihani ya Accounting Technician II

    Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Techinician ni lazima aoneshe, uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo

    1. Barua ya Taarifa ya kufaulu Acconting Techinician Level
    2. Advanced Level Secondari school Certificate kwa wanafunzi waliofanya masomo ya biashara. Lakini ni lazima wawe na ufaulu wa principal mbili
    3. Cheti cha Accounting (NTA Level 4)
    4. Diploma ya miaka miwili isiyo na somo kuu la Accounting – NTA Level 6
    5. Wenye advance Level Secondary Education Certificate waliofanya masomo ya biashara na kupata ufaulu katika (Bookeeping na Commerce)

    b) PROFESSIONAL EXAMINATIONS

    Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya PROFESSIONAL ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na mojawapo ya sifa zifuatazo:

    (I) Foundation Level – Knowledge and Skills Level

    1. NBAA Accounting Technician Certificate (ATEC)
    2. Diploma ya miaka miwili katika Accounting au Accounting and Finance NTA Level 6
    3. Shahada kutoka chuo kikuu kinachotambulika au Taasisi ya Elimu ya juu (isiyokuwa ya Accounting).

    Misamaha inaweza kufikiriwa somo kwa somo kutegemea masomo ya mtahiniwa.

    (II) Intermediate Level – skills and Analysis

    1. Mwenye barua ya Taarifa ya ufaulu ya NBAA Intermediate Level
    2. Shahada ya somo kuu la Accounting au Accounting and Finance kutoka Chuo Kikuu kunachotambuliwa au Taasisi ya Elimu ya juu.

    (III) Final – Level – Analysis, Application na Evaluation

    1.Mwenye Taarifa ya ufaulu ya NBAA Intermediate Level

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: November 19, 2019

    King’amuzi cha Azam Tv kinauzwa bei gani?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:03 pm

    Package nzima ya king’amuzi cha Azam Tv inapatikana kwa Tshs. 135,000 na gharama ya kufunga ni Tshs. 30,000

    Package nzima ya king’amuzi cha Azam Tv inapatikana kwa Tshs. 135,000 na gharama ya kufunga ni Tshs. 30,000

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: November 19, 2019NMB

    Nifungue akaunti ya aina gani katika benki ya NMB?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:02 pm

    Kuna aina nyingi za akaunti katika benki ya NMB nyingine hazina makato ya mwezi na nyingine hazihitaji kuwa na hela ya kuanzia wakati wa kufungua. Unaweza kuchagua aina ya akaunti kwa kupitia jedwali lililopo hapa chini. Aina za account – NMB Akaunti Kiasi cha kufungua akaunti Makato ya mwezi NMB PeRead more

    Kuna aina nyingi za akaunti katika benki ya NMB nyingine hazina makato ya mwezi na nyingine hazihitaji kuwa na hela ya kuanzia wakati wa kufungua. Unaweza kuchagua aina ya akaunti kwa kupitia jedwali lililopo hapa chini.

    Aina za account – NMB

    Akaunti Kiasi cha kufungua akaunti Makato ya mwezi
    NMB Personal Account 15,000 1,900
    NMB Mwanachuo Akaunti 10,000 1,900
    NMB Wisdom Account BURE 1,900
    NMB ChapChap Account 10,000  BURE
    NMB Current Account Group 30,000 1,900
    NMB Exclusive Account 1,000,000 35,400
    NMB Executive Account 500,000 23,600
    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: November 18, 2019NBAA

    Ni mitihani gani inayoendeshwa na NBAA?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 1:00 pm

    NBAA inaendesha mitihani katika ngazi mbili za kitaaluma; Mitihani kwa ajili ya Cheti cha Uandishi na Utunzaji Vitabu vya Hesabu Ngazi ya I & II (Accounting Technician Examinations – ATEC Level I & II) yenye masomo manne manne kila ngazi na Mitihani ya Kitaaluma ya Uhasibu – Professional ExaRead more

    NBAA inaendesha mitihani katika ngazi mbili za kitaaluma;

    • Mitihani kwa ajili ya Cheti cha Uandishi na Utunzaji Vitabu vya Hesabu Ngazi ya I & II (Accounting Technician Examinations – ATEC Level I & II) yenye masomo manne manne kila ngazi na
    • Mitihani ya Kitaaluma ya Uhasibu – Professional Examinations ambapo mhitimu hupata shahada ya Uhasibu yaani Certified Public Accountant (CPA).

    Mitihani ya ATEC iko katika ngazi mbili ;

    • ATEC 1 na
    • ATEC II.

    Mitihani ya CPA iko katika hatua tatu ;

    • Ngazi ya Msingi yenye masomo matano,
    • Ngazi ya Kati yenye masomo sita na
    • Ngazi ya Mwisho yenye masomo manne
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: November 18, 2019NBAA

    Masharti ya kujiunga kufanya mitihani ya ATEC I ni yapi?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 12:59 pm

    Masharti ya kujiunga katika mitihani ya ATEC ni kuwa na cheti cha kumaliza elimu ya Sekondari na kufaulu vizuri (credit) masomo yasiyopungua matatu (3) na kufaulu (pass grade) masomo mawili (2) ikiwemo Kiingereza na Hisabati. AU cheti cha kumaliza elimu ya sekondari kidato cha sita (VI) na kufaulu mRead more

    Masharti ya kujiunga katika mitihani ya ATEC ni kuwa na cheti cha kumaliza elimu ya Sekondari na kufaulu vizuri (credit) masomo yasiyopungua matatu (3) na kufaulu (pass grade) masomo mawili (2) ikiwemo Kiingereza na Hisabati.

    AU cheti cha kumaliza elimu ya sekondari kidato cha sita (VI) na kufaulu masomo makuu mawili au moja na somo la ziada, alimradi uwe umefaulu Hisabati katika Elimu ya Sekondari ya Kidato cha nne (IV) angalau kwa alama ya D.

    AU Cheti cha mwaka mmoja kutoka chuo kinachotambulika pamoja na ufaulu wa alama ya D au zaidi katika masomo ya Kiingereza na Hisabati katika cheti cha kidato cha nne

    AU Vyeti vingine ambavyo vitakavyoendelea kutambuliwa na Bodi wakati kwa wakati.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: November 18, 2019NBAA

    Je nikiwa sina masomo matatu niliyofaulu vizuri (credit) katika elimu ya Sekondari, lakini napenda kujiunga katika fani ya uhasibu, nifanye nini?

    Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    Added an answer on April 10, 2021 at 12:47 pm

    Kuna vyeti vingine vinavyotambuliwa na NBAA (BODI YA TAIFA YA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA) : kama cheti cha NABE hatua ya II na kufaulu masomo yasiyopungua manne uliyofaulu vizuri (passes grade) pamoja na cheti cha kidato cha nne(IV). Au Barua ya Matokeo ya Hatua ya Msingi ikionyesha kuwRead more

    Kuna vyeti vingine vinavyotambuliwa na NBAA (BODI YA TAIFA YA WAHASIBU NA WAKAGUZI WA HESABU TANZANIA) : kama cheti cha NABE hatua ya II na kufaulu masomo yasiyopungua manne uliyofaulu vizuri (passes grade) pamoja na cheti cha kidato cha nne(IV).

    Au Barua ya Matokeo ya Hatua ya Msingi ikionyesha kuwa umefaulu mtihani huo ambao unaendeshwa na Bodi ya Taifa ya Usimamizi wa Vifaa.

    Zaidi ya hayo ni lazima uwe umemaliza elimu ya Sekondari ikionyesha masomo uliyofanya na kufaulu.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
1 2 3 … 13
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.