Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In
Tumia Facebook kuingia
au tumia

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa
Tumia Facebook kuingia
au tumia

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Lameck Alen

New
0
0Questions
Home» Lameck Alen»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  • Maswali(Follow)
  1. Asked: February 7, 2020Maisha, Ushauri

    Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

    Lameck Alen

    Lameck Alen

    • 0 Questions
    • 4 Answers
    • 0 Best Answers
    • 27 Points
    View Profile
    Lameck Alen New
    Replied to answer on July 23, 2020 at 9:29 pm

    Asante sana Paulo

    Asante sana Paulo

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: February 7, 2020Maisha, Ushauri

    Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

    Lameck Alen

    Lameck Alen

    • 0 Questions
    • 4 Answers
    • 0 Best Answers
    • 27 Points
    View Profile
    Lameck Alen New
    Added an answer on February 7, 2020 at 4:56 pm

    Unaona kulala ni bora kuliko mitoko ya usiku Unasamehe zaidi Unaheshimu vitu viliyo tofauti Haulazimishi mapenzi Hauwasemi wengine Saa nyingine unaamua kuwa kimya kuliko kujiingiza kwenye ugomvi Furaha yako haitegemei watu wengine bali wewe mwenyewe

    Unaona kulala ni bora kuliko mitoko ya usiku

    Unasamehe zaidi

    Unaheshimu vitu viliyo tofauti

    Haulazimishi mapenzi

    Hauwasemi wengine

    Saa nyingine unaamua kuwa kimya kuliko kujiingiza kwenye ugomvi

    Furaha yako haitegemei watu wengine bali wewe mwenyewe

    See less
    • 2
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: February 4, 2020Maisha, Ushauri

    Mambo gani ambayo yanaweza kunisaidia siku moja?

    Lameck Alen

    Lameck Alen

    • 0 Questions
    • 4 Answers
    • 0 Best Answers
    • 27 Points
    View Profile
    Lameck Alen New
    Added an answer on February 4, 2020 at 8:50 am

    Msikilize vizuri jinsi mtu anavyowaongelea watu wengine ukiwa nae. Hiyo inaweza kuonesha jinsi anavyokuongelea kwa watu wengine. Kwa kawaida mtu huwa anachezesha sana mikono wakati anelezea stori ya kweli. Akiwa anasema uongo mikono inakua imetulia. Wanawake huwa wanapenda wanaume wanaowafanya wacheRead more

    Msikilize vizuri jinsi mtu anavyowaongelea watu wengine ukiwa nae. Hiyo inaweza kuonesha jinsi anavyokuongelea kwa watu wengine.

    Kwa kawaida mtu huwa anachezesha sana mikono wakati anelezea stori ya kweli. Akiwa anasema uongo mikono inakua imetulia.

    Wanawake huwa wanapenda wanaume wanaowafanya wacheke, hii tabia inamfanya mtu kuwa na mvuto zaidi.

    Kama unakohoa sana, nyanyua mikono yako juu ya kichwa chako tatizo hilo litakwisha.

    Njia rahisi ya kumfanya mtu aseme ukweli wote. Endelea kunyamaza, atajielezea mwenyewe.

    Kujua kama betri ziko vizuri, zidondoshe kwenye sakafu. Kama zikidunda ziko vizuri, kama zikidunda zaidi ya mara moja basi zimeisha.

    Waza kama upo na mtu unayempenda wakati wa kupiga picha. Itakupa tabasamu halisi.

    Ukiweka yai kwenye maji, likielea ujue sio zima. Kama likizama basi liko vizuri.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: January 30, 2020Ushauri

    Mambo gani ambayo kuyafanya ni sawa na kupoteza muda tu?

    Lameck Alen

    Lameck Alen

    • 0 Questions
    • 4 Answers
    • 0 Best Answers
    • 27 Points
    View Profile
    Lameck Alen New
    Added an answer on January 30, 2020 at 11:02 pm

    Kuwa katika mahusiano kwa sababu unajihisi mpweke Kujaribu katatua matatizo ya kila mtu Kujaribu kushinda kila ukibishana na mtu Kufanya kitu ili kuwafurahisha wazazi huku wewe ukiwa huna furaha Kulalamikia jambo ambalo ungeweza kuwa ushalifanyia kazi Kujaribu kumfanya mtu ambaye hana interest na weRead more

    Kuwa katika mahusiano kwa sababu unajihisi mpweke

    Kujaribu katatua matatizo ya kila mtu

    Kujaribu kushinda kila ukibishana na mtu

    Kufanya kitu ili kuwafurahisha wazazi huku wewe ukiwa huna furaha

    Kulalamikia jambo ambalo ungeweza kuwa ushalifanyia kazi

    Kujaribu kumfanya mtu ambaye hana interest na wewe akupende

     

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Pata odds kubwa zaidi

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Bashiri Kibingwa. Shinda Kibabe

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Pokea Emails kutoka MojaSky

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.