Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Fred Moshi

New
0
1Question
Home» Fred Moshi»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: July 1, 2019

    Nawezaje kufunga tai?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on April 9, 2021 at 5:28 pm

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: July 1, 2019Afya

    Tende zina faida gani katika mwili wa binadamu?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on April 9, 2021 at 5:16 pm

    Kila wakati unashauriwa na watalam wa afya ya kwamba unatakiwa kula tende kwa wingi ili kupata faida zifuatazo katika mwili wako: 1. Huongeza nguvu kutokana na kuwa na sukari ya asili, unaweza kuchanganya na maziwa na kupata mchanganyiko bora! 2. Huzuia meno kuoza, na ni tiba nzuri kwa wagonjwa wa aRead more

    Kila wakati unashauriwa na watalam wa afya ya kwamba unatakiwa kula tende kwa wingi ili kupata faida zifuatazo katika mwili wako:

    1. Huongeza nguvu kutokana na kuwa na sukari ya asili, unaweza kuchanganya na maziwa na kupata mchanganyiko bora!

    2. Huzuia meno kuoza, na ni tiba nzuri kwa wagonjwa wa anemia kutokana na kuwa na madini mengi ya chuma.

    3. Hupunguza uwezekano wa kupata Kiharusi (stroke) kwani hazina cholesterol kabisa! Pia zina vitamini na madini kwa wingi.

    4. Huongeza uwezo wa Kujamiiana kutokana na kuwa na kiwango kikubwa cha nguvu

    5. Hupunguza madhara ya pombe mwilini na kurudisha afya ya mtu.

    6. Zina kiasi kikubwa cha kamba kamba ambazo hufanya mtu apate choo kirahisi na laini.

    7. Licha ya kuwa tamu, tende haziongezi kiwango cha sukari mwilini, hivyo zinaweza kutumika kama mbadala wa sukari

    8. Huimarisha Mifupa na kuondoa maumivu ya mara kwa mara ya mifupa kutokana na kuwa na madini ya chuma na potassium kwa wingi.

    9. Tende ina msaada mkubwa kwa mama mjamzito, humuongeza nguvu, na hazina madhara kiafya kwa mtoto. Pia husaidia kupata uzazi salama

    10. Ulaji wa tende kwa wingi husaidia kuongeza mwili kwa wale waliokonda kupita kiasi. Hivyo hushauriwi kula tende kupita kiasi kama huhitaji kuongeza mwili.

    chanzo Jamiiforums

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: June 21, 2019Afya

    Kupiga punyeto kuna madhara?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on April 9, 2021 at 8:32 am

    Haya ndio baadhi ya madhara ya kimwili ambayo nimeyapata kwa madaktari wasiotetea upigaji punyeto 1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME: Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwaRead more

    Haya ndio baadhi ya madhara ya kimwili ambayo nimeyapata kwa madaktari wasiotetea upigaji punyeto

    1. PUNYETO INAUA NGUVU ZA KIUME:
    Upigaji wa punyeto unaweza kusababisha upungufu wa nguvu za kiume, kwani kipindi unapiga punyeto jua ile mishipa inayofanya uume usimame unakuwa unaichua na uume unakuwa umesimama kwa muda mrefu sasa ikitokea ukawa unafanya hivi kila siku ile mishipa inalegea na uume unakuwa unakosa nguvu hata ukisimama haui strong unakuwa kama umelegea.

    2. KUWAHI KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO:
    Mara nyingi mtu aliezoea kupiga punyeto huwahi kumaliza mapema pindi akiwa anafanya tendo la ndoa na wakati mwingine uume hushindwa kusimama kwa mara ya pili na kujikuta anashindwa kurudia tendo ikiwa mwenzake bado hajaridhika na anahitaji kuendelea kufanya tendo hilo.
    Athari nyingine ni kama zifuatazo
    3.Uchovu wakati wote / Fatigue. Feeling tired all the time.
    4.Maumivu ya nyonga / Lower back pain.
    5.Kusinyaa kwa Nywele / Nywele kunyonyoka / Thinning hair / Hair Loss
    6.Maumivu ya kende / Groin / Testicular Pain
    7.Maumivu ya kiuno / Pain / cramp in the pelvic cavity or/and tail bone
    Hizo ni baadhi ya nukuu zangu!

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: April 22, 2019Afya

    Ni namna gani ya kuwateketeza kunguni na chawa ndani ya nyumba bila kutumia dawa za kisasa?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on April 9, 2021 at 8:29 am

    Kunguni wanaweza kumsumbua mtu yeyote. Ni rahisi kuwadhibiti ukitambua mapema kwamba wapo. Kwa hiyo, jifunze kutambua ishara za kwamba wapo nyumbani na unaposafiri. Chunguza fanicha zako na vitu vingine vya mbao pamoja na mizigo, uone ikiwa kuna mayai madogo yanayofanana na mbegu ndogo nyeusi au alaRead more

    Kunguni wanaweza kumsumbua mtu yeyote. Ni rahisi kuwadhibiti ukitambua mapema kwamba wapo. Kwa hiyo, jifunze kutambua ishara za kwamba wapo nyumbani na unaposafiri. Chunguza fanicha zako na vitu vingine vya mbao pamoja na mizigo, uone ikiwa kuna mayai madogo yanayofanana na mbegu ndogo nyeusi au alama za damu. Tumia tochi unapowatafuta kunguni ili uweze kuwaona.

    Usiruhusu kunguni wawe na sehemu nyingi za kujificha. Ziba nyufa zote ukutani na kwenye viunzi vya milango. Ingawa kunguni hawaletwi na uchafu, itakuwa rahisi zaidi kuwatambua na kuwadhibiti ikiwa unasafisha nyumba kwa ukawaida na kupunguza vitu vilivyorundamana. Ukiwa hotelini, unaweza kupunguza uwezekano wa kubeba kunguni kwa kuepuka kuweka masanduku yako sakafuni na kitandani

    Inaelezwa hivyo katika tovuti ya dw

    Unaweza kuangalia video pia jinsi ya kutengeneza sumu ya kuwauua ukiwa nyumbani

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: April 3, 2019Urembo/Utanashati

    Unajua jinsi ya kuongeza hips

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on October 16, 2020 at 7:36 am

    Kupitia Facebook kuna jamaa kaandika hivi.... Njia hii ni kupitia mazoezi ya kuongeza hips. Zidi kusoma ili uyaelewe mazoezi haya rahisi na salama kabisa ya kuongeza urembo wa makalio yako. Mazoezi ya squat Ili kuanza mazoezi haya, simama wima kwa miguu yote kisha fanya kwamba unaketi hewani. UnapofRead more

    Kupitia Facebook kuna jamaa kaandika hivi….

    Njia hii ni kupitia mazoezi ya kuongeza hips. Zidi kusoma ili uyaelewe mazoezi haya rahisi na salama kabisa ya kuongeza urembo wa makalio yako.

    Mazoezi ya squat

    Ili kuanza mazoezi haya, simama wima kwa miguu yote kisha fanya kwamba unaketi hewani. Unapofika urefu kama wa mtu aliyeketi kwenye kiti, inuka tena na kusimama wima.

    Aina hii ya mazoezi huivuta misuli ya makalio na kuibana, hivyo basi kuongeza upana wake. Siku za kwanza za mazoezi, utahisi maumivu, lakini baada ya siku kadhaa, utazoea na uchungu kupotea kabisa.

    Fanya mazoezi haya kwa roundi tatu kila siku. Katika kila raundi, fanya squat hizo mara kumi na tano. Unavyozidi kuyazoea mazoezi haya, ongeza squat hizo nwa idadi ya tano kila siku mpaka utakapofika squat mia mbili hamsini. Utahisi nguo zikikubana kwenye makalio, kumaanisha kuwa mazoezi yanatengeneza umbo lako.

    Mazoezi ya bridge

    Hali ya maisha ya siku hizi inahusisha kuketi kwingi ofisini. Hii hufanya umbo la makalio kubadilika na kuwa baya. Hii sio tisho kwani kuna zoezi la bridge ambalo litayapea makalio yako umbo la kupendeza.

    Ili kulifanya, lala chini kichali, yaani kwa mgongo. Lainisha miguu kabisa na kuiweka mikono karibu na mwili. Kisha uinue kiuno chako juu mpaka uhisi kuwa umefika mwisho.

    Bakia kwenye hali hii kwa muda wa sekunde kumi kisha uuinue mguu wa kulia juu kabisa. Unafaa uuone bila kuinua kichwa. Ukihisi kuwa mguu umefika mwisho, uteremshe mguu wa kulia na uuinue ule wa kushoto. Rudia zoezi hili kwa mara kumi kwa kila mguu.

    Ulifanye zoezi hili kwa raundi tatu kila siku. Unaweza kuongeza idadi hii kulingana na mapenzi yako.

    Mazoezi ya donkey kick

    Kama jina hili linavyofanana, zoezi hili linahitaji ufanye kama punda kwa kuirusha miguu kwa nyuma. Ili kulifanya, kaa kama mnyama; usimame kwa magoti na mikono kama mnyama.

    Baada ya hapo, uinue mguu wa kulia kwa nyuma na kuuweka juu kabisa kwa utaratibu. Upeleke mpaka uhisi kuwa umefika mwisho. Kisha uteremshe mguu kwa utaratibu mpaka ufike sakafuni.

    Baada ya hapo, uinue mguu wa kushoto kwa njia ile ile. Fanya zoezi hili kwa raundi kama tatu huku ukiuinua kila mguu na kuurudisha chini mara ishirini.

    Unaweza kuongeza idadi hii kulingana na unavyoyazoea mazoezi haya ya donkey kick. Baada ya muda, utahisi nguo zikikubana kwenye makalio, ishara kuwa mazoezi yanatenda kazi hii ya ajabu.

    Mazoezi ya lunges

    Zoezi la tatu linajulikana kama lunges.

    Ili kulifanya, jishike kwenye kiuno. Kisha piga magoti kwa mguu mmoja. Uweke mguu ule wa pili mbele yako na ukanyage chini kama kawaida. Kisha inuka mpaka miguu yote miwili ilainike kabisa.

    Fanya hivi kwa mara kumi kisha uibadilishe miguu. Fanya zoezi hili kwa mara ishirini kwa kila mguu na uende raundi kama tatu kila siku. Unaweza kuongeza idadi hii utakavyo, kulingana na unavyohisi kuzoea zoezi hili.

    Mazoezi ya kupanda ngazi

    Iwapo nyumba unayoishi ina ngazi (stairs), basi una bahati kubwa kwani utaweza kulifanya zoezi hili na kupata makalio bora. Utahitaji mfuko au mkoba unaobebwa kwa mgongo. Weka kitu au vitu vizito kwenye ule mkoba na uubebe mgongo. Kisha panda na kushuka zile ngazi mara mingi utakavyo.

    Hakikisha kuwa kisigino kinakanyanga chini kabisa ili zoezi hili lifanye kazi kikamilifu. Rudia zoezi hili kwa mara nne kwa wiki. Iwapo hautapa ngazi nyingi za kutosha, basi chukua kiti kidogo kisicho na mgongo.

    Ubebe mkoba ule na ukanyange pale juu kwa kila mguu. Kanyanga kiti kile mara hamsini. Fanya zoezi hili kwa roundi nne kila siku. Utayaona matokeo baada ya wiki kama mbili.

    Mazoezi ya step-ups

    Zoezi hili la step-ups litatumia kiti kidogo ambacho uitumia kwenye zoezi hili hapo juu. Hata hivyo, unahimizwa kukitumia kiti chenye nguvu na kisichosongasonga unapopanda juu. Ukiweza, tafuta ubao na uwekwe miguu iliyoingizwa ardhini kama viti vya kujiundia.

    Baada ya hapo, simama mbele ya kiti kile. Inua mguu wako wa kulia na uuwekelee pale juu ya kile kiti. Hakikisha umeuweka vyema kabisa ili usianguke utakapopanda juu.

    Baada ya hapo, jiiunue kutoka chini ukitumia mguu wa kulia (uliowekelea juu ya kiti au ubao). Usijisukume kwa mguu uliotulia kwenye sakafu.

    Ukifika juu, teremka tena na uuwache mguu wa kulia pale juu. Kisha uuteremshe na kurudia zoezi hili ukitumia mguu huo huo. Rudia mara kumi na mbili kisha badilisha mguu.

    Fanya raundi tatu kila siku. Iwapo utaweza kuubeba mfuko wenye uzito kiasi, utaongeza matokea ya zoezi hili.

    Mazoezi ya side kick

    Zoezi la mwisho kabisa linajulikana kama side kick.

    Ili kulifanya, simama wima, mikono kwenye makalio na miguu ikiachana kwa kiasi tu. Yaani pawe na mwanya katikati ya viatu. Ukiwa umesimama hivyo, uinue mguu wa kulia kwa upande wan je.

    Ukunjue kabisa bila kuukunja ule wa kushoto. Hesabu 1 mpaka 3 kisha uurudishe polepole kwenye sakafu. Fanya hivi mara kumi na tano, kisha ubadilishe mguu. Fanya zoezi hili kwa raundi tatu kila siku.

    Maarifa ya ziada: kula vyema

    Iwapo unataka mazoezi haya yakusaidie, itabidi ule vyakula ambavyo hujenga mwili. Hivyo basi, itabidi uanze kula protini kwa wingi.

    Protini ni chakula muhimu cha kujenga mifupa na misuli. Vyakule vyenye protini ni kama karanga, nyama, maharage, samaki, korosho, maziwa na vinginevyo.

    Pili, usile vyakula vya mikaango kwa wingi. Vyakula hivyo ni kama vile maandazi, chapatti na viazi (chips). Vyakula hivi vitakupa kitambi na kujaza mafuta kwenye umbo la makalio, hivyo kuliharibu.

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: September 26, 2020

    Dawa ya jino ni nini?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on September 30, 2020 at 6:39 am

    Mahitaji 1.? Mafuta ya karafuu/clove oil. 2.? mafuta ya Nazi/coconut oil. 3.? Kitunguu maji. 4.? Kitunguu swaum. 5.? Pilipili manga. 6.?Chumvi ya mawe/unga wake MAANDALIZI Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuRead more

    Mahitaji
    1.? Mafuta ya karafuu/clove oil.
    2.? mafuta ya Nazi/coconut oil.
    3.? Kitunguu maji.
    4.? Kitunguu swaum.
    5.? Pilipili manga.
    6.?Chumvi ya mawe/unga wake

    MAANDALIZI
    Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuu kwa kiasi kidogo (robo kijiko kidogo cha chai) kisha chukua mchanganyiko huu kisha uweke juani kwa muda wa dakika 15 kisha toa juani.

    MATUMIZI

    1.ikiwa jino lina tundu
    chukua uji uji wa mchanganyiko huu kisha weka katika tundu na mafuta yake yapakaae pembezoni mwa jino linalouma.

    2.ikiwa jino halina tundu
    pakaa mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni kulizunguka jino linalouma

    Tumia dawa hii kutwa mara tatu kwa muda wa siku tatu jino lako litakuwa limepona kabsaa

    KUMBUKA:
    ? Dawa hii inamatokeo ya haraka sana ambapo unaweza kutumia papo hapo jino likapoa,hivyo hakikisha unamaliza dozi kwa muda ulioelekezwa.

    ? Jiepushe na kunywa vinywaji vya moto sana au vya barid sana mpaka umalize dozi kwa muda uliopangwa.

     

    Chanzo : zenjishoppazz.com

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: April 4, 2020

    Ugonjwa wa korona ni nini?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on May 17, 2020 at 8:15 am

    Ugonjwa wa Korona ni ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na kirusi kinachoitwa korona. Jina maalum kwa ajili ya ugonjwa huu unaosumbua sahivi ni COVID19. COVID-19 ni kifupi cha naneno COrona VIrus Disease 2019. Covid 19 ni jina lilitoewa na WHO kwa ajili ya virusi vya korona vilivyolipuka kipinRead more

    Ugonjwa wa Korona ni ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na kirusi kinachoitwa korona. Jina maalum kwa ajili ya ugonjwa huu unaosumbua sahivi ni COVID19. COVID-19 ni kifupi cha naneno COrona VIrus Disease 2019. Covid 19 ni jina lilitoewa na WHO kwa ajili ya virusi vya korona vilivyolipuka kipindi hiki.

    Virusi vya corona au Corona virus ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama (mamalia na ndege) lakini pia kwa binadamu. Inaaminiwa ni aina ya virusi vilivyohama kutoka kwa wanyama na kuathiri binadamu pia.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: April 7, 2020

    COVID-19 ni nini?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on May 15, 2020 at 8:20 am

    COVID-19 ni kifupi cha naneno COrona VIrus Disease 2019. Covid 19 ni jina lilitoewa na WHO kwa ajili ya virusi vya korona vilivyolipuka kipindi hiki. Virusi vya corona au Corona virus ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama (mamalia na ndege) lakini pia kwa binadamu. InaaminiRead more

    COVID-19 ni kifupi cha naneno COrona VIrus Disease 2019. Covid 19 ni jina lilitoewa na WHO kwa ajili ya virusi vya korona vilivyolipuka kipindi hiki. Virusi vya corona au Corona virus ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama (mamalia na ndege) lakini pia kwa binadamu. Inaaminiwa ni aina ya virusi vilivyohama kutoka kwa wanyama na kuathiri binadamu pia.

    See less
    • 2
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: March 18, 2020

    Corona virus inatibika?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on May 14, 2020 at 8:28 am

    Mpaka sasa hakuna dawa iliyothibitishwa kutibu ugonjwa huu mpya. Dawa iliyoagizwa kutoka Madagascar inasubiri vipimo vya majaribio kuangalia kama inaweza kufanya kazi. Cha kuzingatia Kama umeambukizwa ni kupumzika,  kunywa maji mengi na kula vyakula vyenye virutubisho. Unapaswa kujitenga na kusafishRead more

    Mpaka sasa hakuna dawa iliyothibitishwa kutibu ugonjwa huu mpya. Dawa iliyoagizwa kutoka Madagascar inasubiri vipimo vya majaribio kuangalia kama inaweza kufanya kazi.

    Cha kuzingatia
    Kama umeambukizwa ni kupumzika,  kunywa maji mengi na kula vyakula vyenye virutubisho. Unapaswa kujitenga na kusafisha sehemu zinazoguswa mara kwa mara.
    Kila mtu anapaswa kujali afya yake akiwa nyumbani, kula vizuri na kuwasiliana na ndugu na marafiki kwa kutumia simu na mitandao ili kupunguza mikutano na mikusanyiko.
    Tafsiri imetoka WHO

    See less
    • 3
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: March 18, 2020

    Nawezaje kujikinga na ugonjwa wa corona virus?

    Fred Moshi

    Fred Moshi

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 47 Points
    View Profile
    Fred Moshi New
    Added an answer on March 18, 2020 at 10:18 am

    Zingatia haya Nawa vizuri na kila wakati mikono yako kwa maji ya vuguvugu, sabuni au dawa za kuua vijijidudu kwa angalau sekunde 20. Kaa umbali wa angalau hatua mbili (2) kutoka mtu anayepiga chafya au kukohoa. Epuka kushika macho, pua na mdomo kwa mikono isiyo safi kwa sababu mikono hushika sehemuRead more

    Zingatia haya

    1. Nawa vizuri na kila wakati mikono yako kwa maji ya vuguvugu, sabuni au dawa za kuua vijijidudu kwa angalau sekunde 20.
    2. Kaa umbali wa angalau hatua mbili (2) kutoka mtu anayepiga chafya au kukohoa.
    3. Epuka kushika macho, pua na mdomo kwa mikono isiyo safi kwa sababu mikono hushika sehemu nyingi na ni rahisi kubeba vimelea vya maradhi.
    4. Hakikisha wewe, na walio karibu yako wanazingatia ustaarabu wa kuzuia pua na mdomo wakati wa kukohoa au kupiga chafya.
    5. Baki nyumbani ikiwa hujisikii vizuri. Iwapo una mafua makali, homa, kikohozi na kushindwa kuhema nenda hospitali kwa sababu huko wataalamu watakupatia msaada muhimu
    6. Epuka kuwa sehemu yenye msongamano, kama vyombo vya usafiri, maduka na maeneo yenye yenye mgandamizo wa hewa.
    7. Nunua kifunika mdomo na pua na kukikavaa ukiwa kwenye mikusanyiko.
    8. Fuatilia taarifa za afya na matangazo yake kuhusu virusi vya Corona.
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
1 2
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.