Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Flora Jumanne

Intermediate
2
0Questions
Home» Flora Jumanne»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: February 22, 2019Urembo/Utanashati

    Mishono gani simple ya vitenge uliyowahi kuiona?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on April 11, 2021 at 4:25 pm

    Credit : jollyannie7.blogspot.com





















    Credit : jollyannie7.blogspot.com

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: June 5, 2019Elimu, Maana za Maneno

    Elimu ni nini?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on April 8, 2021 at 9:34 pm

    Elimu kwa maana pana ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili, tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi. Katika dhana ya kiufundi, elimu ni njia ambayo hutumiwa makusudi na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine. wikipedia

    Elimu kwa maana pana ni tendo au uzoefu wenye athari ya kujenga akili, tabia ama uwezo wa kimaumbile wa mtu binafsi. Katika dhana ya kiufundi, elimu ni njia ambayo hutumiwa makusudi na jamii kupitisha maarifa, ujuzi na maadili kutoka kwa kizazi kimoja hadi kingine.

    wikipedia

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: June 5, 2019Kiswahili, Maana za Maneno

    Nini maana ya insha?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on April 8, 2021 at 9:33 pm

    Insha ni utunzi wa mfuatano wa tungo zenye mtiririko unaoelezea kuhusu mada fulani. Hutumika zaidi shuleni ili kumzoesha mwanafunzi kujieleza kwa maandishi. Kuna aina mbili za insha, nazo ni: 1. Insha za kisanaa. 2. Insha zisizo za kisanaa. Kimuundo insha imegawanyika katika sehemu kuu nne: kichwa cRead more

    Insha ni utunzi wa mfuatano wa tungo zenye mtiririko unaoelezea kuhusu mada fulani. Hutumika zaidi shuleni ili kumzoesha mwanafunzi kujieleza kwa maandishi.

    Kuna aina mbili za insha, nazo ni:

    • 1. Insha za kisanaa.
    • 2. Insha zisizo za kisanaa.

    Kimuundo insha imegawanyika katika sehemu kuu nne:

    • kichwa cha insha
    • utangulizi wa insha
    • kiini cha insha/lengo la insha
    • mwisho wa insha/hitimisho

    chanzo – wikipedia

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: March 29, 2019Kilimo/Ufugaji

    Karafuu ni nini?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on May 25, 2020 at 8:33 am

    Karafuu ni nini?  ni zao linalotokana na mkarafuu. Zao hili halimo katika kundi la vyakula wala vinywaji lakini ni kiungo na dawa muhimu kwa maisha ya binadamu. Zao hili lina matumizi mengi, ambapo hutumika kama kiungo katika vyakula na vinywaji, dawa kwa maradhi ya tumbo, meno na misuli vile vile hRead more

    Karafuu ni nini?  ni zao linalotokana na mkarafuu. Zao hili halimo katika kundi la vyakula wala vinywaji lakini ni kiungo na dawa muhimu kwa maisha ya binadamu.

    Zao hili lina matumizi mengi, ambapo hutumika kama kiungo katika vyakula na vinywaji, dawa kwa maradhi ya tumbo, meno na misuli vile vile hutumika katika kuleta harufu nzuri ya kinywa, mwili na mazingira ya nyumbani.

    Pia hutumika katika uzalishaji wa bidhaa nyingine ikiwamo sigara, mafuta ya karafuu ambayo hutumika kwa kuchulia misuli inayouma, kutengeneza dawa za meno na manukato.

    Karafuu hutumika kwenye vyakula mbalimbali ikiwamo nyama, biriani, pilau, mchuzi wa masalo na vyakula vikavu kama vile vileja, beskuti na donat na kwa upande wa vinywaji karafuu hutumika katika chai na maziwa.

    wataalamu wanasema kuwa karafuu husaidia usagaji mzuri wa chakula tumboni na ni nzuri kwa matibabu ya maumivu ya tumbo, tumbo kujaa gesi na kiungulia. Hivyo, ni miongoni mwa kiungo muhimu katika vyakula kutokana na vinasaba vya aina ya eugnol vilivyomo ndani yake.

    Aidha, hutumika katika utengenezaji wa mafuta ambayo husaidia kusafisha damu. Tafiti zinaonyesha kuwa vinasaba vilivyomo katika karafuu vinapunguza sumu katika damu na kusaidia mzunguko mzuri wa damu.

    Pia karafuu hutumika katika viwanda kwa ajili ya kutengezea dawa za meno kwa ajili ya kutunza meno na kuondosha maumivu ya meno na fidhi, kung’arisha meno na kuleta harufu nzuri ya kinywa, harufu iliyomo katika karafuu husaidia kuondoa harufu mbaya mdomoni.

    Karafuu pia inatajwa kusadia kutibu vidonda vya mdomo na kuimarisha afya ya fizi pamoja na kuzuia meno kuoza.

    Madaktari wa meno wamekuwa wakitumia mafuta ya karafuu kwa ajili ya kutibu matatizo ya meno, hii ni kwa sababu mafuta hayo yamekusanya vinasaba vya eugnol ambavyo ni vizuri kwa meno na fidhi.

    Karafuu inatumika katika urembo… wanawake hupenda kusugulia mwili (scrub) kwa kuchanganya unga wa karafuu kavu iliyosagwa na mafuta ya nazi na liwa ambapo husuguliwa mwili mzima kwa ajili ya kuondoa uchafu na kuufanya mwili kuwa nyororo.

    Sabuni zinazotengenezwa kwa karafuu huondoa harara, vipele na chunusi na hivyo kuifanya ngozi iwe nyororo na yenye kuvutia.

    Matumizi ya karafuu na mafuta yake humfanya mtu kuwa mchangamfu… humwondolea uchovu kwa vile karafuu inaiweka akili katika hali nzuri nakufanya ubongo ufanye kazi vizuri. Pia husadia kuondoa matatizo ya kusinzia, kupoteza kumbukumbu na wasiwasi.

    Mafuta ya karafuu yanapochanganywa na chumvi, husaidia kuondosha maumivu ya kichwa, matatizo katika mfumo wa upumuaji, kusafisha koo na hutibu kikohozi, mafua na pumu.

    chanzo: Mtanzania blog

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: January 16, 2020Vyeti

    Nani anaweza kusajili kifo kwa msajili wa vizazi na vifo?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on January 16, 2020 at 12:54 pm

    Mwenye jukumu la kusajili kifo ni  Daktari, ndugu wa karibu wa marehemu aliyekuwepo wakati wa kifo. Mtu aliyemhudumia wakati wake wa mwisho wa ugonjwa. Mwenye nyumba. Mpangaji. Mtu yeyote aliyechukua jukumu la maziko ya marehemu.

    Mwenye jukumu la kusajili kifo ni 

    • Daktari, ndugu wa karibu wa marehemu aliyekuwepo wakati wa kifo.
    • Mtu aliyemhudumia wakati wake wa mwisho wa ugonjwa.
    • Mwenye nyumba.
    • Mpangaji.
    • Mtu yeyote aliyechukua jukumu la maziko ya marehemu.
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: January 11, 2020Utalii

    Nifanyeje kama nataka kutembelea hifadhi za taifa au mbuga za wanyama?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on January 11, 2020 at 4:19 pm
    Jibu hili limerekebishwa.

    Kitu cha kwanza inabidi uamue ni hifadhi gani unahitaji kutembelea baada ya kuzifuatilia zote. Kupanda Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru unapaswa kuwa ama kupitia kampuni ya kuongoza watalii. Kampuni ya kuongoza watalii itakuongoza katika kila kitu muhimu katika kupanda mlima, na unapaswa kuzingatia kRead more

    Kitu cha kwanza inabidi uamue ni hifadhi gani unahitaji kutembelea baada ya kuzifuatilia zote. Kupanda Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru unapaswa kuwa ama kupitia kampuni ya kuongoza watalii. Kampuni ya kuongoza watalii itakuongoza katika kila kitu muhimu katika kupanda mlima, na unapaswa kuzingatia kampuni zilizosajiliwa kwenye kupandisha watu milimani.

    Hifadhi nyingine zote zilizobaki zinaweza kutembelewa bila kutumia kampuni ya mwongoza watalii japo inashauriwa sana kutumia kampuni hizo ili kuhakikisha mpangilio mzuri wa utalii wako.

    Mambo unayotakiwa kuyajua kabla ya kujiandaa kutembelea hifadhi za taifa:

    • Siku ngapi(mchana/usiku) utatumia katika hifadhi husika.
    • Utafikaje ( kwa anga, barabara, maji au treni )
    • Itanigharimu kiasi gani cha pesa kwa ajili ya gharama za hifadhi, malazi na chakula katika siku hizi.
    • Umbali kutoka mji wa karibu hadi hifadhini
    • Sheria za hifadhi
    • Muda wa hifadhi  06:30 asubuhi hadi 06:00 jioni
    • Viingilio katika mageti ya hifadhi
    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: June 14, 2019Mapenzi, SMS

    Sms nzuri za msamaha kwa mpenzi ni zipi?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on January 11, 2020 at 10:03 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu! •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·• Tukae kimya sheteni apite, naaminiRead more

    Mpenzi wangu naomba unisamehe, nakupenda sana dear na ni kweli kuna wakati nakukosea, lakini amini nakupenda. Sijawahi kujuta na sitajuta kamwe kuwa na wewe! Naamini nitaendelea kuwa mwaminifu kwako, sio leo tu, bali siku zote za penzi letu!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Tukae kimya sheteni apite, naamini haikuwa akili yangu bali ni ushawishi wa sheteni ambaye siku zote amekazania kuharibu penzi letu!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Wewe kwangu ni kila kitu, sipendi kuyaona machozi yako mpenzi wangu! Sogea nikufute na unirudishe tena mikononi mwako, nakupenda sana dear!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Wewe ni taa kwangu imulikayo gizani, nakupenda sana mpenzi wangu wa moyo, utakuwa wangu siku dear! Kosa nililofanya ni kwa bahati mbaya, naomba unisamehe na ninaahidi kutorudia tena katika penzi letu!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Mimi kwako ni kipofu, nishike mkono tuvuke barabara, magari ni mengi na yanapita kwa kasi, siwezi kuona zaidi ya kusikia yakiunguruma, honi za magari siwezi kupima umbali wake, usiniache katikati ya barabara nitagongwa na kufa mara moja! Njoo niokoe nitagongwa mpenzi wangu! Forgive me dear…
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    Japo umeniuzi sina budi kukupa hizi pongezi, sijui umejifunza wapi mapenzi, hakika kwako mi ni mfungwa wa mapenzi! Nakupenza mpenzi nitunziye langu penzi!
    •·.·°¯`·.·•*•·.·°¯`·.·•
    maneno million haliwez kulirudisha pendo lako najua kwasababu nimejaribu,pia machozi million haliwez kulirudisha najua kwasababu nimelia.
     
    kutoka SMSzaMapenzi blog

    See less
    • -4
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: January 11, 2020Cheti cha Kuzaliwa

    Kama mtanzania amezaliwa akiwa nje ya nchi, anaweza kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on January 11, 2020 at 6:28 am

    RITA wanasema hivi "Mtanzania aliyezaliwa ng’ambo hawezi kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania bara. Sheria inayoongoza usajili wa vizazi na vifo hairuhusu kusajili matukio ya vizazi vilivyotokea ng’ambo."

    RITA wanasema hivi “Mtanzania aliyezaliwa ng’ambo hawezi kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania bara. Sheria inayoongoza usajili wa vizazi na vifo hairuhusu kusajili matukio ya vizazi vilivyotokea ng’ambo.”

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: January 10, 2020Utalii

    Naweza kupanda Mlima Kilimanjaro bila kutumia kampuni ya tour ama tour guide?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on January 10, 2020 at 5:18 pm

    Hapana, unahitaji kampuni ya kuongoza watalii wakati wa kupanda Mlima Kilimanjaro kwa sababu utahitaji kutumia muda usiopungua siku tano kufika kileleni. Kwa wakati wote huo utahitaji chakula, maji na mtu wa kukuongoza na kubeba mahitaji yako. Huduma zote hizo zinatolewa na kampuni ya kuongoza watalRead more

    Hapana, unahitaji kampuni ya kuongoza watalii wakati wa kupanda Mlima Kilimanjaro kwa sababu utahitaji kutumia muda usiopungua siku tano kufika kileleni.

    Kwa wakati wote huo utahitaji chakula, maji na mtu wa kukuongoza na kubeba mahitaji yako. Huduma zote hizo zinatolewa na kampuni ya kuongoza watalii.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: January 9, 2020Utalii

    Kipindi gani ni kizuri zaidi kupanda Mlima Kilimanjaro?

    Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 98 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    Added an answer on January 9, 2020 at 6:40 am

    Unaweza kupanda Mlima Kilimanjaro kipindi chochote cha mwaka japo kuanzia mwezi Juni hadi Desemba ndio wakati unaopendendwa na wengi kwa sababu uwezekano wa kuwepo mvua kubwa ni mdogo.

    Unaweza kupanda Mlima Kilimanjaro kipindi chochote cha mwaka japo kuanzia mwezi Juni hadi Desemba ndio wakati unaopendendwa na wengi kwa sababu uwezekano wa kuwepo mvua kubwa ni mdogo.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
1 2
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.