Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Edutan

Intermediate
1
1Question
Home» Edutan»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: June 5, 2019Vyuo

    Sifa za kujiunga na chuo cha maji ni zipi?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on September 20, 2020 at 8:51 am

    Vigezo vya kujiunga na Chuo cha Maji ngazi ya Diploma Mwanafunzi aliemaliza kidato cha nne, awe na ufahulu wa alama D angalau tatu katika masomo ya Physics, Mathematics, Biology, Chemistry au Geography. Muhitimu wa VETA mwenye Grade I (NVA III) na angalau alama D katika masomo ya Physics Chemistry BRead more

    Vigezo vya kujiunga na Chuo cha Maji ngazi ya Diploma

    Mwanafunzi aliemaliza kidato cha nne, awe na ufahulu wa alama D angalau tatu katika masomo ya Physics, Mathematics, Biology, Chemistry au Geography.

    Muhitimu wa VETA mwenye Grade I (NVA III) na angalau alama D katika masomo ya Physics Chemistry Biology Geography au Mathematics.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: February 22, 2019Dodoma, Vyuo

    Unakijua Chuo cha Mipango Dodoma?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on April 24, 2020 at 6:54 pm

    Ndio nakifahamu. Chuo kinapatikana Dodoma mjini eneo la miyuji barabara inayoelekea Arusha. Kozi zinazotolewa hapa zinahusu maswala ya maendeleo ya miji na vijiji na nyingine zinazohusiana na hizo Niliandika post inayohusu chuo hiki, soma hapa chini Chuo cha Mipango Dodoma – Institute of Rural DevelRead more

    Ndio nakifahamu.

    Chuo kinapatikana Dodoma mjini eneo la miyuji barabara inayoelekea Arusha. Kozi zinazotolewa hapa zinahusu maswala ya maendeleo ya miji na vijiji na nyingine zinazohusiana na hizo

    Niliandika post inayohusu chuo hiki, soma hapa chini

    Chuo cha Mipango Dodoma – Institute of Rural Development Planning (IRDP)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: February 4, 2019Maisha

    Kitabu gani kimewahi kubadilisha maisha yako?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on September 20, 2019 at 10:34 am

    Kwa wale wapenzi wa vitabu vilivyoandikwa katika lugha ya kiingereza naweza kupendekeza vitabu vitano(5) vinavyoweza kubadilisha maisha au kubadilisha kitu ndani ya maisha yako. ATTITUDE IS EVERYTHING - JEFF KELLER HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE - DALE CARNEGIE  RICH DAD, POOR DAD - ROBERTRead more

    Kwa wale wapenzi wa vitabu vilivyoandikwa katika lugha ya kiingereza naweza kupendekeza vitabu vitano(5) vinavyoweza kubadilisha maisha au kubadilisha kitu ndani ya maisha yako.

    1. ATTITUDE IS EVERYTHING – JEFF KELLER
    2. HOW TO WIN FRIENDS AND INFLUENCE PEOPLE – DALE CARNEGIE 
    3. RICH DAD, POOR DAD – ROBERT KIYOSAKI
    4. THE POWER OF YOUR SUBCONSCIOUS MIND – JOSEPH MURPHY
    5. THE MONK WHO SOLD HIS FERRARI – ROBIN SHARMA
    See less
    • 2
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: February 4, 2019Internet

    Nawezaje kudownload vitabu vya kulipia bure?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Replied to answer on September 20, 2019 at 10:15 am

    Nadhani hii ndio sehemu bora zaidi

    Nadhani hii ndio sehemu bora zaidi

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: June 5, 2019Elimu, Maana za Maneno

    Sosholojia ni nini?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on August 14, 2019 at 9:39 am

    Sosholojia ni fani ya sayansi inayochunguza mwenendo wa kijamii, yaani binadamu katika maisha ya jamii: unavyoanza, unayoendelea, unavyojipanga na unavyosababisha miundo Kwa maneno mengine, sosholojia inamsoma mtu katika mahusiano yake: mtu na mtu, mtu na watu (kundi) na hivyo huweza kugundua tabiaRead more

    Sosholojia ni fani ya sayansi inayochunguza mwenendo wa kijamii, yaani binadamu katika maisha ya jamii: unavyoanza, unayoendelea, unavyojipanga na unavyosababisha miundo

    Kwa maneno mengine, sosholojia inamsoma mtu katika mahusiano yake: mtu na mtu, mtu na watu (kundi) na hivyo huweza kugundua tabia zake mbalimbali.

    Somo hilo linahusiana na masomo mengine, kama vile anthropolojia, historia, saikolojia na uchumi.

    Ni mojawapo kati ya sayansi za jamii nayo inatumia mbinu tofauti za kutambua hali halisi, halafu inazichunguza kimpango.

    NUKUU KUTOKA WIKIPEDIA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: April 22, 2019Elimu, Maisha

    Ni namna gani ya kuongeza iq ya mtu?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on August 12, 2019 at 3:24 pm
    Jibu hili limerekebishwa.

    Mwandishi mmoja aliwahi kusema "Tunahitaji kuwa na uwezo mkubwa wa kukumbuka na sio IQ kubwa" Hii ni kwa sababu IQ hupimwa kwa mitihani ambayo unaweza kuifanyia mazoezi na ukafanya vizuri katika mitihani hiyo Mwandishi huyo alipendekeza njia 70 za kukuwezesha kuongeza uwezo wa kukumbuka na sio iq. SRead more

    Mwandishi mmoja aliwahi kusema “Tunahitaji kuwa na uwezo mkubwa wa kukumbuka na sio IQ kubwa”

    Hii ni kwa sababu IQ hupimwa kwa mitihani ambayo unaweza kuifanyia mazoezi na ukafanya vizuri katika mitihani hiyo

    Mwandishi huyo alipendekeza njia 70 za kukuwezesha kuongeza uwezo wa kukumbuka na sio iq.

    Soma njia hizo (kwa lugha ya kiingereza)

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: April 22, 2019Hisabati

    ivi square root ya 0 ni ngapi?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on August 12, 2019 at 3:19 pm

    Square root ya zero(0) itakua ni 0 kwa sababu ukizidisha 0 na 0 unapata 0 yani 0²=0x0=0

    Square root ya zero(0) itakua ni 0 kwa sababu ukizidisha 0 na 0 unapata 0 yani 0²=0x0=0

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: June 5, 2019Elimu, Maana za Maneno

    Shule ni nini?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on August 12, 2019 at 7:23 am

    Shule ni taasisi kama taasisi nyingine mfano, misikiti, makanisa nk. ambayo inaongoza na kuratibu swala zima la elimu kwa wanafunzi ili waweze kupata maarifa na ujuzi, hii ni kwa kuchokoza hisia zao ili zikomae kukuza wigo mpana katika elimu.

    Shule ni taasisi kama taasisi nyingine mfano, misikiti, makanisa nk. ambayo inaongoza na kuratibu swala zima la elimu kwa wanafunzi ili waweze kupata maarifa na ujuzi, hii ni kwa kuchokoza hisia zao ili zikomae kukuza wigo mpana katika elimu.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: June 5, 2019Elimu

    Kazi za kamati ya shule ni zipi?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on August 12, 2019 at 6:56 am

    Kamati ya shule ni nini? Kamati ya shule ni kikundi cha wajumbe waliochaguliwa kwa ajili ya kuongoza na kuangalia shughuli za shule ya msingi kwa msaada wa jamii. Kila shule ya msingi kisheria inatakiwa kuwa na kamati ya shule. Kamati ya shule ina dhima ya msingi katika kutekeleza Mpango wa MaendeleRead more

    Kamati ya shule ni nini?

    Kamati ya shule ni kikundi cha wajumbe waliochaguliwa kwa ajili ya kuongoza na kuangalia shughuli za shule ya msingi kwa msaada wa jamii. Kila shule ya msingi kisheria inatakiwa kuwa na kamati ya shule. Kamati ya shule ina dhima ya msingi katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM)

    Nani ni wajumbe wa kamati ya shule?

    MMEM inakusudia kuongeza demokrasia, ushiriki na uwajibikaji katika muundo na kazi za kamati ya shule. Nakala ya MMEM haijaonyesha wazi wajumbe wa kamati ya shule ni akina nani, lakini inasisitiza wawakilishi kutoka katika jamii, walimu, wanafunzi, wazazi na serikali ya kijiji. Pia inahimiza usawa wa kijinsia ili kuhakikisha sauti za wasichana na wanawake zinasikika.

    Kamati ya shule ina majukumu/kazi gani?

    Kamati ya shule inahusika na masuala yote ya shule kwa ujumla. Kwa mujibu wa kiambatanisho cha MMEM majukumu yake makuu ni:

    •  Kuhamasiha, kuhusisha na kuwasilisha habari za elimu kwa wazazi wote, wanafunzi,wadau katika jamii na watendaji na mamlaka ya serikali za Mtaa/Kijiji.
    • Kushughulikia masuala ya shule ya kila siku, pamoja na utekelezaji wa vipengele vyote vinne vya MMEM.
    • Kushirikiana na mwalimu mkuu na walimu wengine kuweka vipaumbele na kuandaa Bajeti na Mipango ya Maendeleo ya shule.
    • Kufungua akaunti na kusimamia kwa uhakika na uangalifu fedha zilizo pokelewa kwa ajili ya utekelezaji, kuhakikisha uwajibikaji wa hali ya juu na uwazi katika mchakato unaotumika, ikiwa ni pamoja na kuweka wazi mapato na matumizi kwa jamii.
    • Kuandaa na kutoa kwa usahihi na kwa wakati mwenendo na ripoti ya fedha kwa jamii, Kata na Halmashauri. Hii inamaanisha kwamba kamati ya shule imepewa mamlaka ya kuunganisha jamii kuakisi changamoto zinazojitokeza kuhusu ubora wa elimu kwa wote na kutafuta suluhisho yakinifu ndani ya miongozo ya Serikali. Hawatakiwi kuendelea kusubiri kupokea maelekezo ya kila kitu kutoka ngazi ya juu. Serikali itasaidia kamati za shule kifedha na miongozo ya sera kwa ujumla, lakini ni jukumu la wananchi kuzitumia na kuboresha elimu katika jumuiya yao.
    See less
    • 13
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: May 29, 2019Dodoma

    Anuani ya Chuo cha Mipango Dodoma ni ipi?

    Edutan

    Edutan

    • Tanzania
    • 1 Question
    • 10 Answers
    • 0 Best Answers
    • 53 Points
    View Profile
    Edutan Intermediate
    Added an answer on August 12, 2019 at 6:47 am

    P. O BOX 138 DODOMA,TANZANIA Hiyo ndiyo anuani yao ya posta

    P. O BOX 138
    DODOMA,TANZANIA

    Hiyo ndiyo anuani yao ya posta

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.