Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

ChuiTec

New
0
2Questions
Home» ChuiTec»Majibu
Adv
  • Wasifu
  • Maswali
  • Majibu
  1. Asked: April 22, 2019Kompyuta

    Nawezaje kutengeneza app?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on October 25, 2020 at 8:00 am

    Kama ungependa kujua jinsi ya kutengeneza app ya android bila kuwa na ujuzi yani programming endelea kusoma . Kama ungependa kujua namna ya kutengeneza app hizo kwa njia ya programming yani Android Studio na nyingine post hii haielezei kuhusu hilo japo unaweza kujifunza mambo kadhaa ambayo ni muhimuRead more

    Kama ungependa kujua jinsi ya kutengeneza app ya android bila kuwa na ujuzi yani programming endelea kusoma . Kama ungependa kujua namna ya kutengeneza app hizo kwa njia ya programming yani Android Studio na nyingine post hii haielezei kuhusu hilo japo unaweza kujifunza mambo kadhaa ambayo ni muhimu pia.

    Hatua za kufuata kutengeneza app yako

    1.Research (fanya uchunguzi)

    Unatengeneza app kwa nini? Labda unataka kutatua tatizo fulani mfano app ya Thl ni utatuzi wa tatizo la notes kwa wanafunzi. Pia unaweza kuamua kutengeneza app kwa ajili ya burudani, app kwa ajili ya wewe kujifunza tu au hata app isiyokuwa na maana yoyote

    Kama unatengeneza app kwa ajili ya biashara ni vizuri ukajua watumiaji watakuwa wa kina nani? watakuwa tayari kulipia? Unatoa huduma ambayo watu wataihitaji? na mengine yanayofanana na hayo

    2.Tengeneza app yako

    Ukishajua app unayohitaji kuitengeneza unakuja kwenye hatua muhimu kabisa ya kuitengeneza app yako. Njia rahisi ni kwa kutengeneza app online yaani katika website zinazotoa huduma hiyo. Unaweza kutumia njia hizi rahisi.

    • AppCreator 24

      Kama unataka kutengeneza app hasa kwa ajili ya blog au website yako ili ni chaguo bora. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website yao unajiunga au una log in alafu utaweza kutengeneza app yako ndani ya dakika chache tu.

    • Andromo

      Unataka kutengeneza app kwa ajili ya Masomo, sauti, ramani, picha, ukurasa wa youtube, blog au website unaweza tumia hii. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website yao ili kuanza kutengeneza app yako. TanzaniaTech wameeleza hatua jinsi ya kutengeneza app kwa kutumia Andromo hapa

    Website nyingine zinazoweza kufanikisha lengo lako ni kama

    • Appy Pie
    • AppMachine
    • Mobile Roadie
    • BiznessApps
    • BuzzTouch
    • TheAppBuilder
    • Good Barber
    • Kinetise
    • Como DIY
    • App makr
    • AppsGeyser
    • Jmango
    • BuildFire

     

    3.Test app yako

    Hii ndiyo hatua inayofurahisha zaidi. Hapa unajaribu app uliyoitengeneza kama inakidhi vigezo na matarajio uliyoyaweka kabla ya kuitengeneza app yenyewe. Kama unatumia kompyuta kutengeneza ni vyema ukawa na simu kwa ajili ya ku test.

    4.Sambaza app yako

    Kama umemaliza hatua zote sasa unaweza kuiweka app yako katika platforms mbalimbali na hata kufanya matangazo kwa ajili ya kupata watumiaji. Unaweza kuiweka Google Play Store (ni muhimu kwa sababu watumiaji wengi wapo hapa), Amazon App Store na nyingine.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Asked: June 27, 2019

    Gharama za kutengeneza application ni kiasi gani?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on September 19, 2020 at 8:50 am

    Gharama za kutengeneza application zitategemea na aina ya application unayotaka kutengeneza. Unaweza kutumia njia zifuatazo kutengeneza. Njia ya kwanza ni kwa kutumia wataalamu. Hapa utatafuta mtu au kampuni ya kutengeneza app utawaelezea app unayohitaji watakupangia bei alafu watatengeneza kulinganRead more

    Gharama za kutengeneza application zitategemea na aina ya application unayotaka kutengeneza. Unaweza kutumia njia zifuatazo kutengeneza.

    Njia ya kwanza ni kwa kutumia wataalamu. Hapa utatafuta mtu au kampuni ya kutengeneza app utawaelezea app unayohitaji watakupangia bei alafu watatengeneza kulingana na mahitaji yako. Inaweza kuanzia Tsh 500,000 kwa app ya kawaida.

    Njia nyingine ni kwa kutengeneza mwenyewe au kutumia website na software zinazopatikana mtandaoni. Njia hii wala haihitaji ujuzi mkubwa sana, ni rahisi na unaweza kuanza kutengeneza app ndani ya muda mfupi tu. Hasara yake ni kwamba hautaweza kutengeneza apps zilizo ‘complicated’ sana. Kufahamu zaidi kuhusu hii njia bofya Hapa

    See less
    • 1
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  4. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  5. Asked: January 21, 2020

    Nawezaje kutengeneza website ya biashara yangu kama sina utaalamu?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 13, 2020 at 2:54 pm

    Usihofu kuna njia rahisi kabisa ya kutengeneza website kwa ajili ya biashara yako hata bila kuwa na utaalamu wowote wa maswala hayo. Kuna kitu kinaitwa Wordpress. Hii itakuwezesha kutengeneza tovuti ya aina yoyote hata kama hauna utaalamu na utatumia bajeti ndogo. Utakachotakiwa kufanya ni kufuata mRead more

    Usihofu kuna njia rahisi kabisa ya kutengeneza website kwa ajili ya biashara yako hata bila kuwa na utaalamu wowote wa maswala hayo.

    Kuna kitu kinaitwa WordPress. Hii itakuwezesha kutengeneza tovuti ya aina yoyote hata kama hauna utaalamu na utatumia bajeti ndogo. Utakachotakiwa kufanya ni kufuata maelekezo yake ambayo ni rahisi na yanaelekeza hatua kwa hatua jinsi ya kufanya hivyo.

    BonyezaHapa kuchat na mimi sasa nikupe mwongozo.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  6. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  7. Asked: May 21, 2019

    Kwa kutumia code nawezaje kutengeneza website?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 7, 2020 at 7:57 am

    Unaweza kutengeneza website kwa kutumia coding, ila ni muhimu kuzingatia yafuatayo. Lazima uwe unajua lugha(programming language) inayoweza kutumika. Kwa website ya kawaida isiyohitaji mambo mengi sana unahitaji kufahamu HTML na CSS. Kwa website advanced inabidi ufahamu HTML/CSS na lugha nyingine kaRead more

    Unaweza kutengeneza website kwa kutumia coding, ila ni muhimu kuzingatia yafuatayo.

    Lazima uwe unajua lugha(programming language) inayoweza kutumika. Kwa website ya kawaida isiyohitaji mambo mengi sana unahitaji kufahamu HTML na CSS.

    Kwa website advanced inabidi ufahamu HTML/CSS na lugha nyingine kama JavaScript, PHP au Python.

    Licha ya kufahamu hayo yote unapaswa kuiweka website yako hewani ili watu waweze kuitembelea, hapa utahitaji sehemu ya ku host mafaili ya website yako. Utahitaji hosting pamoja na domain name. Domain name ni jina la website yako mfano mojasky.com

    Domain name na hosting hupatikana kwa kulipia. Kwa kampuni za ubora na zilizo na unafuu katika malipo tembelea link zifuatazo

    Domain Names

    Kampuni za Hosting

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  8. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  9. Asked: February 4, 2020Hosting

    Kuna hosting za bure?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 6, 2020 at 10:09 am

    Zipo hosting za bure kabisa ambazo hautalipa chochote na website au blog yako itakua hewani. Ila sikushauri kutumia hizo kwa sababu zina matatizo mengi na unaweza kujiuliza mwenyewe kwa nini mtu atoe huduma inayoweza kumgharimu kwa bei ya bure? Hasara zake ni kama wanaweza kuweka matangazo katika weRead more

    Zipo hosting za bure kabisa ambazo hautalipa chochote na website au blog yako itakua hewani. Ila sikushauri kutumia hizo kwa sababu zina matatizo mengi na unaweza kujiuliza mwenyewe kwa nini mtu atoe huduma inayoweza kumgharimu kwa bei ya bure?

    Hasara zake ni kama wanaweza kuweka matangazo katika website yako bila hata wewe kutaka na pia wanaweza kuiondoa website yako muda wowote bila taarifa na bila kukupa nafasi ya kudownload website yako kwa ajili ya backup.

    Ningekushauri utumie hosting zenye gharama nafuu kwa kuanzia, kwa sababu ni nafuu sana ili uepukane na hayo. Kujua kuhusu hosting hizo bonyeza HAPA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  10. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  11. Asked: May 21, 2019

    Nawezaje kutengeneza website kwa kutumia coding?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 6, 2020 at 9:51 am

    Unaweza kutengeneza website kwa kutumia coding, ila ni muhimu kuzingatia yafuatayo. Lazima uwe unajua lugha(programming language) inayoweza kutumika. Kwa website ya kawaida isiyohitaji mambo mengi sana unahitaji kufahamu HTML na CSS. Kwa website advanced inabidi ufahamu HTML/CSS na lugha nyingine kaRead more

    Unaweza kutengeneza website kwa kutumia coding, ila ni muhimu kuzingatia yafuatayo.

    Lazima uwe unajua lugha(programming language) inayoweza kutumika. Kwa website ya kawaida isiyohitaji mambo mengi sana unahitaji kufahamu HTML na CSS.

    Kwa website advanced inabidi ufahamu HTML/CSS na lugha nyingine kama JavaScript, PHP au Python.

    Licha ya kufahamu hayo yote unapaswa kuiweka website yako hewani ili watu waweze kuitembelea, hapa utahitaji sehemu ya ku host mafaili ya website yako. Utahitaji hosting pamoja na domain name. Domain name ni jina la website yako mfano mojasky.com

    Domain name na hosting hupatikana kwa kulipia. Kwa kampuni za ubora na zilizo na unafuu katika malipo tembelea link zifuatazo

    Domain Names

    Kampuni za Hosting

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  12. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  13. Asked: February 4, 2020Hosting

    Hosting bora zaidi ni ipi?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 2, 2020 at 9:13 am

    Napendekeza hizi hapa 1.BlueHost (2.95$) Unataka hosting nafuu zaidi na yenye ubora?. Basi Bluehost ndio jibu lako. Utalipia $2.95 kwa mwezi ambayo ni sawa na $35.4 ama Tsh 82,000 kwa mwaka. Faida Free domain name – ukilipia hosting unapata domain name bure kabisa Free SSL certificate – website yakoRead more

    Napendekeza hizi hapa

    1.BlueHost (2.95$)

    Unataka hosting nafuu zaidi na yenye ubora?. Basi Bluehost ndio jibu lako. Utalipia $2.95 kwa mwezi ambayo ni sawa na $35.4 ama Tsh 82,000 kwa mwaka.

    Faida

    1. Free domain name – ukilipia hosting unapata domain name bure kabisa
    2. Free SSL certificate – website yako itakua secure kwa kutumia hii
    3. 1 Click wordpress install – unaweza kutengeneza websie ya wordpress kiurahisi zaidi
    4. 24/7 priority support – msaada kutoka kwa wataalamu wao muda wowote
    5. Money back guarantee – kama haujaridhika utarudishiwa pesa yako(ndani ya siku 30)
    6. Inapendekezwa na wengi waliowahi kuitumia

    Host website yako na Bluehost sasa

    2.FastComet (3.45$)

    Ukihost website/blog yako kupitia FastComet utalipia $3.45 kwa mwezi ambayo ni sawa na $41.4 yaani Tsh 96,000 kwa mwaka.

    Faida

    1. Free website transfer – kama website yako ipo sehemu nyingine wanaihamisha kwao bure
    2. Free domain transfer – kama domain name yako umenunulia sehemu nyingine wataihamishia kwao bure
    3. cPanel & Softaculous – zinakupa urahisi wa kutengeneza blog/website yako hata kama hauna ujuzi wa kutosha
    4. 15GB SSD Space – nafasi kwa ajili ya kuhifadhi mafaili ya tovuti yako
    5. Free Cloudflare CDN – inasaidia kuongeza speed ya tovuti yako
    6. Daily & Weekly backups – kama tatizo litatokea mafaili yako hayatapotea
    7. 24/7 priority support – msaada kutoka kwa wataalamu wao muda wowote
    8. Money back guarantee – kama haujaridhika utarudishiwa pesa yako(ndani ya siku 45)

    Host website yako na Fastcomet sasa

    3. Namecheap (1.44$)

    Hosting nyingine inayoweza kukupa unafuu katika kazi yako ni Namecheap. Utahitajika kulipa 1.44$ kwa mwezi ikiwa ni $17.28 au Tsh 40,000 kwa mwaka. Domains zinazopatikana bure katika kifurushi hiki ni .fun .host .online .site .press .store .space .pw .tech

    Faida

    1. Free domain name – ukilipia hosting unapata domain name bure kabisa(domain names zilizotajwa hapo juu)
    2. 20GB SSD Space – nafasi kwa ajili ya kuhifadhi mafaili ya tovuti yako
    3. 3 websites – Unaweza kuhost website/blog 3

    Host website yako na Namecheap sasa

    4.DreamHost (2.59$)

    DreamHost inaweza kukamilisha ndoto yako ya kuwa online kwa kukupatia hosting nafuu inayoanzia $2.59 kwa mwezi. Hii inamaanisha ni $31.8 au Tsh 72,000 kwa mwaka wa kwanza.

    Faida

    1. Free domain name – ukilipia hosting unapata domain name bure kabisa
    2. Unlimited traffic/bandwidth – hakuna kikomo cha watu watakatembelea website/blog yako
    3. WordPress pre-install – watakusaidia ku install wordpress
    4. Free SSL certificate – website yako itakua secure kwa kutumia hii
    5. Free SSL certificate – website yako itakua secure kwa kutumia hii

    Host website yako na Dreamhost sasa

    5.Kilihost (Tsh25,000)

    Hosting ya Tanzania ya pekee katika list hii. Kilihost inakupa unafuu sana wa kuanza safari ya kuwa mtandaoni. Bei zao zinaanzia Tsh 25,ooo kwa mwaka mzima

    Faida

    1. 50MB Storage – nafasi kwa ajili ya kuhifadhi mafaili ya tovuti yako
    2. 1GB Bandwidth – hii inaamua idadi ya watumiaji watakaoingia katika tovuti yako kwa mwezi
    3. DNS and Advanced DNS Manager – Unaweza kuwa na domain name kwao na hosting sehemu nyingine kiurahisi

    Host website yako na Kilihost sasa

    Mwisho kabisa ni vyema ukawa makini sana katika kuchagua kampuni ya kuhost kwa ajili ya blog au website yako. Kama bado una maswali ama unahitaji muongozo katika kuchagua ama kujiunga na moja ya hosting Chat na mimi sasa

     

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  14. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  15. Asked: January 11, 2020Blog

    Nawezaje ku design blog inayolipa?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 2, 2020 at 8:05 am

    Ku design blog ni kitu kimoja na kupata pesa kupitia blog ni kitu kingine. Kuhusu namna ya kutengeneza blog soma hii Nawezaje kuunda blog?. Tuje katika swala la kuifanya iwe inalipa. Kwanza lazima ujue njia utakayotumia kupata pesa kupitia blog yako. Wengi wanaoanzisha blog huanzisha kwa kutegemea kRead more

    Ku design blog ni kitu kimoja na kupata pesa kupitia blog ni kitu kingine. Kuhusu namna ya kutengeneza blog soma hii Nawezaje kuunda blog?.

    Tuje katika swala la kuifanya iwe inalipa.

    Kwanza lazima ujue njia utakayotumia kupata pesa kupitia blog yako. Wengi wanaoanzisha blog huanzisha kwa kutegemea kuwa watatumia matangazo kutoka Google(Adsense). Njia hii ndio rahisi zaidi, ila ni lazima kuzingatia yafuatayo kabla ya kuanza

    • Lazima uwe unatumia lugha inayokubaliwa (Kiswahili bado), unaweza tumia lugha ya Kiingereza
    • Lazima uwe na machapisho original, sio yaliyo copy kutoka katika website nyingine
    • Blog yako lazima iwe imekaa muda fulani(usiopungua miezi 6)

    Ukiacha Adsense ambayo ndio njia bora ya kuingiza kipato kwa kutumia blog pia unaweza kutumia matangazo kutoka sehemu nyingine kama SeeBait, Proppeller na Adsterra

    Kama ungependa kuuliza chochote bonyeza HAPA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  16. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  17. Asked: April 3, 2019

    Nitajuaje jinsi ya kufungua website?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on May 2, 2020 at 7:53 am

    Usipate tabu, kutengeneza website ni rahisi sana. Kitu cha kwanza inatakiwa uwe unajua unahitaji website ya aina gani na ni kwa ajili ya nini. Kama ni kwa ajili ya kuchapisha maswala binafsi tu au kwa ajili ya kujifurahisha unaweza tumia Blogger. Blogger ni njia rahisi ya kutengeneza website au blogRead more

    Usipate tabu, kutengeneza website ni rahisi sana. Kitu cha kwanza inatakiwa uwe unajua unahitaji website ya aina gani na ni kwa ajili ya nini. Kama ni kwa ajili ya kuchapisha maswala binafsi tu au kwa ajili ya kujifurahisha unaweza tumia Blogger.

    Blogger ni njia rahisi ya kutengeneza website au blog bila hata kuwa na ujuzi wowote. Ila kama una ujuzi kidogo (html&css) itakua faida kwako. Kuunda blog kwa kutumia blogger nenda blogger.com au unaweza kupata ushauri wa bure HAPA.

    Kama ni kwa ajili ya biashara au unahitaji kuwa siriazi na kutengeneza pesa kupitia website, nakushauri utumie WordPress. Hii ni njia nyingine rahisi ya kutengeneza blog au website yoyote hata kama hauna ujuzi mkubwa. Ila tofauti ya njia hii na hiyo hapo juu ni kuwa hii unapaswa kulipia hosting na domain name. Malipo yake yanaweza kuanzia Tsh 100,000 kwa mwaka.

    Sababu za kwa nini utumie njia hii ni kuwa utatengeneza blog inayoonekana professional na itakuwa rahisi kupata watumiaji wengi kwa sababu wordpress ina mfumo mzuri wa kupata watumiaji kutokea search engine kama Google.

    Unaweza kupata ushauri bure kabisa HAPA

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  18. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  19. Asked: January 21, 2020WordPress

    Nawezaje kutengeneza website kwa kutumia WordPress?

    ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    Added an answer on April 25, 2020 at 10:19 am

    Wordpress ni njia inayokuwezesha kutengeneza website ya aina yoyote bila kuzingatia uwezo au ujuzi ulionao. Ili uweze kutengeneza website yako unapaswa kufahamu haya. Kwanza wordpress ni self hosted (wordpress.com ni kitu kingine, hapa nazungumzia wordpress.org). Maana yake ni kwamba lazima uwe na sRead more

    WordPress ni njia inayokuwezesha kutengeneza website ya aina yoyote bila kuzingatia uwezo au ujuzi ulionao.

    Ili uweze kutengeneza website yako unapaswa kufahamu haya. Kwanza wordpress ni self hosted (wordpress.com ni kitu kingine, hapa nazungumzia wordpress.org). Maana yake ni kwamba lazima uwe na server kwa ajili ya kuhost website yako. Utalipia kwa mwezi au kwa mwaka ku host. Angalia kuhusu hosting za bei nafuu hapa

    Ukishafanikiwa kupata hosting. Utapata feature ya kuinstall wordpress kwa clicks chache tu(ni rahisi sana). Ukimaliza ku install utakua na option ya kuchagua theme au template katika list ya maelfu ya templates ambazo nyingine ni free na nyingine ni za kulipia.

    Kama bado unahisi kuchanganyikiwa, bonyeza hapa kupata ushauri.

    See less
    • 0
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
1 2
Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.