Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30264
In Process
Adv
Anonymous
Asked: March 7, 20192019-03-07T15:34:22+03:00 2019-03-07T15:34:22+03:00

Nitajuaje jinsi ya kupata views nyingi Youtube?

Nitajuaje jinsi ya kupata views nyingi Youtube?
  • 3
  • 2,032
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 3

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Hamis Ali
    2020-04-24T18:22:56+03:00Jibu - April 24, 2020 saa 6:22 pm

    Views nyingi zinanaweza kuletwa na subscribers wengi na mambo mengine mengi tu. Nimeangalia hii kwa mkwanjamaker blog ameeleza vizuri kabisa unavyoweza kufanya kuongeza subscribers na kumbuka kuwa ukiwa na subscribers wengi inakuwa rahisi zaidi kupata views nyingi.

    Subscriber ni nini.
    Image result for youtube FOLLOWERS
    Subscribe haina maana ya mbali sana na neno Followers (wafuasi au wafuatiliaji) mtu anapo Subscribe Chanel yako maana yake amependa kufuatilia chaneli yako pamoja na Videos zako unazo post kwenye hiyo Chanel yako. ikimaanisha kuwa ukiwa na subscriber 10 ina maanisha hao watu 10 ndio watakuwa wa kwanza kuona post zako za videos punde watakapo ingia Youtube.

    Njia za kienyeji(zisizo rasmi)Unazoweza kutumia kuongeza subscriber.

    Njia hizi zita tegemea na mambo au habari zinazo husu hiyo Chanel yako unayotaka kuanzisha kama vile ni ya Muziki, Habari, Michezo na kadhalika.

    •  Anza kwa kupost au ku re post Habari za Mastaa,Wanasiasa au watu maarufu.

                     Haapa nikimaanisha unatakiwa kucheza na wakati i mean kama channel yako wewe inahusu muziki basi jaribu kucheza na mastaa pamoja na habari zao, kwa mfano umesikia msanii yoyote mkubwa ametoa nyimbo leo ,Unachotakiwa kufanya ni kui download hiyo nyimbo na kuipost tena Kwenye Chanel yako kwasababu msaani mkubwa kama vile Diamond Platnumz au Ali Kiba wana wafuasi au mashabiki wengi wanao wafuatilia hivyo basi wanapo sikia kuwa mmoja wa wasanii hawa ametoa nyimbo mpya basi mashabiki wao hua ndio wa kwanza kukimbilia YouTube Kuitazama, Sasa hapo kwenye kutazama au kui search hiyo nyimbo ndipo watakapo kutana na Chanel Yako.
    Ndipo watakapo anza kwa ku subscribe Channel yako wakiamini kuwa huenda ukawa ni poster mkubwa sana wa msanii wao wanao mfuatilia.

    Lakini kuwa makini ???!!! Ukitaka kufanya njia Basi usi i monetize chanel yako kwa muda huo au unaweza uka de active kwa muda monetization  kwa ajili ya kuepuka copyright content kwenye chanel yako.

    Nini Umuhimu wa kufanya hivyo.
    Umuhimu wa kufanya hvyo ni kwamba unatengeneza watu ambao watakao kuwa viwers wako wakubwa katika channel yako ukiwa na subscriber wengi maana yake utakacho post kitaangaliwa na watu wengi katika kipindi cha muda mfupi.
    Sasa ni bora ukaanza kuyatengeneza hayo mazingira mapema  kabla hujaanza kuifanyia monetization hiyo chanel yako.

    Ili itakapofika kipindi cha kuifanyia monetization Channel tayari unakuwa na uhakika wa kuwa na viewers wengi  pamoja na kuingiza mpunga mwingi kwa siku kulingana na idadi ya viewers ulionao.

    JE INATOSHA PEKEE KUPOST VITU VYA MASTAA NA KUPATA VIEWERS NA SUBSCRIBE NYINGI?????????????.

        Jibu ni hapana haitoshi pekee kupost vitu vya mastaa  na kupiga kimya kusikilizia viewers waje wenyewe , Ingawa ni kweli huja wenyewe lakini juhudi binafsi lazima zitumike kwa ajili ya kuonge kwa kasi hao Viwers na Subscribe kama upo Serious na kumake money YouTube.

    Baada ya ku upload hiyo Video yako YouTube  mwishoni utapata link ya hiyo video yako ambayo umei upload YouTube.
    Itumie hiyo link kuisambaza katika Social Media kwa ma fans husika kwa mfano ukiingia Facebook uka search Team Kiba Au Team Wasafi,Mond au vyovyote apo ndipo paku share hiyo link yako pamoja na kuiandikia kaujumbe kaku vutia ili uwa vutie mashabiki wake ,na kwasababu wana mpenda basi wengi watakimbilia kuiangalia hiyo Videos ambayo umeipost kwa kuwa ina muhusu fans wao au Mwanasiasa wao.

    Na hapo ndipo utakapo anza Ku enjoy Maisha ya YouTube.
    Usiogope kuandika post au Habari yoyote ile kwa maana ukifikia hatua ya kufungua chanel YouTube au Blog ina maanisha wewe ni Mwandishi wa Habari hatakama hujasomea habari kwa maana YouTube wata kutambua kama Publisher.

    Kama Utakuwa na Swali Au Huja Nielewa Sehemu Yoyote ile nipigie,text au whats app kwa namba  0718 332120.

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Isaya mayola
    2020-04-12T11:22:01+03:00Jibu - April 12, 2020 saa 11:22 am

    jinsi ya kutafutwa na kuonwa YouTube

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
    • Promo – MeridianBet

      Kubet kumerahisishwa

      Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

      Jiunge Sasa
    • Anonymous
      2020-12-14T10:59:06+03:00Reply - December 14, 2020 saa 10:59 am

      Yes

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.