Nitapataje free channels kwenye king’amuzi?
Pinned
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Salim Jumbe
Kupata free channels mbona ni rahisi tu.
Unanunua king’amuzi unazipata. Kila king’amuzi kina channel ambazo ni free kwa hiyo ukinunua tu unapata free channels nyingi. Naona kama Startimes ndio wana idadi kubwa zaidi ya free channels.
Kama unaongeleza zaidi ya hapo jaribu kangalia hii Nawezaje kuiba channel Startimes?