Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34475
In Process
Anonymous
Asked: January 10, 20202020-01-10T06:38:39+03:00 2020-01-10T06:38:39+03:00Simu

Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?
  • 1
  • 329
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Amis Mpaya
    2023-02-13T13:49:29+03:00Jibu - February 13, 2023 saa 1:49 pm

    Habari mpya ni kwamba unaweza tafuta handset iliyokosekana kwa kutumia Google’s Android Device Manager, hata kama huna progarmu “APP” imewekwa (install).Chukua Kompyuta yako (“kama huna kompyuta basi utaona maelezo yajayo hapo chini”), Unganisha kwenye internet. Fungua Chrome, hakikisha akanti yako ya Google ipo wazi (umeifungua), (Umakini, sehemu hiyo ni ya muhimu). Andika “Where is my phone” katika sanduku kuu ya chrome. Hii itafanya Serach, na Google moja kwa moja ita load kurasa ya Android Device Manager ndani ya matokeo ya utafutaji. Wakati wa kupima kwang “my test” Nimeona hii sanduku kidogo kuwa pretty na kukosa baadhi ya matokeo. Hivyo kwa ajili ya kutafuta simu yako haraka nenda mbele na kubonyeza link “Android Device Manager”.

    hii itakupeleka mpka kwenye kwenye Device Manager, hutakiwi kuingia tena kwenye Akaunti yako ya Google. Hapa na mara tu anza kutrak Simu yako.

    Mara baada ya kuiambia Device Manager kuitafuta simu yako iliyopotea, itaanza kutafuta na kukupatia jibu baada ya muda mchahe tu. Itabidi itoe muda ilikuwa iko, Eneo, na Usahihi mbalimabali. Hii itakuopa wazo nzuri sehemu ambako simu yako ipo.

    Kuhakikisha Data yako binafsi ni salama, unaweza kutumia kitufe cha “Lock” ili kuwezesha kioo “screen” kufunga kwa password hata kama mwanzo ulikuwa hukuweka.

    Mara baada ya Password kuwekwa, unaweza pia kuweka ujumbe juu ya Lock screen kitu kama “Thanks for finding my phone” (Asante kwa kutafuta simu yangu). Tafadhari piga namba hapa chini “(Kisha weka namba kwenye box hapa chini)”

    Kusoma kwa upana zaidi Bonyeza Hapa

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

      • Majibu 3
    • IMEI ya simu ni nini?

      • Majibu 0
    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

      • Majibu 0
    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

      • Jibu 1
    • Kama sitajiunga na kifurushi cha internet Vodacom nitakatwa sh ngapi kwa kila MB nitakayotumia?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kulipa bili kwa kutumia TIgoPesa?

      • Jibu 1
    • Unapata dakika, SMS na MB ngapi ukiiunga MiniKabang?

      • Jibu 1
    • Kifurushi cha MiniKabang kinakaa muda gani hadi kiishe?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kujua tawi la NMB Bank lililopo karibu yangu?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.