Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30670
In Process
Adv
Anonymous
Asked: March 31, 20192019-03-31T06:23:55+03:00 2019-03-31T06:23:55+03:00Internet, Kompyuta, Simu

Nitajuaje jinsi ya kutengeneza email?

Nitajuaje jinsi ya kutengeneza email?
  • 1
  • 678
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2019-05-26T08:14:48+03:00Jibu - May 26, 2019 saa 8:14 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Jinsi ya kutengeneza email ni rahisi sana. Kwanza inabidi uamue aina ya email na shughuli itakayotumika kwa ajili ya hiyo email mfano kama ni email ya kazi au kwa ajili ya mambo binafsi. Sio hivyo tu pia kifaa gani unachotumia labda ni simu au kompyuta. Namna rahisi unavyoweza kutengeneza email ni kwa kutumia njia zifuatazo.

    Gmail

    Wengi wetu tunatumia simu za android ambazo zina app ya gmail. Ukitaka kufungua email yako unaingia katika app hiyo alafu unaenda kwenye add account unachagua google alafu unafuta maelezo mengine kufungua email yako. Apa utapata email yenye @gmail.com

    Apps nyingine zinazokuwezesha kutengeneza email ni kama

    Outlook

    na

    Yahoo Mail

    Kwa email kwa ajili ya kazi kama ya mojasky admin@mojasky.com huwa zinalipiwa kivyake au unaweza kuiunganisha na domain yako mfano mojasky.com. Ukitaka emails za aina hii tembelea link HII kisha bonyeza kwenye Choose Another Category alafu chagua E-mail hosting. Fuata hatua hizo kupata email ya biashara au ya binafsi yenye jina unalolipenda

     

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kupata tik Twitter?

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • Unaizungumziaje Bluehost katika kutengeneza website?

    • Kuna hosting za bure?

    • Hosting bora zaidi ni ipi?

    • Waptrick ni nini?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.