Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34503
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 10, 20202020-01-10T12:37:26+03:00 2020-01-10T12:37:26+03:00Biashara/Ujasiriamali, Maendeleo, Maisha

Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?

Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?
  • 1
  • 383
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 432 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-01-10T12:45:12+03:00Jibu - January 10, 2020 saa 12:45 pm
    Jibu hili limerekebishwa.

    Kupitia Bwaya blog mwandishi anasema hivi
    “Ni vizuri kuanza na kile ulichonacho, na si kile usichonacho.
    Fursa mara zote, huwa pale ulipo na katu si kule ulipokuwaga.
     
    Suala la msingi ambalo kila mmoja anapaswa kuliweka sawa, si kile ambacho angeweza kukifanya kama angekuwa na muda, elimu na namna ya kufanya, lakini kile ambacho angepaswa kukifanya kwa kutumia vile alivyonavyo.”
     
    Kuweka sawa zaidi ni kwamba inabidi uanze kwa kuangalia ulichonacho(hauwezi kukosa) mfano elimu, sio lazima iwe elimu ya darasani. Unaweza anza na ujuzi ulionao labda kama ujuzi wa kufundisha, kuongea na watu vizuri ama chochote kile.
    Pia unaweza kuangalia vitu ulivyowahi kununua, watu unaojuana nao au vitu vinavyopatikana kwa urahisi au vilivyo karibu nawe.
     
    Anza sasa na ulichonacho, fikiria ‘version’ ndogo ya ile ndoto kubwa uliyonayo mfano anza kutengenezea keki nyumbani kama una ndoto ya kuanzisha bakery.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

    • Mambo gani ambayo yanaweza kunisaidia siku moja?

    • VAT Tanzania ni asilimia ngapi?

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    • Nawezaje kutekeleza malengo niliyojiwekea?

    • Taratibu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kuanzisha redio au TV Tanzania ukoje?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.