Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32741
In Process
Anonymous
Asked: July 25, 20192019-07-25T14:54:51+03:00 2019-07-25T14:54:51+03:00Maisha, Uislamu, Ukristo

Nini mawazo yako kuhusu uwepo wa mungu?

Nini mawazo yako kuhusu uwepo wa mungu?
  • 1
  • 617
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Emmanuel Magessa

    Emmanuel Magessa

    • Mbeya, Tanzania
    • 1 Question
    • 32 Answers
    • 0 Best Answers
    • 73 Points
    View Profile
    Emmanuel Magessa Intermediate
    2021-04-09T21:35:01+03:00Jibu - April 9, 2021 saa 9:35 pm

    ” Kwa vyovyote kuna nguvu inayoendesha haya mambo, kuna nguvu ambayo ni ya ajabu katika hufanyaji kazi wake.

    nguvu hii wakristo huuita Mungu na waislamu huiita Allah, kila mtu hujiona yuko sahihi lakini wanasayansi ndio basi kwani wao huiita Nguvu tu kama ilivyo. siku zote wanasayansi hukataa kuwepo kwa mtu anayeitwa Mungu lakini hukubali kuwepo kwa nguvu na wanasema kuwa nguvu haiwezi kubadirishwa wala kuharibiwa na wala kupindishwa!

    uwepo wa nguvu unaonekana tu wenyewe, biblia inasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu kwa hiyo basi na sisi ni nguvu au Roho kama ilivyo hiyo Mungu.

    sisi kama binadamu mawazo yetu, maneno (kauli) yetu, yananguvu kuliko tunavyofikiri na hubadirisha na kutupangia maisha yetu. kwamfano, Tanzania sio nchi masikini na wala watanzania sio masikini bali ni nguvu ya Hoja ya watu fulani na sisi kuipokea na kukubali ndivyovinatufanya kuonekana masikini – Nguvu hizo!

    Dini nyingi huamini kwamba nguvu hiyo (Mungu) inahasira na ….. endelea kusoma

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

      • Majibu 4
    • Mambo gani ambayo yanaweza kunisaidia siku moja?

      • Majibu 3
    • Katika 1 Timotheo 5:23, kwa nini mvinyo umeruhusiwa?

      • Majibu 0
    • Nawezaje kutekeleza malengo niliyojiwekea?

      • Jibu 1
    • Kuna faida gani katika kujitolea?

      • Jibu 1
    • Mistari ipi ya Biblia inaelezea maswala ya kodi?

      • Majibu 0
    • Dini ya Uislamu ilikuwepo tangu mwanzo wa dunia au ililetwa na Mtume Muhammad (S.A.W)?

      • Jibu 1
    • Ivi kusingekua na dini kungekuwa na dhambi?

      • Jibu 1
    • Nifanyeje ili mtoto wangu anisikilize na kuniamini?

      • Jibu 1
    • Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.