Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34428
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 9, 20202020-01-09T06:29:00+03:00 2020-01-09T06:29:00+03:00Vyeti

Ninaishi nje ya Tanzania na cheti changu cha ndoa kinahitajika katika nchi niliyopo, nifanyeje?

Ninaishi nje ya Tanzania na cheti changu cha ndoa kinahitajika katika nchi niliyopo, nifanyeje?
  • 1
  • 194
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Anonymous
    2020-01-09T06:29:54+03:00Jibu - January 9, 2020 saa 6:29 am
    • Nenda kwenye ubalozi wa Tanzania katika nchi unayoishi kupata fomu halisi ya maombi (kwa RGM…) ambayo utapaswa kuijaza na kuiwasilisha kwa msajili mkuu wa ndoa kupitia katika ubalozi au (unaweza kupakua fomu hii kutoka kwenye tovuti yetu) au iwasilishe katika ofisi za RITA nchini Tanzania ikitokea upo hapa.
    • Maombi haya lazima yaambatane na nyaraka muhimu zinazoweza kukutambulisha kirahisi.  Nyaraka hizo zinajumuisha japo si lazima nakala ya pasipoti, cheti cha kuzaliwa na sheria yoyote ya ndoa.
    • Lipa ada muhimu ambayo kwa sasa ni Tsh. 200,000/=.

      Kumbuka:
      Iwapo cheti hiki kitapaswa kutumwa kwako hakikisha kuwa malipo yanajumuisha gharama zozote za posta.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nani anaweza kusajili kifo kwa msajili wa vizazi na vifo?

    • Nawezaje kuomba cheti cha kuzaliwa tena kama kimepotea?

    • Nawezaje kupata cheti cha kuthibitisha kifo cha baba yangu?

    • Nawezaje kupata cheti changu cha kuzaliwa ikiwa umri wangu umeenda?

    • Cheti changu cha kuzaliwa kina majina tofauti na vyeti vingine, nifanyeje?

    • Kama mtanzania amezaliwa akiwa nje ya nchi, anaweza kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.