Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 518
In Process
Faustine JohnExpert
Asked: February 8, 20192019-02-08T02:58:59+03:00 2019-02-08T02:58:59+03:00Simu

Nifanyeje kutatua tatizo la “NO COMMAND” katika simu ya android?

Nifanyeje kutatua tatizo la “NO COMMAND” katika simu ya android?
  • 1
  • 1,869
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 281 Points
    View Profile
    Faustine John Expert
    2019-02-08T03:18:22+03:00Jibu - February 8, 2019 saa 3:18 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Njia ya kwanza ni unanza kwa kubonyeza button ya kuwashia ya kuongezea sauti na button ya home kwa pamoja alafu unaenda kwenye reboot system unaichagua kwa kubonyeza button ya kuwashia

    Njia ya pili ni kwa kufanya factory reset(hii itafuta kila kitu kilichopo kwenye simu ikiwemo nyimbo picha na video) hapa unaanza kwa kubonyeza button tatu kwa pamoja kama njia ya kwanza hapo juu alafu unaenda hadi kwenyesehemu iliyoandikwa factory reset unaichagua. hapo simu yako itaanza upya kabisa.

    kumbuka: kushusha chini katika machaguo unatumia button ya kupunguzia sauti na kuchagua(enter) ni button ya kuwashia simu.

    • 3
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

      • Majibu 4
    • IMEI ya simu ni nini?

      • Majibu 0
    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

      • Majibu 0
    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

      • Jibu 1
    • Kama sitajiunga na kifurushi cha internet Vodacom nitakatwa sh ngapi kwa kila MB nitakayotumia?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kulipa bili kwa kutumia TIgoPesa?

      • Jibu 1
    • Unapata dakika, SMS na MB ngapi ukiiunga MiniKabang?

      • Jibu 1
    • Kifurushi cha MiniKabang kinakaa muda gani hadi kiishe?

      • Jibu 1
    • Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.