Nifanyeje kama nataka kutembelea hifadhi za taifa au mbuga za wanyama?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Flora Jumanne
Kitu cha kwanza inabidi uamue ni hifadhi gani unahitaji kutembelea baada ya kuzifuatilia zote. Kupanda Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru unapaswa kuwa ama kupitia kampuni ya kuongoza watalii. Kampuni ya kuongoza watalii itakuongoza katika kila kitu muhimu katika kupanda mlima, na unapaswa kuzingatia kampuni zilizosajiliwa kwenye kupandisha watu milimani.
Hifadhi nyingine zote zilizobaki zinaweza kutembelewa bila kutumia kampuni ya mwongoza watalii japo inashauriwa sana kutumia kampuni hizo ili kuhakikisha mpangilio mzuri wa utalii wako.
Mambo unayotakiwa kuyajua kabla ya kujiandaa kutembelea hifadhi za taifa: