Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34546
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 11, 20202020-01-11T16:04:11+03:00 2020-01-11T16:04:11+03:00Utalii

Nifanyeje kama nataka kutembelea hifadhi za taifa au mbuga za wanyama?

Nifanyeje kama nataka kutembelea hifadhi za taifa au mbuga za wanyama?
  • 1
  • 260
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Flora Jumanne

    Flora Jumanne

    • Arusha, Tanzania
    • 0 Questions
    • 20 Answers
    • 0 Best Answers
    • 99 Points
    View Profile
    Flora Jumanne Intermediate
    2020-01-11T16:19:58+03:00Jibu - January 11, 2020 saa 4:19 pm
    Jibu hili limerekebishwa.

    Kitu cha kwanza inabidi uamue ni hifadhi gani unahitaji kutembelea baada ya kuzifuatilia zote. Kupanda Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru unapaswa kuwa ama kupitia kampuni ya kuongoza watalii. Kampuni ya kuongoza watalii itakuongoza katika kila kitu muhimu katika kupanda mlima, na unapaswa kuzingatia kampuni zilizosajiliwa kwenye kupandisha watu milimani.

    Hifadhi nyingine zote zilizobaki zinaweza kutembelewa bila kutumia kampuni ya mwongoza watalii japo inashauriwa sana kutumia kampuni hizo ili kuhakikisha mpangilio mzuri wa utalii wako.

    Mambo unayotakiwa kuyajua kabla ya kujiandaa kutembelea hifadhi za taifa:

    • Siku ngapi(mchana/usiku) utatumia katika hifadhi husika.
    • Utafikaje ( kwa anga, barabara, maji au treni )
    • Itanigharimu kiasi gani cha pesa kwa ajili ya gharama za hifadhi, malazi na chakula katika siku hizi.
    • Umbali kutoka mji wa karibu hadi hifadhini
    • Sheria za hifadhi
    • Muda wa hifadhi  06:30 asubuhi hadi 06:00 jioni
    • Viingilio katika mageti ya hifadhi
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Naweza kupanda Mlima Kilimanjaro bila kutumia kampuni ya tour ama tour guide?

    • Kipindi gani ni kizuri zaidi kupanda Mlima Kilimanjaro?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.