Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In
Tumia Facebook kuingia
au tumia

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa
Tumia Facebook kuingia
au tumia

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 378
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 4, 20192019-02-04T10:30:09+03:00 2019-02-04T10:30:09+03:00Maisha

Nifanyeje ili nisikate tamaa?

Nifanyeje ili nisikate tamaa?
  • 2
  • 1,433
  • 1
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 103 Answers
    • 0 Best Answers
    • 334 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Expert
    2020-04-08T08:53:04+03:00Jibu - April 8, 2020 saa 8:53 am

    Maji ya Mto hukabiliana na vikwazo mbalimbali lakini huwa haviuzuii maji kutiririka. Mto unapokutana na Miamba, hata siku moja hauwezi kujadiliana na miamba eti upiteje, bali hutengeneza njia yake juu ya mwamba huo.

    Mto unazo nguvu kiasi ya kwamba binadamu hujenga madaraja juu yake ili waweze kuuvuka, na pale unapojaa huweza kubomoa hata daraja.

    Jitihada huwa hazizidi kudra, hebu kuwa kama mto. Usijadiliane na vikwazo unavyokubaliana navyo. Iwe ni kazi, mahusiano, ama umasikini.

    Kwa imani ya kiwango cha juu, tengeneza njia yako na pita kwa kujiamini. Mungu atakuinua kama alivyowalinda Shadraki, Meshaki na Abedinego. Maana siku zote Ulipendalo hupati, hupata ujaaliwalo.

    Furaha ya maisha yako inategemeana na quality ya mawazo yako. Mawazo yako ni kama sumaku, endapo utawazia baraka, utazivuta baraka na endapo utawaza matatizo, matatizo yatakuwa ni kimbilio kwako..

    Siku zote palilia na kukuza mawazo mazuri, jiwazie mawazo mazuri maana aliwazalo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.

    Natamani sana niwe na maneno sahihi ya kukwambia, natamani niwe na mistari iliyojaa matumaini itakayokufanya ujisikie amani ila fahamu kwamba, Kilimia kikizama kwa jua, huzuka kwa mvua, na kikizama kwa mvua, huzuka kwa jua.

    Nikueleze jambo moja tu kwamba, weka tumaini lako lote kwa MUNGU na sio kwa Wanadamu. Kila jambo huwa na majira na msimu wake, Hamadi ni ilio kibindoni, na silaha ni iliyo mkononi.

    There is victory at the end of your suffering. Don’t give up.

    Source: JamiiForums

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – PremierBet

    Kubet kumerahisishwa

    Tumia Tsh 5,000 kubashiri, Jipatie Tsh 5,000 bure.

    Jiunge Sasa
  3. Rickyllobbe

    Rickyllobbe

    • Dodoma, Tanzania
    • 66 Questions
    • 157 Answers
    • 0 Best Answers
    • 679 Points
    View Profile
    Rickyllobbe Proffesional
    2019-12-08T18:36:51+03:00Jibu - December 8, 2019 saa 6:36 pm

    Kitu ambacho unatakiwa kufanya ili usikate tamaa ni inabidi ujaribu kufanya kitu kile unacho kipenda muda wote

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Bashiria 5,000, Pata 5,000

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Bashiri Kibingwa. Shinda Kibabe

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

    • Mambo gani ambayo yanaweza kunisaidia siku moja?

    • Mambo gani ambayo kuyafanya ni sawa na kupoteza muda tu?

    • Nawezaje kutekeleza malengo niliyojiwekea?

    • Kuna faida gani katika kujitolea?

    • Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?

    Pokea Emails kutoka MojaSky

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.