Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 33725
In Process
Adv
Anonymous
Asked: November 19, 20192019-11-19T09:41:53+03:00 2019-11-19T09:41:53+03:00NBAA

Ni masharti na vigezo gani vya kujiunga na mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA)

Ni masharti na vigezo gani vya kujiunga na mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA)
  • 1
  • 1,223
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 127 Answers
    • 0 Best Answers
    • 430 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2021-04-10T13:04:16+03:00Jibu - April 10, 2021 saa 1:04 pm

    Masharti ya kujiunga

    (a) ACCOUNTING TECHNICIAN

    (i) Mitihani ya Accounting Technicia Level 1

    Mtahiniwa mtarajiwa nayebakia kujisajili kwa ajili ya mitihani ya accounting technician Level 1 ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo:

    1. Cheti cha mtihani wa elimu ya Sekondari (CSEE) chenye angalau ufaulu wa crediti tatu na kufaulu Hisabati na Lugha ya Kiingereza

    AU
    2. Mitihani ya Taifa ya Biashara NABE stage ii na angalau ufaulu wa masomo manne na cheti cha elimu ya Sekondari
    AU
    3. Advanced Certificate of Secondari Education Examination (ACSEE) yenye angalau ufaulu wa primary katika somo moja na subsidiary katika masomo yanayohusika, lakini ni lazima wafaulu angalau katika Kiingereza na Hisabati, O-Level Secondary Education,
    AU
    4. Cheti cha mwaka mmoja kutoka taasisi inayotambulika na ufaulu wa Kiingereza na hisabati “O” level kabla ya kupata cheti hicho.
    5. Na vyeti vingine kama vitakavyotambuliwa na Bodi kila baada ya muda

    ii) Mitihani ya Accounting Technician II

    Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya Accounting Techinician ni lazima aoneshe, uthibitisho wa kuwa na moja wapo ya sifa zifuatazo

    1. Barua ya Taarifa ya kufaulu Acconting Techinician Level
    2. Advanced Level Secondari school Certificate kwa wanafunzi waliofanya masomo ya biashara. Lakini ni lazima wawe na ufaulu wa principal mbili
    3. Cheti cha Accounting (NTA Level 4)
    4. Diploma ya miaka miwili isiyo na somo kuu la Accounting – NTA Level 6
    5. Wenye advance Level Secondary Education Certificate waliofanya masomo ya biashara na kupata ufaulu katika (Bookeeping na Commerce)

    b) PROFESSIONAL EXAMINATIONS

    Mtahiniwa mtarajiwa anayetaka kujisajili kwa ajili ya mitihani ya PROFESSIONAL ni lazima aoneshe uthibitisho wa kuwa na mojawapo ya sifa zifuatazo:

    (I) Foundation Level – Knowledge and Skills Level

    1. NBAA Accounting Technician Certificate (ATEC)
    2. Diploma ya miaka miwili katika Accounting au Accounting and Finance NTA Level 6
    3. Shahada kutoka chuo kikuu kinachotambulika au Taasisi ya Elimu ya juu (isiyokuwa ya Accounting).

    Misamaha inaweza kufikiriwa somo kwa somo kutegemea masomo ya mtahiniwa.

    (II) Intermediate Level – skills and Analysis

    1. Mwenye barua ya Taarifa ya ufaulu ya NBAA Intermediate Level
    2. Shahada ya somo kuu la Accounting au Accounting and Finance kutoka Chuo Kikuu kunachotambuliwa au Taasisi ya Elimu ya juu.

    (III) Final – Level – Analysis, Application na Evaluation

    1.Mwenye Taarifa ya ufaulu ya NBAA Intermediate Level

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Kozi zinazotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) ni zipi?

    • Ni mitihani gani inayoendeshwa na NBAA?

    • Masharti ya kujiunga kufanya mitihani ya ATEC I ni yapi?

    • Je nikiwa sina masomo matatu niliyofaulu vizuri (credit) katika elimu ya Sekondari, lakini napenda kujiunga katika fani ya uhasibu, nifanye ...

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.