Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 519
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 8, 20192019-02-08T10:44:54+03:00 2019-02-08T10:44:54+03:00Elimu, Vichekesho

Ni maneno gani utayasikia baada ya matokeo kutoka?

Ni maneno gani utayasikia baada ya matokeo kutoka?
  • 2
  • 571
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 75 Answers
    • 0 Best Answers
    • 248 Points
    View Profile
    Faustine John Advanced
    2019-02-08T10:46:38+03:00Jibu - February 8, 2019 saa 10:46 am

    HII NDIO LUGHA YA MZAZI KWA MWANAE
    ALIEFAULU KIDATO CHA NNE..

    SAA 12 asubuhi.

    BABA;- baba, unaamka sasa hivi au unalala lala
    kidogo..

    MTOTO;- Hapana baba nimechoka
    ntaamka saa 5 jana nilichelewa kulala nilikua
    naangalia PRISON BREAK season 5, kumbe
    michael scofied hakufa.
    BABA;- Haya baba basi kuna elfu 30 nimemuachia
    mama ako kama utajiskia kutoka utaitumia kama
    nauli na mimi ntaiangalia baadae iyo season.
    MTOTO;- Baba si uniachie zile funguo za rav4!!
    BABA;- Haina tatizo utaenda kuchukua pale
    chumbani kwangu usipoziona mwambie mama
    ako akupe, halafu
    sidhani kama hiyo pesa itakutosha kwa ajili ya
    mafuta upitie pale ofisini nikuongeze pesa.

    SASA HII NDIO LUGHA KWA WALE WALIOPATA 4
    NA 0

    SAA 12 asubuhi.

    BABA:- We nguruwe umelala tuu mpaka saa hizi
    ivi unajua bei ya hilo godoro mpuuzi wewe kazi
    kupata maziro tuu kwa kulala lala lione bichwa
    kama tofali, hebu amka unioshee gari niende
    kazini kenge wee.

    • 4
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
    • kenn

      kenn

      • Tanzania
      • 0 Questions
      • 3 Answers
      • 0 Best Answers
      • 40 Points
      View Profile
      kenn New
      2019-02-09T06:30:25+03:00Reply - February 9, 2019 saa 6:30 am

      hahahaahaaa dah

       

      • 0
      • Reply
      • Share
        Share
        • Share on WhatsApp
        • Share on Facebook
        • Share on Twitter
        • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • kirefu cha NACTE ni nini?

    • Nawezaje kukumbuka nilichokisoma?

    • Masharti na taratibu za kuomba mkopo Bodi ya Mikopo HESLB zikoje?

    • Mkuu wa chuo cha UDOM ni nani?

    • Taratibu za udahili katika Chuo cha Maendeleo na Usimamizi wa Maji ni zipi

    • Contacts za Ruaha Catholic University ni zipi?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.