Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 489
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 6, 20192019-02-06T05:14:31+03:00 2019-02-06T05:14:31+03:00Kazi/Ajira

Ni kozi gani nzuri unayoweza kujiajiri?

Ni kozi gani nzuri unayoweza kujiajiri?
  • 1
  • 1,539
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 366 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2019-02-06T05:20:23+03:00Jibu - February 6, 2019 saa 5:20 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Kwani kati ya mahindi na maharage kipi unaweza ukalima na ukapata faida zaidi ukiuza?
    Chochote kati ya hivyo ukikifanyia kazi vizuri ukifuata taratibu nzuri za kilimo utapata mazao bora yatakayokua na soko zuri japo ni mazao ya chakula.
    Kupata faida zaidi itategemea interest yako motivation uliyonayo na juhudi utakazoweka kwa kile ulichokichagua.
    Vivyo hivyo ukisoma kozi mojawapo vizuri ukazingatia content unayoipata kwa vitendo badae utaweza kufanya chochote kuhusu iyo kozi.
    Ukichagua kitu unachokipenda itakua rahisi zaidi kuwa motivated katika kusoma na kujiongeza.
    Mimi nikikwambia chagua kozi fulani, itakuwa ni kwa utashi wangu sio wako na mimi ndo itanisaidia na sio lazima iwe hivyo pia kwako.
    Chagua mwenyewe, mwisho wa siku utakua mwenyewe.
    Wish you all the best.

    • 4
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • VAT Tanzania ni asilimia ngapi?

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    • Nawezaje kupenda na kufurahia kazi yangu?

    • Mambo gani ya kufanya wakati wa kutafuta kazi?

    • Taratibu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kuanzisha redio au TV Tanzania ukoje?

    • Nawezaje kufanya vizuri katika maswali ya interview ya kazi?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.