Ni kosa kuangalia video za ngono za wanafunzi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Jose Mandingo
Ndio ni kosa kubwa sana, katika nchi za wenzetu hasa Marekani wana sheria kali sana kuhusu hili swala. Japo sijui kuhusu sheria za Tanzania lakini ni kosa kwa sababu kama kwa kuangalia na kusambaza picha ama video za ngono za wanafunzi namaanisha chini ya umri wa miaka 18 itaweza kuongeza matukio ya ubakaji kwa watoto na ukatili kwao kwa kutengeneza content nyingi zaidi kwa sababu watumiaji wapo