Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In
Tumia Facebook kuingia
au tumia

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa
Tumia Facebook kuingia
au tumia

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 381
In Process
Adv
Pinned
Anonymous
Asked: February 4, 20192019-02-04T10:45:41+03:00 2019-02-04T10:45:41+03:00Simu

Ni apps gani unahisi kila mtu inabidi awenazo katika simu yake?

Ni apps gani unahisi kila mtu inabidi awenazo katika simu yake?
  • 1
  • 1,321
  • 1
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 344 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Expert
    2019-02-11T05:12:10+03:00Jibu - February 11, 2019 saa 5:12 am

    Kuna apps nyingi siku hizi lakini kuna apps ni muhimu zaidi ya nyingine. Sitaongelea apps ambazo unazikuta kwenye simu na hauwezi ata kuzi uninstall mfano Google Playstore, message app, camera, notebook, file manager nk. zaidi ni kwa watumiaji wa simu za Android.

    Whatsapp

    watu wengi wanajua umuhimu wa app hii. Inakupa uwezo wa kutuma ujumbe kwa kutumia internet kupiga simu kwa internet kutuma aina mbalimbali za mafaili na mengine mengi.

    Gmail

    app ya email ni muhimu sana katika simu yako, Ila gmail ni muhimu zaidi katika simu ya android kwa sababu apps nyingine nyingi zitahitaji kuwa na accout ya gmail kuweza kuzitumia, na pia unaweza kutumia email kutoka yahoo au outlook katika app hii.

    Wps office

    ukitaka kusoma documents katika simu yako vizuri ni vema ukatumia wps office, inasoma aina zote za documents ikiwemo pdf,powerpoint na exel. Pia unaweza kuitumia kuedit document hizo.

    Google Chrome

    browser yenye uwezo mkubwa wa kufanya mambo makubwa katika simu yako. Ukitumia utapata uwezo a kuingia website yoyote, inasave password mojakwamoja katika email yako ya gmail nk.

    Google drive

    Umewahi kupoteza picha na vitu vingine wakati ulipopoteza simu yako? ukiwa na app hii inakupa uhakiaka wa kupata tena vitu vyako ikiwemo picha, video, majina na message za whatsapp.

    Swiftkey

    App hii nadhani ndio bora katika apps za keybord. ina uwezo wa kusave maneno yako unayoandika kila siku ili mara nyingine ikusaidie katika kumalizia(autocorrect) na pia ina maneno ya kiswahili.

    Xender

    kushare ni kitu muhimu katika ulimwengu wa sasa. kwa kutumia Xender unaweza kutuma na kupokea vitu kutoka katika simu kwenda kwenye simu nyingine au kompyuta na kinyume chake.

    Google Maps

    Watu wengi wamezoea kwenda sehemu na kuuliza kuwas sehemu fulani ni wapi mwisho kuishia kupotezwa na mtu aidha kwa kukusudia au bila kukusudia, ukitumia app hii unaweza kutafuta eneo unaloenda njia utakayotumia na kwa usafiri unaotaka. pia kuna vitu vingine vingi. anza kutumia uone mengi zaidi.

    Shazam

    je umeusikia mziki unaopenda na ukashindwa kujua jina lake? Shazam ndio jibu lako.

    Nova Laucher

    Hii ni app inayobadilisha mwonekano wa simu yako kuanzia kwenye desktop hadi kwenye menu.

    • 6
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Bashiria 5,000, Pata 5,000

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Bashiri Kibingwa. Shinda Kibabe

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • IMEI ya simu ni nini?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    Pokea Emails kutoka MojaSky

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.