Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31971
In Process
Adv
Anonymous
Asked: June 5, 20192019-06-05T10:42:35+03:00 2019-06-05T10:42:35+03:00Maana za Maneno, Mapenzi, Ndoa

Ndoa ni nini?

Ndoa ni nini?
  • 2
  • 1,376
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Anitha
    2020-01-11T06:23:38+03:00Jibu - January 11, 2020 saa 6:23 am

    Ndoa ni muungano wa kijamii au mkataba wa kisheria kati ya watu wanaojulikana kuwa wanandoa. Katika tamaduni mbalimbali, ndoa zinakamilishwa kwa sherehe ya ndoa.

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Emmanuel Magessa

    Emmanuel Magessa

    • Mbeya, Tanzania
    • 1 Question
    • 30 Answers
    • 0 Best Answers
    • 58 Points
    View Profile
    Emmanuel Magessa Intermediate
    2020-11-29T15:39:49+03:00Jibu - November 29, 2020 saa 3:39 pm

    Ndoa ni agano lenye kusudi la wawili (Mwanamume na mwanamke) kuishi pamoja kama mwili mmoja maisha yao yote baada ya kukubaliana, kila mmoja akimkubali mwenzake kuishi na kuwa naye wakati wote ktk hali zote kwa moyo wake wote.
    Katika ngazi hii ya mahusiano ndipo watu huwa mke na mume kwa kuunganishwa na Mungu kuwa mwili mmoja. Na ktk ngazi hii tendo la ndoa uhusika, na mambo yote ya faragha yahusuyo upendo, na si ktk uchumba. Huwezi kuishi maisha ya ndoa wakati wa uchumba; ukashiriki tendo la ndoa, na kufanya mambo ya faragha ya upendo na yale yasiyo ya faragha lkn yanawahusu zaidi wana ndoa. Kufanya hivyo ni kuharibu ndoa yenu, lkn kuhatarisha mahusiono yako ya uchumba.

    Unaposhiriki mambo ya ndoa wakati wa uchumba unajijengea na unamjengea mwenzi wako tabia ya kukosa uaminifu ktk ndoa yenu na hivyo kuwa wachepukaji wakati wa ndoa. Lakini pia kufanya hivyo ni kumpa ibilisi nafasi ktk uchumba wenu, na lazima ataharibu tu, asipoharibu kwenye uchumba ataharibu kwenye ndoa, hawezi kuwaacha ivi hivi ikiwa mmempa nafasi. Na kati ya watu wanatumia nafasi bila kupoteza iwapo wataipata, ni shetani. Kwa hiyo kuwa mwangalifu sana.
    Usipoteze uzaliwa wako wa kwanza na mbaraka wako kwa kipande cha mkate ambacho utamu wake haudumu kinywani na ujazo wake haujazi tumbo milele. Japokuwa ni kitamu kitatupwa chooni na wala hutabaki chooni ukifurahi kukitazama. Jitunze, mtunze mwenzi wako, tunza uchumba wako, tunza ndoa yako. Matunzo yanaanza kwa wewe kujitunza, kumtunza mwenzi wako, kutunza uchumba wako na hatimaye kutunza ndoa yako.

    kutoka hebroni blog

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • Mwanaspoti ni nini?

    • Nini maana ya mwananchi?

    • Saikolojia ni nini?

    • Nimfanyie nini mwanamke ili anipende?

    • Urithi ni nini?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.