Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30966
In Process
Adv
RickyllobbeProffesional
Asked: April 22, 20192019-04-22T08:53:25+03:00 2019-04-22T08:53:25+03:00Kompyuta

Nawezaje kutengeneza app?

Nawezaje kutengeneza app?
  • 1
  • 275
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. ChuiTec

    ChuiTec

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 2 Questions
    • 13 Answers
    • 0 Best Answers
    • 46 Points
    View Profile
    ChuiTec New
    2020-10-25T08:00:21+03:00Jibu - October 25, 2020 saa 8:00 am

    Kama ungependa kujua jinsi ya kutengeneza app ya android bila kuwa na ujuzi yani programming endelea kusoma . Kama ungependa kujua namna ya kutengeneza app hizo kwa njia ya programming yani Android Studio na nyingine post hii haielezei kuhusu hilo japo unaweza kujifunza mambo kadhaa ambayo ni muhimu pia.

    Hatua za kufuata kutengeneza app yako

    1.Research (fanya uchunguzi)

    Unatengeneza app kwa nini? Labda unataka kutatua tatizo fulani mfano app ya Thl ni utatuzi wa tatizo la notes kwa wanafunzi. Pia unaweza kuamua kutengeneza app kwa ajili ya burudani, app kwa ajili ya wewe kujifunza tu au hata app isiyokuwa na maana yoyote

    Kama unatengeneza app kwa ajili ya biashara ni vizuri ukajua watumiaji watakuwa wa kina nani? watakuwa tayari kulipia? Unatoa huduma ambayo watu wataihitaji? na mengine yanayofanana na hayo

    2.Tengeneza app yako

    Ukishajua app unayohitaji kuitengeneza unakuja kwenye hatua muhimu kabisa ya kuitengeneza app yako. Njia rahisi ni kwa kutengeneza app online yaani katika website zinazotoa huduma hiyo. Unaweza kutumia njia hizi rahisi.

    • AppCreator 24

      Kama unataka kutengeneza app hasa kwa ajili ya blog au website yako ili ni chaguo bora. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website yao unajiunga au una log in alafu utaweza kutengeneza app yako ndani ya dakika chache tu.

    • Andromo

      Unataka kutengeneza app kwa ajili ya Masomo, sauti, ramani, picha, ukurasa wa youtube, blog au website unaweza tumia hii. Unachotakiwa kufanya ni kuingia katika website yao ili kuanza kutengeneza app yako. TanzaniaTech wameeleza hatua jinsi ya kutengeneza app kwa kutumia Andromo hapa

    Website nyingine zinazoweza kufanikisha lengo lako ni kama

    • Appy Pie
    • AppMachine
    • Mobile Roadie
    • BiznessApps
    • BuzzTouch
    • TheAppBuilder
    • Good Barber
    • Kinetise
    • Como DIY
    • App makr
    • AppsGeyser
    • Jmango
    • BuildFire

     

    3.Test app yako

    Hii ndiyo hatua inayofurahisha zaidi. Hapa unajaribu app uliyoitengeneza kama inakidhi vigezo na matarajio uliyoyaweka kabla ya kuitengeneza app yenyewe. Kama unatumia kompyuta kutengeneza ni vyema ukawa na simu kwa ajili ya ku test.

    4.Sambaza app yako

    Kama umemaliza hatua zote sasa unaweza kuiweka app yako katika platforms mbalimbali na hata kufanya matangazo kwa ajili ya kupata watumiaji. Unaweza kuiweka Google Play Store (ni muhimu kwa sababu watumiaji wengi wapo hapa), Amazon App Store na nyingine.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje ku download app store kwenye PC?

    • Nawezaje ku install Gmail kwenye PC?

    • Programu nzuri ya kuedit picha kwenye PC ni ipi?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Nawezaje ku download Android Studio?

    • Nawezaje kufuta history ya computer?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.