Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34989
In Process
Anonymous
Asked: January 30, 20202020-01-30T17:02:02+03:00 2020-01-30T17:02:02+03:00Wagunduzi

Nawezaje kusajili ugunduzi wangu ili watu wengine wasiutumie bure?

Nawezaje kusajili ugunduzi wangu ili watu wengine wasiutumie bure?
  • 1
  • 185
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 377 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2020-01-30T17:06:38+03:00Jibu - January 30, 2020 saa 5:06 pm

    Kama umegundua kitu ambacho ni kipya kabisa unapaswa kupata itu kinachoitwa ‘patent’, kwa kiswahili ni hataza

    Kupitia tovuti kuu ya serikali wameandika hivi

    Hataza ni haki ya pekee inayotolewa kwa uvumbuzi. Ili kupewa haki hii ya pekee au ulinzi,  ni lazima kuwa na uvumbuzi. Uvumbuzi ni ufumbuzi kwa tatizo la kiufundi.  Mvumbuzi analindwa dhidi ya matumizi yasiyoidhinishwa ya uvumbuzi wake iwapo uvumbuzi huo umesajiliwa na umepewa hataza. Ulinzi unatolewa kwa kipindi maalumu. Kipindi ni cha miaka 10 kinachoweza kuongezwa kwa vipindi viwili vya miaka 5 baada mwenye hataza kuomba kwa msajili.

    Masharti:

    • Uvumbuzi ni lazima uwe mpya ambao haujawahi kutokea
    • Uwe na matumizi halisi (kutumika kiwandani)
    • Lazima iwe na hatua ya uvumbuzi

     

    Taratibu:

    • Jaza fomu ya maombi nam. 2
    • Ada ya maombi ya 22,000/=
    • Maombi ni lazima yawe na hatimiliki ya uvumbuzi, maelezo ya uvumbuzi, kutaja fani ya kiufundi inayohusu uvumbuzi huo.-
    • Fomu ziwasilishwe kwa msajili wa Hataza; ofisi za BRELA.
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nani aligundua simu?

      • Majibu 0

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.