Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 35328
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 22, 20202020-02-22T06:43:58+03:00 2020-02-22T06:43:58+03:00

Nawezaje kupata leseni ya kuchimba madini Tanzania?

Nawezaje kupata leseni ya kuchimba madini Tanzania?
  • 2
  • 221
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Majibu 2

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. victor mathias bundu
    2021-11-12T10:22:08+03:00Jibu - November 12, 2021 saa 10:22 am

    Habari?

    Naomba kujua namna gani naweza kupata leseni ya kuchimba madini?

     

    Asante

     

    0713337368

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
  2. Promo – MeridianBet

    Kubet kumerahisishwa

    Jipatie Tsh 3,500 ya kuanzia kama zawadi ya kujiunga.

    Jiunge Sasa
  3. Ramson Mnyaka

    Ramson Mnyaka

    • Mwanza, Tanzania
    • 0 Questions
    • 2 Answers
    • 0 Best Answers
    • 13 Points
    View Profile
    Ramson Mnyaka
    2020-02-22T08:29:46+03:00Jibu - February 22, 2020 saa 8:29 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Tanzania imebarikiwa kuwa na hazina kubwa ya rasilimali ya madini, kama vile dhahabu, almasi, vito , nikeli, urani, makaa ya mawe, jasi, chumvi na kadhalika. Hazina yote ya madini inamilikiwa na Serikali, na hivyo shughuli za utafutaji na uchimbaji wa madini huweza kufanywa na watu au kampuni kwa kutumia leseni zinazotolewa na Wizara ya nishati na Madini.

    Madaraja ya leseni ya uchimbaji madini yako kama ifuatavyo;

    • Daraja A: Leseni za Utafutaji Mkubwa wa Madini-PL
    • Daraja B:Leseni za Uchimbaji wa Madini
    • Daraja C: Leseni za Uchimbaji Mdogo wa Madini-PML
    • Daraja D: Leseni za Uchenjuaji wa Madini

     

    MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUOMBA LESENI

    Kabla ya kujaza fomu ya kuomba leseni ni muhimu kufanya maandalizi ya vitu muhimu vifuatavyo;

    • Kupata taarifa za uhakika kuhusu eneo unalotaka kuomba. Ofisi zote za madini huweza taarifa zinazohitajika
      kwa maombi maalum (official search). Aidha, wateja wanaweza kununua ramani ya leseni ya madini (shapefile)
      inayopatikana kwa kuwasilisha ombi Makao Makuu ya Wizara. Ramani ya jumla inapatikana kwenye tovuti ifuatayo: http://www.flexicadastre.com/tanzania
    • Kwa waombaji kupitia kampuni wanapaswa kuandaa nyaraka sahihi za usajili wa kampuni (Certificate of Incorporation, Memorandum & Articles of Association) pamoja na nyaraka zinazoonesha uwezo wa kifedha na kiufundi (financial & technical capability) Waombaji binafsi wanatakiwa kuandaa picha tatu za pasipoti na kama ni kikundi, basi picha za wanakikundi wote ziandaliwe.
    • Waombaji wa leseni za madaraja A na B wanapaswa kuandaa ramani ya eneo linaloombwa (topographical map), kuchukua vipimo vya kijiografia vya eneo linaloombwa (geographical coordinates in Arc 1960); na kutayarisha mpango wa kazi unaoonesha mpango wa mafunzo(training plan) na mpango wa manunuzi ya bidhaa (procurement of local goods).
    • Waombaji wa leseni za uchimbaji mdogo wanapaswa kuandaa mchoro unaoonesha mahali panapoombwa na pia kuchukua vipimo vya kijiografia vya eneo linaloombwa (geographical coordinates in Arc 1960). Waombaji kwenye maeneo yaliyotengwa rasmi kwa uchimbaji mdogo wanaweza kutakiwa kuwasilisha maelezo au vitu zaidi kadiri itakavyotakiwa na Kamati ya Ugawaji.
    • Waombaji wanapaswa kutayarisha fedha za kulipia ada ya maombi (application fee) wakati wa kuwasilisha fomu ya maombi. Ada ya maombihairejeshwi hata kama ombi husika litakataliwa.
    • Ni MUHIMU kuwahisha ombi lililokamilika mapema na kulipia katika ofisi ya madini inayosimamia eneo unaloomba.
    • Taratibu za kuomba vibali toka mamlaka nyingine (vijiji, maliasili nk) ni WAJIBU wa Mteja. Ni muhimu Wateja wakafahamu masharti
      ya kupata vibali toka mamlaka husika katika maeneo wanayotaka kuomba leseni ili kuepuka usumbufu haitakiwi kuweka mipaka au kutengeneza miundombinu kabla hujapata leseni na pia kabla hujapata ridhaa ya wenye kumiliki eneo unaloomba leseni

     

    chanzo; tovuti kuu ya serikali

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.