Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In

Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Ask a Question
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Questions»Q 34427
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 9, 20202020-01-09T06:17:48+03:00 2020-01-09T06:17:48+03:00In: Cheti cha Kuzaliwa

Nawezaje kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania kama nipo nje ya nchi?

Nawezaje kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania kama nipo nje ya nchi?
  • 1
  • 253
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Answer
  • Report
Adv

1 Answer

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 128 Answers
    • 0 Best Answers
    • 448 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-01-09T06:20:02+03:00Added an answer on January 9, 2020 at 6:20 am

    Cheti cha kuzaliwa ni waraka muhimu na halisi unaoandikwa kwenye rejesta ya vizazi ya nchi alikozaliwa mtoto. Cheti hicho kina taarifa kama vile mahali, mwaka, mwezi, siku, tarehe na wakati alipozaliwa motto. Waraka huu ni muhimu na wenye manufaa ni utambulisho wa kujua utaifa na umri wa mtu.

    Masharti:

    • Picha tatu za pasipoti
    • Uwe na angalau kimojawapo kati ya hivi: kadi ya kliniki, cheti cha ubatizo, cheti cha kumaliza shule (msingi/sekondari)

    Taratibu:

    • Peleka maombi kupitia barua pepe ya RITA (info@rita.go.tz)
    • Jaza Fomu na kuwasilisha kupitia barua pepe
    • Ambatisha angalau kimojawapo kati ya hivi: kadi ya kliniki, cheti cha ubatizo, cheti cha kumaliza shule (Msing/ Sekondari)
    • Pokea barua pepe kutoka RITA, pamoja na kiambatisho cha Fomu ya Kiapo, halafu ambatisha na nakala tatu za picha za pasipoti
    • Skani fomu ya kiapo na itume kupitia barua pepe
    • Pokea barua pepe kutoka RITA, inayoruhusu kuendelea na mchakato wa malipo
    • Lipa cheti cha mtoto kilichoelezwa chini ya umri wa miaka 10 – dola za Marekani 14, zaidi ya miaka 10 na kuendelea , Dola za Marekani 20. Na kupitisha Hundi – Dola za Marekani 20.
    • Malipo ni lazima yafanywe kupitia DHL-EMS n.k

    Chanzo: Tovuti ya serikali

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Browse

Adv

Sidebar

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.