Nawezaje kupata cheti cha kuzaliwa Tanzania kama nipo nje ya nchi?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Salim Jumbe
Cheti cha kuzaliwa ni waraka muhimu na halisi unaoandikwa kwenye rejesta ya vizazi ya nchi alikozaliwa mtoto. Cheti hicho kina taarifa kama vile mahali, mwaka, mwezi, siku, tarehe na wakati alipozaliwa motto. Waraka huu ni muhimu na wenye manufaa ni utambulisho wa kujua utaifa na umri wa mtu.
Masharti:
Taratibu:
Chanzo: Tovuti ya serikali