Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31166
In Process
Adv
Anonymous
Asked: May 2, 20192019-05-02T11:44:32+03:00 2019-05-02T11:44:32+03:00Simu

Nawezaje kukoleza au kulaza maneno Whatsapp?

Nawezaje kukoleza au kulaza maneno Whatsapp?
  • 1
  • 964
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Faustine John

    Faustine John

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 16 Questions
    • 75 Answers
    • 0 Best Answers
    • 248 Points
    View Profile
    Faustine John Advanced
    2020-05-15T08:46:28+03:00Jibu - May 15, 2020 saa 8:46 am

    Wale wapenzi wa kuchat kwenye Whatsapp tayari washakutana na message ambazo zina maneno ya bold(yaliyokolezwa), italic(yaliyolala),monospace na Strikethrough(yaliyokatwa na mstari). Kwenye picha juu kuna baazi ya maneno yanaonekana yana bold

    Leo ntaonyesha ujanja kidogo ambao watu wengi bado hatuujui..Cha kwanza ili uweze kufanya yote kirahisi ningekushauri kwanza download Gboard Keyboardkutoka kwenye playstore. Kama huna hiyo Gboard Keyboard tembelea link chini ili uweze kuipakua
    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.google.android.inputmethod.latin

    Sasa kama tayari umesha install Gboard Keyboard na ndio umeifanya iwe ni keyboard inayotumika. Kama bado hujui jinsi ya kufanya hivyo basi tembelea link chini
    https://phonetricktz.blogspot.com/2016/12/muonekano-mpya-wa-google-keyboard-gboard.html?m=1

    Sasa mfano unataka kuandika maneno yenye Bold. Fungua Whatsapp yako kisha andika ujumbe wako halafu kabla haujautuma kwa mtu select yale maneno ambayo unataka yawe na bold mfano kwenye picha chini utaona mimi nimeselect maneno yanasomema hivi See, I have told you beforehand. Matthew 24:21‭-‬22‭, ‬25 NKJV

    Sasa kama unataka hayo maneno yawe na bold, baada ya kuselect maneno yako bonyeza ile alama ambayo ina mistari mitatu kama inavyo onekana kwenye picha chini

    Baada ya kubonyeza hiyo alama utaona kuna vipengele vifwatavyo.. Bold
    Italic
    Monospace
    Strikethrough
    Kama inavyo onekana kwenye picha chini.

    Mfano ukichagua bold maneno yataonekana kama ifwatavyo

    Mfano umechagua Italic< basi maneno yataonekana kama ifwatavyo

    Mfano umechagua Strikethrough basi utapata muonekano kama picha chini

    kutoka phonetricktz

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • IMEI ya simu ni nini?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.