Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In

Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Ask a Question
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Questions»Q 31200
In Process
Adv
Anonymous
Asked: May 4, 20192019-05-04T09:38:33+03:00 2019-05-04T09:38:33+03:00In: Kompyuta, Simu

Nawezaje kuhamisha vitu kutoka kwenye simu ya android kwenda kwenye PC ya apple?

Nawezaje kuhamisha vitu kutoka kwenye simu ya android kwenda kwenye PC ya apple?
  • 1
  • 714
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Answer
  • Report
Adv

1 Answer

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Mugabe Abraham
    2020-11-08T16:32:58+03:00Added an answer on November 8, 2020 at 4:32 pm

    HIVI NDIVYO UNAVYOWEZA KUHAMISHA VITU KUTOKA KWENYE SIMU YAKO YA ANDROID KWENDA KWENYE KOMPYUTA YAKO YA APPLE

    #Kwanza tukubali sio kila mwenye kompyuta ya apple anatumia simu ya iPhone. 
    Zifuatazo ni njia rahisi za kuhamisha vitu vyako kutoka kwenye Android kwenda kwenye kompyuta ya apple.

    • Washa mtandao kwenye kompyuta yako ya apple ili uweze kuingia internet kwa ajili ya kudownload application inayoitwa “ANDROID FILE TRANSFER”
    • Application hii inapatikana mahali tofauti tofauti lakini kupitia link inayoonekana hapo chini kwenye picha itakua rahisi zaidi.
    • Andika link hiyo na itakupeleka moja kwa moja kuidownload . Tazama picha hapo chini.
    • Ikimaliza utaenda kwenye kompyuta yako sehemu ya download na utakuta android file transfer.
    • Kisha fungua “click and drag” kwenda kwenye application folder. Hapo utakua umemaliza hadi kufanya installation.
    • Utabonyeza palipoandikwa open kama inavyoonekana kwenye picha hapo chini. Sasa unaweza kuchomeka simu yako ya Android kwenye kompyuta yako ya apple na kuendelea kuhamisha vitu kutoka kwenye simu kwenda kwenye kompyuta na kutoka kwenye kompyuta kwenda kwenye simu.

    HAKIKISHA SIMU YAKO HAIJAWEKWA LOCK WAKATI UNAUNGANISHA KWENYE KOMPYUTA YAKO.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Browse

Adv

Sidebar

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.