Nawezaje kuhack Google?
RickyllobbeProffesional
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Sijui unamaanisha nini haswa ukisema unawezaje kui hack Google. Lakini kama lengo lako ni kuhack kwanza inabidi uwe na uwezo wa ku hack, yani ujifunze programing language kwa ajili ya kuihack na uanze na challenge ndogondogo namaanisha ujifunze kwa kadri ziku zinavyozidi kwenda alafu baadae ndo uanze kutafuta madhaifu yaliyopo katika mifumo ya google.
Sio rahisi na ni hatari usipokuwa makini