Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31239
In Process
Adv
Anonymous
Asked: May 7, 20192019-05-07T16:18:23+03:00 2019-05-07T16:18:23+03:00Simu

Nawezaje kufunga tatizo la “unfortunately app has stopped”?

Nawezaje kufunga tatizo la “unfortunately app has stopped”?
  • 1
  • 665
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. 1sky

    1sky

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 1 Question
    • 17 Answers
    • 0 Best Answers
    • 22 Points
    View Profile
    1sky New
    2020-09-19T12:33:57+03:00Jibu - September 19, 2020 saa 12:33 pm

    Umewahi kukutana na ujumbe unaosema unfortunately app has stopped?. Najua ni wengi mliokutana na hili tatizo la unfortunately app has stopped katika simu zenu za mkononi[smartphone]. Kwa kufuata njia kama zilivyoelekezwa hapo chini utakua umetibu tatizo hilo la simu.

    Fungua
    SETTINGS>APPLICATION MANAGER>ALL APPS>OPTIONS>RESET APP PREFERENCES. Baada ya kubonyeza kwa kufuata mfululizo ulioonekana hapo juu itatokea kama hivi. Bonyeza reset apps.

    Baada ya kufungua kama ilivyo hapo juu utachagua iyo application iliyokua stopped kwa kuibonyeza itafunguka alafu utabonyeza CLEAR CACHE>CLEAR DATA. Hapo application yako iliyokua inasumbua itakaa vizuri na kurudi kama ilivyokua mwanzo. Baada kubonyeza kama inavyoonekana hapo juu kwa kuanza na clear cache alafu ikifatiwa na clear data itaonekana kama hapo chini kwenye picha. Kisha bonyeza OK.
     

     

    KUMBUKA:Hakuna application itakayofutwa zote zinabaki sawa sawa.

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • IMEI ya simu ni nini?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.