Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 30013
In Process
Anonymous
Asked: February 19, 20192019-02-19T10:04:34+03:00 2019-02-19T10:04:34+03:00Biashara/Ujasiriamali, Simu

Nawezaje kufanya biashara Whatsapp?

Nawezaje kufanya biashara Whatsapp?
  • 1
  • 911
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 132 Answers
    • 0 Best Answers
    • 476 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-04-24T07:58:51+03:00Jibu - April 24, 2020 saa 7:58 am

    Mwongozo kamili wa Whatsapp kuendesha biashara.

    Je, wewe ni mfanya biashara wa kati au mdogo?

    Kama simu yako ina whatsapp unaweza kuitumia kuendesha biashara yako.

    Njia za kutumia Whatsapp kuendesha biashara ni pamoja na:
    a) Kuendesha semina za kulipia au bure kwa watu wasiozidi 250

    b) Kutangaza biashara/huduma unazotoa kupitia magrup ya watu wengine au grup lako whatsapp

    c) Kuuza bidhaa au huduma

    d) Kujenga mabalozi na wateja wa biashara yako

    Faida amabazo utazipata kupitia Whatsapp ikiwa utaamua kutumia njia nilizotaja hapo juu kuendesha biashara;
    Biashara yako itafahamika zaidi, kwa sababu idadi ya watu katika grup la whatsapp ni hadi 250.

    1. Unakuwa na nafasi ya kuimarisha mawasiliano kibiasahara na watu zaidi ya 200. Ikiwa utawasidia nao watakusaidia kuwafahamisha watu wengine kama ndugu na marafiki zao juu ya biashara yako.

    2. Pia utatengeneza mabalozi wa kazi zako ambao watashea matangazo na kazi zako bila kuwalipa pesa kwa sababu wanasimama kama mashuhuda wako.

    3. Whatsapp, sawa na mitandao mingine ya kijamii inakusaidia kusikia wateja wako wanasema nini juu ya bidhaa au huduma yako. Hii inakupa nafasi kuboresha sehemu ambayo wateja wako hawajarizika.

    Jinsi ya kutumia Whatsapp kuendesha biashara saizi ya kati na ndogo.
    Umeona Whatsapp unaweza kuitumia kuendesha biashara, sasa tuangalie njia na jinsi ambavyo unaweza kuitumia kibiashara:

    Bonyeza hapa usome makala yote

    source; shorisuccesslife

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

      • Majibu 4
    • VAT Tanzania ni asilimia ngapi?

      • Majibu 2
    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

      • Jibu 1
    • Taratibu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kuanzisha redio au TV Tanzania ukoje?

      • Jibu 1
    • IMEI ya simu ni nini?

      • Majibu 0
    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

      • Majibu 0
    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

      • Jibu 1
    • Kama sitajiunga na kifurushi cha internet Vodacom nitakatwa sh ngapi kwa kila MB nitakayotumia?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kulipa bili kwa kutumia TIgoPesa?

      • Jibu 1
    • Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.