Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 31825
In Process
Anonymous
Asked: May 29, 20192019-05-29T08:34:25+03:00 2019-05-29T08:34:25+03:00Kompyuta, Simu

Nawezaje kudownload game haraka?

Nawezaje kudownload game haraka?
  • 1
  • 839
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 81 Answers
    • 0 Best Answers
    • 392 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2019-06-25T03:52:12+03:00Jibu - June 25, 2019 saa 3:52 am

    Ili kudownload game kwa haraka inabidi uzingatie vitu viuatavyo

    Uwe na internet yenye kasi, hii itategemea mtandao unaotumia au maeneo uliyopo internet ikiwa na speed hen utaweza ku download kwa haraka

    Kifaa unachotumia. Kama unatumia simu yenye uwezo wa 3G iyo iko wazi kuwa ili udownload kwa speed zaidi inabidi utumia yenye uwezo zaidi mfano 4G

    Idadi ya MB za game unalotaka kudownload. Kuna games zinakuwa na MB nyingi ukilinganisha na nyingine. Sasa hapa unapaswa uangalie MB kabla ya kudownload ili uweze kwenda na speed unayohitaji.

    Vitu vingine vidogo vya kuzingatia ni kama simu yako ina kiasi gani cha memory, sehemu unayo downloadia mfano playstore itakua na speed kuliko app nyingine.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

      • Majibu 4
    • Nitapata wapi namba za simu za benki za Tanzania?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kuweka pesa benki kwa kutumia M Pesa?

      • Jibu 1
    • Nimesahau namba yangu ya siri ya MPesa, nifanyaje?

      • Majibu 4
    • IMEI ya simu ni nini?

      • Majibu 0
    • Kikomo cha kutuma pesa MPesa ni kiasi gani?

      • Jibu 1
    • Mwisho wa kuzuia muamala uliokosewa TigoPesa ni dakika ngapi?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kujiunga M Pesa?

      • Jibu 1
    • Nawezaje ku download app store kwenye PC?

      • Majibu 0
    • Nawezaje ku install Gmail kwenye PC?

      • Majibu 0

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.