Nawezaje kubadilisha IMEI ya simu?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Faustine John
*.Download App ya Mobile Uncle App play store kwenye android yako.
Download Mobile Uncle App Hapa
*.sasa, Fungua hiyo app.
*.Alafu, chagua Engineer Mode > Engineer Mode (MTK).
*.Shuka chini & Bofya kwenye CDS Information
*.Chagua Radio Information.
*.Utakuta options mbili, Utachagua “Phone 2”
*.Utapata option kama hii AT
*.Sasa, ingiza AT < Tarakimu 15 za IMEI mpya> (Kwa Mfano -AT 123456789012345 )
*.Chagua, SEND AT COMMAND
*.Baada ya hapo unatakiwa kui Restart simu yako alafu utapata IMEI zako mpya za android yako
hiyo ni bila ku root simu yako kusoma zaidi(na kwa ku root) soma HAPA