Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 375
In Process
Adv
Anonymous
Asked: February 2, 20192019-02-02T19:00:39+03:00 2019-02-02T19:00:39+03:00Simu

Nataka kujua jinsi ya kutengeneza app nifanyeje?

Nataka kujua jinsi ya kutengeneza app nifanyeje?
  • 1
  • 1,522
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 369 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2019-03-01T10:35:57+03:00Jibu - March 1, 2019 saa 10:35 am
    Jibu hili limerekebishwa.

    Nitakisia kwamba app unayotaka kutengeneza ni ya simu ya Android mfano ni app zinazopatikana Google Play Store.

    Apps huwa zinatengenezwa kwa kutumia lugha za kompyuta(programming languages) ili kutengeneza app hizo kwa njia inayotumika zaidi inabidi ujue lugha ya kutengenezea app hiyo, mfano apps za Android zinatumia lugha ya Java kwa kutumia programu maalumu ya kompyuta inayojulikana kama Android Studio(japo zipo nyingine pia). Kwa hiyo ili uweze kutengeneza app inabidi ujifunze kwanza kuprogram kwa kutumia lugha husika.

    Pia kama utapenda kutengeneza bila kujifunza kuprogram au kumuajiri mtu unaweza kutumia app builders zitakazokuwezesha kutengeneza app bila kuwa na ujuzi wowote

    Mfano wa hizo app builders ni

    AppCreator24

    Appery.io

    Appy Pie

    AppMachine

    AppMakr

    Ila kwa njia hii ili kutengeneza app ya maana mfano kwa ajili ya biashara yako itakubidi utumie zaidi pesa ukilinganisha na njia ya ku program mwenyewe.

    • 1
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kuzipata sms za mke wangu katika simu yangu ambazo zinatumwa na watu wake?

    • IMEI ya simu ni nini?

    • Nawezaje kutumia hotspot ya simu kwenye kompyuta bila kutumia USB?

    • Unazo message za mafumbo za kingereza?

    • Nitajuaje simu yangu ilipo kama imepotea au imeibwa?

    • Nawezaje kuandika meseji alafu zijitume zenyewe baadae?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.