Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34778
In Process
Anonymous
Asked: January 24, 20202020-01-24T06:33:45+03:00 2020-01-24T06:33:45+03:00NSSF

Mtu anawezaje kuwa mwanachama wa NSSF?

Mtu anawezaje kuwa mwanachama wa NSSF?
  • 1
  • 399
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 132 Answers
    • 0 Best Answers
    • 474 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-01-24T06:35:57+03:00Jibu - January 24, 2020 saa 6:35 am

    Mwajiri yeyote anawajibika kuwaandikisha wafanyakazi wake wote alionao na kupewa namba za uanachama ambazo ni lazima kwa mwanachama kuitunza namba hiyo. Mwanachama anawajibika kupewa kitambulisho cha uanachama NSSF/R4 ambacho kinatumia kwa ajili ya kupata mafao na huduma yoyote nyingine kutoka katika Shirika.

    Uandikishaji Wanachama wa Hiari

    Mtu yeyote aliyejiajiri, mkulima, mfanyakazi wa ndani, wafanya biashara wadogo wadogo wanaweza kujiandikisha kwa hiari na kulipia kadiri ya uwezo wao kuanzia shilingi 20,000 kwa mwezi (asilimia 20 ya mshahara wa kima cha chini (KCC) wa serikali) na atapata mafao yote saba yatolewayo na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Utaratibu wa kununua nyumba NSSF ukoje?

      • Jibu 1
    • Utaratibu wa kuomba mafao NSSF uko vipi?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.