Unaweza kushea message za mafumbo?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Please briefly explain why you feel this question should be reported.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Please briefly explain why you feel this user should be reported.
Ukiipata hii SMS,
Mtumie
Mtu 1 unayempenda,
Mtu 1 unayemchukia,
Mtu 1 unayemuwaza muda wote na
Mtu 1 unayetamani kumuua.
sasa endelea kuwaza kwa nini mimi nimekutumia wewe!!
________________________________________
Swali: Ni wakati gani ambao mtu anapewa PONGEZI
kwa MAKOSA yake?
Jibu: katika HARUSI yake.
______________________________________
Sehemu gani ya mwili wa binadamu ambayo haiongezeki ukubwa?
(tangu mtu amezaliwa)
Unahisi unajua jibu….
Jibu=Jicho
________________________________________________
Kitu kifupi
kinakuwa kirefu ukikishika
kinapita katikati ya maziwa ya mwanamke
kinaingia kwenye shimo dogo
Ni nini hicho?
Jibu. mkanda wa siti ya gari….. acha akili chafu wewe
————–
Sms ipi ya mafumbo imekupiga chenga?