Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 35257
In Process
Anonymous
Asked: February 7, 20202020-02-07T08:32:49+03:00 2020-02-07T08:32:49+03:00Nyumba

Mchakato wa kununua nyumba National housing uko vipi?

Mchakato wa kununua nyumba National housing uko vipi?
  • 1
  • 253
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Joel Mandi
    2020-02-07T08:37:11+03:00Jibu - February 7, 2020 saa 8:37 am

    Mchakato wa ununuzi wa nyumba umekusudiwa kuwa rahisi na usio na utata kadiri iwezekanavyo. Mchakato wa kuuza utaanza pamoja na uzinduzi wa mradi. Mara tu baada ya kutangaza kuwa mradi fulani uko tayari kuuzwa.

    Utaratibu:

    • Chukua/pakua Fomu ya Maombi ya Kununua Nyumba
    • Uwasilishaji wa fomu ya maombi ya kununua nyumba
    • Lipa ada ya maombi na angalau 10% ya malipo ya awali (ya bei ya nyumba iliyoombwa)
    • Tathmini ya fomu za maombi ya kununua nyumba zilizochukuliwa
    • Kuorodhesha wote wanaotimiza vigezo vya ununuzi vilivyowekwa.
    • Kupeleka “barua ya ahadi ya kununua nyumba iliyoombwa” kwa waombaji wa kwanza waliotimiza masharti ya maombi (100%) ya kununua nyumba
    • Kupeleka “barua ya ahadi ya kununua nyumba – orodha ya wanaosubiri” waombaji wengine wa pili waliotimiza masharti ya kununua nyumba (20%)
    • Tangaza kufungwa kwa mchakato wa maombi ya mradi mahususi
    • Utumaji wa barua za kukataliwa kwa waombaji wengine wote wasiopangiwa nyumba
    • Marejesho ya fedha kwa waombaji waliopangiwa nyumba (na kukataliwa kuhawilishwa kwenye miradi mingine
    • Ukamilishaji wa malipo ya kiasi kilichobaki cha bei ya kununulia nyumba
    • Kubatilisha barua ya ahadi ya waombaji walioshindwa kukamilisha malipo yaliyobaki ya bei ya kununulia nyumba na kuwatumia barua ya ahadi ya kununua waombaji katika orodha ya wanaosubiri
    • Marejesho ya fedha kwa waombaji ambao barua zao za ahadi zimebatilishwa (na waliokataa kuhawilishwa kwenye miradi mingine)
    • Mchakato wa hati miliki ya nyumba
    • Kukabidhiwa nyumba.
    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Smartphone mpya ya Samsung kwa Tsh 220,000 Tu

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Utaratibu wa kununua nyumba NSSF ukoje?

      • Jibu 1
    • Utaratibu wa kupanga katika Shirika la nyumba la taifa (NHC) ukoje?

      • Majibu 2

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.