Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34686
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 16, 20202020-01-16T12:48:41+03:00 2020-01-16T12:48:41+03:00Internet, Kazi/Ajira

Mambo gani ya kuzingatia katika kuomba kazi serikalini kwa njia ya mtandao?

Mambo gani ya kuzingatia katika kuomba kazi serikalini kwa njia ya mtandao?
  • 1
  • 310
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Alex
    2020-01-16T12:50:36+03:00Jibu - January 16, 2020 saa 12:50 pm
    Jibu hili limerekebishwa.

    Waombaji wa fursa za ajira katika Utumishi wa umma zinazotangazwa kupitia Sekretarieti ya Ajira wanapaswa kuzingatia mambo muhimu yafuatayo.

    Masharti ya Kufuata katika Maombi ya kazi Serikalini.

    • Mwombaji wa fursa za ajira anapaswa kutembelea tovuti ya Sekretarieti ya ajira mara kwa mara ambayo ni http://www.ajira,go.tz. Tovuti hii ndiyo hutumika kutoa matangazo mbalimbali ya kazi
    • Waombaji wote wanapaswa kuwa Raia wa Tanzania.
    • Mwombaji anapaswa kuambatanisha  cheti cha kuzaliwa.
    • Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingiliakatika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi zakazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
    • Waombaji wanapaswa kuambatanisha maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V).
    • Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma kama kidato cha nne, sita, chuo na bodi mbalimbali za kitaaluma
    • Umri usiozidi miaka 45.
    • Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
    • Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010.

    Zingatia:

    Pamoja na njia hiyo ya utumaji wa maombi ya kazi Sekretarieti ya ajira upo katika hatua ya kuanza utumaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao ( e-application).

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nawezaje kupata tik Twitter?

    • Unaizungumziaje Bluehost katika kutengeneza website?

    • Kuna hosting za bure?

    • Hosting bora zaidi ni ipi?

    • VAT Tanzania ni asilimia ngapi?

    • Masharti ya kuanzisha duka la dawa yakoje?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.