Mambo gani ya kuzingatia katika kuomba kazi serikalini kwa njia ya mtandao?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.
Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa
Waombaji wa fursa za ajira katika Utumishi wa umma zinazotangazwa kupitia Sekretarieti ya Ajira wanapaswa kuzingatia mambo muhimu yafuatayo.
Masharti ya Kufuata katika Maombi ya kazi Serikalini.
Zingatia:
Pamoja na njia hiyo ya utumaji wa maombi ya kazi Sekretarieti ya ajira upo katika hatua ya kuanza utumaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao ( e-application).