Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In

Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa

Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 34764
In Process
Adv
Anonymous
Asked: January 22, 20202020-01-22T14:47:43+03:00 2020-01-22T14:47:43+03:00M Pesa, Malipo

M Pesa Master card inafanyaje kazi?

M Pesa Master card inafanyaje kazi?
  • 1
  • 286
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report
Adv

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Calvin Mlay

    Calvin Mlay

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 82 Answers
    • 0 Best Answers
    • 366 Points
    View Profile
    Calvin Mlay Proffesional
    2020-01-22T14:48:45+03:00Jibu - January 22, 2020 saa 2:48 pm

    Ukishachagua bidhaa unazotaka kuweka oda yako kwenye mtandao husika,nenda chini hadi kwenye nembo ya malipo ya Mastercard na chagua hapo, Kisha chukua simu ya Vodacom M-Pesa na fuata hatua zifuatazo

    1. Piga *150*00# chagua Lipa kwa M-Pesa
    2. Chagua M-Pesa Mastercard
    3. Chagua Tengeneza kadi
    4. Utapokea ujumbe mfupi wenye namba ya kadi, namba ya CVV na tarehe ya mwisho ya matumizi ya kadi.
    5. Utapokea ujumbe mfupi wenye namba ya kadi, namba ya CVV na tarehe ya mwisho ya matumizi ya kadi.

    Hizi tu ndizo taarifa unazohitaji kukamilisha malipo yako mtandaoni. Jaza kwa uangalifu kwenye mtandao husika na utapata ujumbe wa uthibitisho wa malipo yako.

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua
Captcha Click on image to update the captcha.

Adv

Sidebar

Uliza Swali

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Maswali yanayoendana

    • Nikiweka akiba M Pawa nitapata riba kiasi gani?

    • Nisipolipa mkopo wangu wa M Pawa ndani ya siku 30, Vodacom watanifanya nini?

    • Inawezekana kutoa pesa M Pesa kwa kutumia ATM za CRDB?

    • Nawezaje kuomba mkopo M Pawa?

    • Nikikopa M Pawa natakiwa kulipa baada ya muda gani?

    • Riba ya kukopa M Pawa ni asilimia ngapi?

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.