Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32363
In Process
Anonymous
Asked: June 14, 20192019-06-14T13:25:07+03:00 2019-06-14T13:25:07+03:00Maisha

Kwa nini wanawake wenye mafanikio huogopwa?

Kwa nini wanawake wenye mafanikio huogopwa?
  • 1
  • 380
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Emmanuel Magessa

    Emmanuel Magessa

    • Mbeya, Tanzania
    • 1 Question
    • 32 Answers
    • 0 Best Answers
    • 73 Points
    View Profile
    Emmanuel Magessa Intermediate
    2021-03-31T21:46:05+03:00Jibu - March 31, 2021 saa 9:46 pm

    Upo ukweli kuwa wanaume wengi wanawaogopa wanawake wenye mafanikio. Hawa ni wanawake wenye kiwango kikubwa cha elimu, fedha, umaarufu au hata madaraka katika jamii. Hoja ya wanaume wenye mawazo haya ni ugumu wa kuwaongoza wanawake wanaowazidi kama alivyonieleza Godfrey, mwalimu wa sekondari jijini Arusha:

    “Mwanawake akipata kitu anakuwa jeuri sana. Hawezi kukusikiliza tena na atataka awe huru kufanya mambo yake bila kuingiliwa.” Kwa mujibu wa Godfrey, uwezo wa kifedha na mafanikio kwenye maeneo mengine ya maisha mara nyingi humfanya mwanamke asiwe na utayari wa kuwa chini ya utawala wa mwanaume. “Huwezi kuishi na mwanamke anayejiona yuko juu yako na ukabaki salama. Hatokuwa tayari kukupa nafasi ya kuwa na sauti kwenye nyumba.”

    Hitaji kubwa la wanaume wengi ni mamlaka. Wanaume wanapoingia kwenye uhusiano na mwanamke wanakuwa na shauku ya kuwa na sauti inayosikika bayana kukidhi dhana ya kichwa cha familia. Ili sauti hii iweze kusikika bara bara uwezo wa kifedha, kielimu, kimadaraka na hata umaarufu unakuwa na nafasi yake.

    Kwa maana hiyo inapotokea mwanamke ameshindwa kuwa chini ya mamlaka yake, mwanaume huanza kujisikia hayuko salama kama anavyoeleza Dickson, karani wa benki mjini Moshi:

    “Niliwahi kuwa na dada mmoja mwenye Masters wakati huo mimi nafanya shughuli zangu ndogo ndogo za kiujasiriamali na elimu yangu ya Diploma. Kaka nilikoma kuringa. Mule ndani tulikuwa na bunge lisiloisha. Kila ninachosema, bi mkubwa lazima apinge. Masters ikawa inashindana na Diploma sikuweza kuvumilia.”

    Inavyoonekana…. endelea kusoma

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Dalili gani zinaweza kunionesha kuwa nimekua mtu mzima tayari?

      • Majibu 4
    • Mambo gani ambayo yanaweza kunisaidia siku moja?

      • Majibu 3
    • Nawezaje kutekeleza malengo niliyojiwekea?

      • Jibu 1
    • Kuna faida gani katika kujitolea?

      • Jibu 1
    • Nifanyeje ili mtoto wangu anisikilize na kuniamini?

      • Jibu 1
    • Nitaanza vipi kama sina mtaji wowote?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kujua tawi la NMB Bank lililopo karibu yangu?

      • Jibu 1
    • Nitafanya nini kesho?

      • Majibu 0
    • Unaweza ukasema siri yako yoyote kwa kujibu ukiwa umeficha wasifu?

      • Majibu 0
    • Nini maana ya jina Yashi?

      • Majibu 0

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.