Jiunge

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Unayo account ? Log In


Unayo account ? Log in

Log In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Jiunge Hapa


Umesahau Password?

Hauna Account, Jiunge Hapa

Umesahau Password

Umesahau password yako?. Andika email yako hapo chini alafu bonyeza 'Reset'. Utapokea link katika email yako kwa ajili ya kutengeneza password mpya.

Unayo account ? Log in

Tafadhali andika jina lako kamili.

Tafadhali andika E-Mail yako.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.


Tafadhali elezea kwa nini unahisi chapisho hili linapaswa kuripotiwa

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Uliza Swali
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Maswali»Q 32324
In Process
Anonymous
Asked: June 12, 20192019-06-12T09:25:51+03:00 2019-06-12T09:25:51+03:00Kazi/Ajira

Kwa nini walimu wengi hawapendi kazi yao?

Kwa nini walimu wengi hawapendi kazi yao?
  • 1
  • 535
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Jibu
  • Report

Jibu 1

  • Kura
  • Zamani
  • Mpya
  1. Salim Jumbe

    Salim Jumbe

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 0 Questions
    • 132 Answers
    • 0 Best Answers
    • 485 Points
    View Profile
    Salim Jumbe Proffesional
    2020-11-29T17:17:23+03:00Jibu - November 29, 2020 saa 5:17 pm

    Kupitia Nderumo blog Albert Kissima ameandika hivi

    Kulingana na tafiti niliyoifanya siku za hivi karibuni,niligundua kuwa asilimia kubwa ya waalimu wa kuanzia shule za msingi ,sekondari na hata vyuo hawakupenda kuwa walimu.Walilazimika kuwa walimu baada ya malengo yao mengine kama ya kuwa madaktari,mainjinia,wahasibu,wanasheria n.k kushindwa kutimia kutokana na kushindwa kufaulu vizuri ktk mitihani ya mwisho ya taifa kuanzia ile ya darasa la saba(kwa zamani), form four na ile ya kidato cha sita.

    Hata hivyo hali ya kusikitisha ni kwamba walimu wengi wanachukulia kuwa ualimu ni daraja tu na wanaamini kuwa ipo siku wataachana na kazi hiyo kwa kujiendeleza kusoma na hatimaye kufikia malengo yao ya awali.Hii hupelekea mashuleni kuwepo na walimu wasio na nia,yani bora liende,yani amekuwa mwalimu kwa sababu ilibidi.Hili liko wazi kabisa kwani waalimu wengi wameshajiendeleza na wengi wameshakuwa wahasibu,wanasheria na kadhalika.

    Cha kusikitisha zaidi ni kwamba hata jamii inaunga mkono hali hii.Mtoto anaweza kuwa na malengo ya kuwa mwalimu,lkn anapofika form six na akifaulu vizuri ,mathalani division one,na akiwaambia wazazi kuwa ana mpango wa kujiunga na vyuo vya ualimu, wazazi utashangaa kuwa wanamwambia mtoto wao kuwa anapotea njia.

    Ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya waalimu hawafikirii ni kwa namna gani wataongeza ufanisi ktk kufundisha bali huwa wanafikiri ni kwa namna gani wataachana na kazi hii.Jambo hili ni lakawaida kabisa kwa kizazi cha sasa tofauti kabisa na zamani ambapo ualimu ulikuwa ni wito.

    Hali hii nitatizo kubwa sana ktk sekta ya elimu.

    Hivi ni kwa namna gani hali hii itatokomezwa?

    Je,hali hii inaathari zipi kwa wanafunzi?

    “Nina ndoto ya kwamba itafika wakati nafasi za ualimu zitapiganiwa na hapo ndipo waalimu wa kweli wataanza kupatikana na elimu ya kweli itaanza kutolewa”

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Jibu swali hili

Jibu swali hili
Cancel reply

Chagua

Sidebar

Promo

  • Gugo kwa Kiswahili, Jaribu Sasa

  • Nafasi zote mpya za kazi zipo hapa

  • Tafuta vitu mtandaoni kwa lugha ya Kiswahili

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Maswali Mengine

    • Nawezaje kupenda na kufurahia kazi yangu?

      • Jibu 1
    • Mambo gani ya kufanya wakati wa kutafuta kazi?

      • Jibu 1
    • Nawezaje kufanya vizuri katika maswali ya interview ya kazi?

      • Jibu 1
    • Kuna faida gani katika kujitolea?

      • Jibu 1
    • Mambo gani ya kuzingatia katika barua ya kuomba kazi?

      • Jibu 1
    • Mambo gani ya kuzingatia katika kuomba kazi serikalini kwa njia ya mtandao?

      • Jibu 1
    • Kozi zinazotambuliwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) ni zipi?

      • Jibu 1
    • Ni masharti na vigezo gani vya kujiunga na mitihani ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania ...

      • Jibu 1
    • Ni mitihani gani inayoendeshwa na NBAA?

      • Jibu 1
    • Masharti ya kujiunga kufanya mitihani ya ATEC I ni yapi?

      • Jibu 1

    Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.