Kwa nini naumwa tumbo nikiwa period?
Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection
Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.
Please briefly explain why you feel this answer should be reported.
Kuumwa tumbo wakati wa hedhi
*Maumivu ya tumbo la hedhi yapo ya aina mbili* .
Aina ya kwanza au (Primary Dysmenorrhea) ni maumivu yasiyokuwa na sababu zozote za kimsingi za kitiba. Katika aina hii maumivu ni ya kawaida na huhisiwa sehemu ya chini ya tumbo na kiunoni. Maumivu hayo huanza siku moja au mbili kabla ya hedhi na humalizika baada ya siku mbili au nne.
*Maumivu ya Tumbo la Hedhi… Sehemu ya Pili*
*
*NAAM KWA MAHITAJI YA DAWA ZA ASILI KWA AJILI YA CHANGO NA MAGONJWA MBALIMBALI WASILIANA NAMI KWA WHAT’S APP AMA KUNIPIGIA SIMU*
+255 710 271 852