Sign Up

Jiunge MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Have an account? Sign In

Have an account? Sign In Now

Sign In

Login MojaSky ili uweze kuuliza maswali, kujibu maswali ya watu wengine na kutengeneza connection

Sign Up Here

Forgot Password?

Don't have account, Sign Up Here

Forgot Password

Lost your password? Please enter your email address. You will receive a link and will create a new password via email.

Have an account? Sign In Now

Please type your username.

Please type your E-Mail.

Please choose an appropriate title for the question so it can be answered easily.

Please briefly explain why you feel this answer should be reported.

Sign InSign Up

1Sky

1Sky

1Sky Navigation

  • Blog
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App

Mobile menu

Close
Ask a Question
  • Home
  • Maswali
  • Points
  • Miongozo
  • Wasiliana Nasi
  • Advanced Search
  • App
Home» Questions»Q 31842
In Process
Adv
Anonymous
Asked: June 1, 20192019-06-01T06:16:55+03:00 2019-06-01T06:16:55+03:00

Kwa nini Ajibu amekataa kwenda Tp Mazembe?

Kwa nini Ajibu amekataa kwenda Tp Mazembe?
  • 1
  • 592
  • 0
  • Share
    • Share on WhatsApp
    • Share on Facebook
    • Share on Twitter
Answer
  • Report
Adv

1 Answer

  • Voted
  • Oldest
  • Recent
  1. Musa Adam

    Musa Adam

    • Dar es Salaam, Tanzania
    • 13 Questions
    • 86 Answers
    • 0 Best Answers
    • 318 Points
    View Profile
    Musa Adam Expert
    2019-06-13T09:42:15+03:00Added an answer on June 13, 2019 at 9:42 am

    Tetesi zinasema hivi kama zilivyoandikwa katika mtandao wa bongo5

    Tetesi hizo za kutakiwa kusajiliwa kwa Ibrahim Ajibu zimeshindikana kutokana na klabu ya Simba kutaka kukaa meza moja na TP Mazembe kwaajili ya dili hilo kwakuwa miamba hiyo ya soka ya Msimbazi ilishafanya naye mkataba wa awali na mchezaji huyo.

    Inadaiwa kabla ya Mei 23 Meneja wa Ajibu aliwasiliana na klabu ya Simba kuwaaomba wamuruhusu Ajibu ajiunge na TP Mazembe kwa sababu alikuwa amesaini mkataba wa awali na klabu hiyo ndipo klabu ya Simba ikawaambia TP Mazembe waje kwenye meza ya mazungumzo kwa sababu wao wana mkataba wa awali na Ajibu na alishachukua baadhi ya fedha za usajili.

    Simba wakawaambia TP Mazembe kuwa Ajibu anauzwa dola 100,000 ambazo ni zaidi ya milioni 220 za Kitanzania na kuwapa sharti la kuweka kwenye mkataba wake iwapo atauzwa klabu nyingine asilimia 20 ya mauzo yake wapate Simba. Ndipo TP Mazembe ikasitisha mpango wa kumsajili kwa sababu wenyewe walikuwa wanajua Ajibu ni mchezaji huru.

    Na kocha wa Yanga Mwinyi Zahera nae alisikika akisema haya

    “Kwangu nadhani kakataa kwa sababu moja, labda anaona hapa kila siku anaandikwa kwenye magazeti yote, akipita mitaani watu wanamwita na kumsifia lakini kule mambo hayo hayatakuwepo kunama-star wengi.”

    “Au anaogopa akienda kule hatocheza, kama amekataa kwenda ili abaki hapa sawa lakini mimi hawezi kunidanganya, Mazembe wataniambia kilakitu.”

    • 0
    • Reply
    • Share
      Share
      • Share on WhatsApp
      • Share on Facebook
      • Share on Twitter
      • Report
Leave an answer

Leave an answer
Cancel reply

Browse

Adv

Sidebar

Promo

  • Usihangaike tena, Tumekuwekea Kampuni zote za kubet katika app moja! Jaribu Sasa

  • Beti kwa mara ya kwanza, ukishindwa unarudishiwa hela yako

  • Tafuta Ajira kiurahisi. Jaribu Sasa

  • Jifunze jinsi ya kubet kibingwa

  • Explore

    • Home
    • Maswali
    • Polls
    • Points
    • Watumiaji
    • Miongozo
    • App

    MojaSky | Designed by ChuiTec.

    Insert/edit link

    Enter the destination URL

    Or link to existing content

      No search term specified. Showing recent items. Search or use up and down arrow keys to select an item.